Another Kenyan police officer dies in Haiti
One Kenyan officer was killed while eight other police officers of the Multinational Security Support Mission (MSS) in Haiti sustained…
One Kenyan officer was killed while eight other police officers of the Multinational Security Support Mission (MSS) in Haiti sustained…
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira amesema kwamba kazi ya chama hicho kwa sasa ni kuisaka dola kwani mchakato wa kura za maoni zilishapita hivyo hakuna sababu ya kuwa na mgawanyiko tena.
Kupitia jukwaa hili, wasanii wa Kenya wanaweza kufuatilia utendaji wa nyimbo zao, kuelewa hadhira yao kwa undani, na kupanga mikakati ya masoko kwa usahihi zaidi.
With CHADEMA out and ACT’s candidacy in dispute, CCM heads into the October 29th polls with limited opposition
Nchimbi is a seasoned politician with a long career in both government and diplomacy.
“Najua kulikuwepo na maneno au vijineno eti utaratibu umekiukwa na mimi nililaumiwa kwa jinsi nilivyosema pale kwenye mkutano mkuu, lakini nasema waliokuwa wanasema hayo ama hawafahamu utaratibu wa chama chetu na kama wanafahamu labda wamesahau au wanajifanya hamnazo,” alisema Kikwete.
CCM launched its campaigns at Tanganyika Packers grounds in Dar es Salaam, led by President Samia Suluhu Hassan and her running mate Emmanuel Nchimbi.
The High Court in Manyara has overturned the Registrar’s decision that had blocked CHADEMA’s state subsidy and refused to recognize its Secretary General and five Central Committee members. The ruling restores both the party’s leadership and funding, although CHADEMA is still barred from the presidential race.
Moja ya madai makuu ya CHADEMA ni mageuzi ya kisheria na mchakato wa uchaguzi, ambapo wanataka Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) irekebishe taratibu za uteuzi na usajili wa wagombea ili vyama vyote viwe na nafasi sawa, bila upendeleo kwa chama tawala.
Kwa mujibu wa INEC, jumla ya vyama 18 vilivyosajiliwa vitashiriki uchaguzi huu, na wagombea 17 wa urais watashiriki kinyang’anyiro