Ngorongoro reports could worsen Maasai land dispute, warns lawyer Denis Oleshangay
Oleshangay said the recommendations appear to push toward removing people from Ngorongoro instead of addressing the concerns raised by residents.
Oleshangay said the recommendations appear to push toward removing people from Ngorongoro instead of addressing the concerns raised by residents.
Hukumu hiyo imetolewa na Jaji Angaza Mwipopo baada ya mahakama kuridhika na ushahidi uliowasilishwa na upande wa Jamhuri. Akisoma hukumu, Jaji Mwipopo amesema kuwa ushahidi uliotolewa ulithibitisha kuwa mshtakiwa alitenda kosa hilo Desemba 14, 2024 katika eneo la Ipogolo.
The Maasai International Solidarity Alliance (MISA) has rejected the recommendations of two Presidential Commissions on land use and relocation policies in Tanzania, asserting the Maasai community’s right to remain on their ancestral lands.
Kenya inaanzisha upya upanuzi wa reli yenye thamani ya mabilioni ya Dola ambao ulifadhiliwa kupitia uwekaji wa mapato na hapo kufufua mradi ambao umekwama kwa zaidi ya miaka sita.
The World Bank said the sanction follows findings of fraudulent and collusive practices connected to consultancy work under the Eastern Electricity Highway Project, which is part of the Eastern Africa Power Integration Program.
Serikali kupitia Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imeanza kutekeleza tafiti mbalimbali zenye lengo la kukusanya taarifa muhimu kuhusu shughuli za biashara katika sekta rasmi na isiyo rasmi, pamoja na uzalishaji viwandani nchini.
Akiwasilisha ripoti hiyo, Mwenyekiti wa Tume Ombeni Sefue alieleza kuwa mfumo wa sasa wa kodi una changamoto kubwa zinazowaumiza wananchi na kudhoofisha imani yao kwa serikali.
In a video message shared online, Wine said he had left Uganda to handle what he described as critical engagements abroad and promised to return.
Bobi Wine amesema Jumamosi kwamba ameikimbia nchi kuepuka msako wa jeshi baada ya Uchaguzi wa urais wa January 15, 2026.
The issue came to the spotlight after reports that some Kenyans were recruited into Russia’s war in Ukraine, with some allegedly lured by promises of civilian jobs.