• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Mwanamke kutoka Kenya anadaiwa kumuuma mwanamke mwingine vidole na kuvitafuna.
Africa East Africa Europe Gender International People

Mwanamke kutoka Kenya anadaiwa kumuuma mwanamke mwingine vidole na kuvitafuna.

Maureen MedzaOctober 2, 2021October 2, 2021

Inadaiwa kuwa, mtuhumiwa huyo mwenye umri wa miaka 45, alimshambulia mwathiriwa kwa kumpiga na kumuuma vidole ili amtoe pepo.

Mataifa 15 ya pekee ya Afrika yamechanja kikamilifu 10% ya watu wao dhidi ya UVIKO 19.
Africa International Lifestyle & Health

Mataifa 15 ya pekee ya Afrika yamechanja kikamilifu 10% ya watu wao dhidi ya UVIKO 19.

Maureen MedzaOctober 1, 2021October 1, 2021

Visa vipya vya UVIKO 19 vimepungua barani Afrika kwa 35% hadi visa 74,000 katika wiki ya mwisho ya mwezi Septemba.

Luteni Kanali Mamady Doumbouya kuapishwa kuwa rais wa mpito Ijumaa 1 Oktoba.
Africa Features People Politics

Luteni Kanali Mamady Doumbouya kuapishwa kuwa rais wa mpito Ijumaa 1 Oktoba.

Maureen MedzaOctober 1, 2021October 1, 2021

Mamady Doumbouya ataapishwa mwendo wa saa sita majira ya Afrika Magharibi katika ukumbi wa Mohammed V conference centre mji mkuu wa Conakry.

Maafisa saba wa UN wafukuzwa kutoka Ethiopia.
Africa East Africa Lifestyle & Health People Politics

Maafisa saba wa UN wafukuzwa kutoka Ethiopia.

Maureen MedzaOctober 1, 2021October 1, 2021

Ethiopia imewafukuza maafisa saba wa Umoja wa Mataifa UN ambao walituhumu kwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi.

Vikosi vya usalama vyafyatua vitoza machozi kutawanya maandamano katika mji mkuu Khartoum, Sudan.
Africa East Africa International Middle East Politics

Vikosi vya usalama vyafyatua vitoza machozi kutawanya maandamano katika mji mkuu Khartoum, Sudan.

Maureen MedzaOctober 1, 2021October 1, 2021

Takriban watu 20,000 wengi wao waliosafiri kwa treni kutoka miji ya Atbara na Madani, walikusanyika katika mji mkuu Khartoum Alhamis 30.

Serikali ya Kenya yaanzisha msako dhidi ya raia wa kigeni nchini.
Africa Asia East Africa International Lifestyle & Health Middle East

Serikali ya Kenya yaanzisha msako dhidi ya raia wa kigeni nchini.

Maureen MedzaSeptember 30, 2021September 30, 2021

Kulingana na taarifa iliyotolewa na wizara ya Mambo ya Ndani, raia wa kigeni 20,000 wameinga nchini tangu mwezi Juni.

Visa 5,375 vya mimba za utotoni vyaripotiwa katika wilaya ya Kwania,Uganda mwaka wa 2021.
Africa Arts & Culture East Africa Gender Lifestyle & Health People

Visa 5,375 vya mimba za utotoni vyaripotiwa katika wilaya ya Kwania,Uganda mwaka wa 2021.

Maureen MedzaSeptember 30, 2021September 30, 2021

Kulingana na data, takriban visa 5,375 vya mimba za utotoni viliripotiwa katika wilaya ya Kwania kati ya Januari 2020 hadi Septemba 2021.

Majeshi yaliyopindua serikali ya Guinea yametangaza mikakati itakayorudisha taifa katika uongozi wa raia.
Africa People Politics

Majeshi yaliyopindua serikali ya Guinea yametangaza mikakati itakayorudisha taifa katika uongozi wa raia.

Maureen MedzaSeptember 29, 2021September 29, 2021

mikakati hoyo itatumiwa kuunda katiba mpya na kufanyika kwa uchaguzi wa huru ,wazi na wa haki, ingawaje haikueleza serikali ya mpito itakuwepo kwa muda gani.

Je, kama mzazi upo tayari mwanao ajiunge na mtandao mpya wa Instagram kids?
Arts & Culture Entertainment International Science & Tech

Je, kama mzazi upo tayari mwanao ajiunge na mtandao mpya wa Instagram kids?

Maureen MedzaSeptember 29, 2021September 29, 2021

Mipango yakuanzisha mtandao wa Instagram hususan kwa watoto waliochini ya umri wa miaka 13 kwa jina Instagram Kids umesitishwa kwa sasa.

Nyota wa R&B R. Kelly apatikana na hatia ya unyanyasaji wa kingono
Arts & Culture Entertainment Gender International People

Nyota wa R&B R. Kelly apatikana na hatia ya unyanyasaji wa kingono

Maureen MedzaSeptember 28, 2021September 28, 2021

Nyota wa muziki kutoka Marekani,Robert Kelly maarufu R.Kelly amepatikana na hatia ya kutumia umaarufu wake katika kuongoza mradi wa unyanyasaji wa ngono dhidi ya wanawake na watoto kwa takriban miaka 30.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo