Mwanamke kutoka Kenya anadaiwa kumuuma mwanamke mwingine vidole na kuvitafuna.
Inadaiwa kuwa, mtuhumiwa huyo mwenye umri wa miaka 45, alimshambulia mwathiriwa kwa kumpiga na kumuuma vidole ili amtoe pepo.
Inadaiwa kuwa, mtuhumiwa huyo mwenye umri wa miaka 45, alimshambulia mwathiriwa kwa kumpiga na kumuuma vidole ili amtoe pepo.
Visa vipya vya UVIKO 19 vimepungua barani Afrika kwa 35% hadi visa 74,000 katika wiki ya mwisho ya mwezi Septemba.
Mamady Doumbouya ataapishwa mwendo wa saa sita majira ya Afrika Magharibi katika ukumbi wa Mohammed V conference centre mji mkuu wa Conakry.
Ethiopia imewafukuza maafisa saba wa Umoja wa Mataifa UN ambao walituhumu kwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi.
Takriban watu 20,000 wengi wao waliosafiri kwa treni kutoka miji ya Atbara na Madani, walikusanyika katika mji mkuu Khartoum Alhamis 30.
Kulingana na taarifa iliyotolewa na wizara ya Mambo ya Ndani, raia wa kigeni 20,000 wameinga nchini tangu mwezi Juni.
Kulingana na data, takriban visa 5,375 vya mimba za utotoni viliripotiwa katika wilaya ya Kwania kati ya Januari 2020 hadi Septemba 2021.
mikakati hoyo itatumiwa kuunda katiba mpya na kufanyika kwa uchaguzi wa huru ,wazi na wa haki, ingawaje haikueleza serikali ya mpito itakuwepo kwa muda gani.
Mipango yakuanzisha mtandao wa Instagram hususan kwa watoto waliochini ya umri wa miaka 13 kwa jina Instagram Kids umesitishwa kwa sasa.
Nyota wa muziki kutoka Marekani,Robert Kelly maarufu R.Kelly amepatikana na hatia ya kutumia umaarufu wake katika kuongoza mradi wa unyanyasaji wa ngono dhidi ya wanawake na watoto kwa takriban miaka 30.