Uganda Court Orders Police to Produce Two Abducted Kenyans in Seven Days
This decision comes after the activists went missing for two weeks, sparking widespread concern and diplomatic tensions between Kenya and Uganda.
This decision comes after the activists went missing for two weeks, sparking widespread concern and diplomatic tensions between Kenya and Uganda.
TEC’s Secretary General, Fr Dr Charles Kitima, unequivocally flagged the document as fake.
Nyerere Day remains a moment of national reflection, not only on Tanzania’s historical journey but also on the values that continue to guide its future. From education and unity to moral integrity and respect for all, Mwalimu’s ideals are celebrated as a compass for generations to come.
Kesi hiyo ambayo ilianza kusikilizwa majira ya saa tatu asubuhi mbele ya jopo la majaji watatu likiongozwa na Jaji Dunstan Ndunguru, Lissu aliendelea na zoezi la kumhoji kwa kina shahidi huyo wa pili wa upande wa mashtaka, akichambua maelezo yake ya polisi dhidi ya ushahidi alioutoa mahakamani wiki iliyopita.
Mawakili wa Jamhuri walidai kuwa mshtakiwa hakufuata taratibu za kisheria katika kuwasilisha ombi hilo la kupokea kielelezo hicho kama ushahidi.
The day was officially renamed in 2024, replacing previous iterations such as Moi Day, Huduma Day, and Utamaduni Day, which had various symbolic and cultural meanings over the years.
Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam imeridhia maombi ya mawakili wa aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, kuwasilisha kiapo cha ziada katika shauri la maombi ya kutekwa kwa utaratibu wa kisheria (Habeas Corpus).
Shahidi wa kwanza alihitimisha ushahidi wake leo baada ya kuhojiwa kwa maswali ya nyongeza na jopo la mawakili wa Serikali
The measure will take effect on October 23, 2025, and will require applicants for B-1 (business) and B-2 (tourist) visas to post a refundable bond of up to US$15,000.
Katika mahojiano hayo, Lissu alitumia takribani saa saba kumuhoji Shahidi huyo kuanzia majira ya saa 3:30 mpaka saa 10, muda wote aliutumia kupima uhalali wa ushahidi wa shahidi huyo, akihusisha masuala mbalimbali kulinga na ushahidi aliouandika katika maelezo yake ikiwamo ya taratibu za kiuchunguzi, matumizi ya notebook ya polisi, video za ushahidi na tafsiri ya maneno yaliyotumika kwenye mashtaka ya uhaini.