‘Shopaholic’ author Sophie Kinsella Dies aged 55
Madeleine Sophie Wickham, who wrote under the pen name Sophie Kinsella, revealed last year that she was receiving chemotherapy and radiotherapy for an aggressive form of brain cancer.
Madeleine Sophie Wickham, who wrote under the pen name Sophie Kinsella, revealed last year that she was receiving chemotherapy and radiotherapy for an aggressive form of brain cancer.
The scam message congratulates KCSE 2024 candidates and instructs them to send KSh 100 to a personal number for automatic delivery of their admission documents—a claim the university has firmly disowned.
The International Youth Fellowship (IYF) has marked a major milestone in youth empowerment with the graduation of 10000 young people…
Harvard, which has sued the US government over a separate raft of punitive measures, fired back at the Trump administration’s move, calling it “unlawful.”
Serikali ya Marekani imetangaza upunguzaji mpya wa ufadhili kwa Chuo Kikuu cha Harvard siku ya Jumanne, siku moja tu baada ya Rais wa chuo hicho, Alan Garber, kusema kuwa taasisi hiyo ina “mambo ya msingi yanayoshabihiana” na utawala wa Rais Donald Trump.
Mahakama Kuu ya Marekani, ambayo ina wingi wa majaji wa mrengo wa kihafidhina, inatarajiwa kusikiliza kesi leo Jumanne kuhusu iwapo wazazi wana haki ya kidini kuwazuia watoto wao kuhudhuria madarasa yanayosoma au kujadili vitabu vyenye maudhui ya LGBTQ.
Chama cha kutetea haki na maslahi ya walimu Tanzania (CHAKAMWATA), kimetangaza kutua mahakamani kuzishtaki Halmashauri mbalimbali nchini kwa madai ya kushindwa kulipa stahiki za watumishi wa kada ya ualimu kwa kushirikiana na Chama Cha walimu CWT kwa madai ya zaidi ya shilingi billion 12.
Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi announced that these MOUs will promote bilateral partnerships and open new avenues for collaboration in these fields.
President Ruto’s development tour is purposed to launch and inspect various major development projects across the city.
Mwenyekiti wa Umoja wa Walimu Wasio na Ajira Tanzania (NETO), Joseph Paulo Kaheza amekamatwa akiwa mkoani Geita kwa kile kinachodaiwa kuwa ni vuguvugu la kupigania ajira kwa walimu wa Tanzania.