Kenya’s President Ruto called out for encouraging austerity
Kenya’s President William Ruto has faced some criticism following his first State of the Nation address on Thursday, in which…
Kenya’s President William Ruto has faced some criticism following his first State of the Nation address on Thursday, in which…
The Ministry of Environment has released a list of designated areas in all 47 counties where the National Tree Growing…
Klabu ya Simba SC imeachana na kocha wao Robert Oliveira ‘Robertinho’ baada ya makubaliano ya pande zote mbili kwa maana ya klabu na mhusika.
Uganda has contracted bulk and refinery suppliers in an effort to obtain lower-cost petroleum products and reduce reliance on Kenya…
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Dkt. Francis Michael, ametoa muda wa siku tatu kwa Afisa elimu Mkoa wa Songwe kwa kushirikiana na taasisi nyingine ikiwemo Jeshi la Polisi kuwasaka watu wote waliohusika kuwakatisha masomo wanafunzi wa shule za Msingi na Sekondari na kueleza hatua zilizochukuliwa kisha apewe taarifa.
Mkutano huo unalenga kujadili juhudi za SADC katika kuimarisha hali ya amani, ulinzi na usalama Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kufuatia mapigano ya muda mrefu yanayoendelea nchini humo yakitekelezwa na vikundi vyenye silaha katika majimbo ya Kivu Kusini, Kivu Kaskazini na Ituri.
Kenya imetembelewa zaidi ya mara kumi na watu tofauti kutoka kwa familia ya kifalme
Vihiga Senator Godfrey Osotsi has opined that Azimio leader Raila Odinga’s presence at the State House during the State banquet in…
Reactions varied from alleged poor handling of arrivals at the JKIA, long queues and exploitation after KRA made the announcement on social media platform X.
Huo ni utafiti wa saba katika mfululizo wa utafiti wa kitaifa wa kidemografia na afya uliowahi kufanyika Tanzania mwaka 1991/92 ambapo kwa mujibu wa matokeo ya utafiti huo, taarifa za ujauzito kwa wanawake wenye umri wa miaka 15 hadi 49 kwa kipindi cha miaka mitatu kabla ya utafiti huo, zimeonesha asilimia 90 walizaa watoto hai na asilimia 10 walipoteza ujauzito.