Trump Admin Revokes Harvard’s Right to Enroll Foreign Students
Harvard, which has sued the US government over a separate raft of punitive measures, fired back at the Trump administration’s move, calling it “unlawful.”
Harvard, which has sued the US government over a separate raft of punitive measures, fired back at the Trump administration’s move, calling it “unlawful.”
Serikali ya Marekani imetangaza upunguzaji mpya wa ufadhili kwa Chuo Kikuu cha Harvard siku ya Jumanne, siku moja tu baada ya Rais wa chuo hicho, Alan Garber, kusema kuwa taasisi hiyo ina “mambo ya msingi yanayoshabihiana” na utawala wa Rais Donald Trump.
Mahakama Kuu ya Marekani, ambayo ina wingi wa majaji wa mrengo wa kihafidhina, inatarajiwa kusikiliza kesi leo Jumanne kuhusu iwapo wazazi wana haki ya kidini kuwazuia watoto wao kuhudhuria madarasa yanayosoma au kujadili vitabu vyenye maudhui ya LGBTQ.
Chama cha kutetea haki na maslahi ya walimu Tanzania (CHAKAMWATA), kimetangaza kutua mahakamani kuzishtaki Halmashauri mbalimbali nchini kwa madai ya kushindwa kulipa stahiki za watumishi wa kada ya ualimu kwa kushirikiana na Chama Cha walimu CWT kwa madai ya zaidi ya shilingi billion 12.
Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi announced that these MOUs will promote bilateral partnerships and open new avenues for collaboration in these fields.
President Ruto’s development tour is purposed to launch and inspect various major development projects across the city.
Mwenyekiti wa Umoja wa Walimu Wasio na Ajira Tanzania (NETO), Joseph Paulo Kaheza amekamatwa akiwa mkoani Geita kwa kile kinachodaiwa kuwa ni vuguvugu la kupigania ajira kwa walimu wa Tanzania.
In the 2024 KCSE, more female students sat the examination than male students, marking a historic moment.
Donald Trump nominated Linda McMahon, former CEO of World Wrestling Entertainment, on Tuesday to lead the Department of Education, which he has pledged to abolish.
The union is demanding the full implementation of the CBA, which includes a salary increment of 7-10% and other benefits. Despite the government’s recent increase in allocation for the CBA implementation, UASU maintains that it is insufficient to meet the terms outlined in the agreement