G7 kujadili kuachilia akiba za kimkakati za mafuta
Masoko ya hisa ya Asia yalishuka kwa kasi Jumatatu huku bei za mafuta zikiongezeka kwa asilimia 30 kutokana na hofu ya upatikanaji wa mafuta kutoka Mashariki ya Kati, wakati vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vikiingia wiki ya pili bila dalili ya kupungua.