Kenyan activist fears for life after police bug phone
Kenyan activist Boniface Mwangi said on Wednesday that he fears for his life after authorities installed spyware on his phone during his arrest last year.
Kenyan activist Boniface Mwangi said on Wednesday that he fears for his life after authorities installed spyware on his phone during his arrest last year.
Shahidi wa 10 wa Jamhuri ameieleza Mahakama sababu zilizomfanya kutoa ushahidi wake akiwa kwenye kizimba cha siri, akidai kuwa anahofia usalama wa maisha yake.
Shahidi alidai kuwa Aprili 3, 2025 alikuwa katika doria jijini Arusha akiwa na askari wengine wanane, wakitumia gari aina ya Toyota. Wakiwa doria, alipokea maelekezo kupitia *radio call* kutoka kwa Kaimu Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Arusha, Boni Mgogo, kuhusu taarifa za vijana wanaodaiwa kuhamasishana kuzuia Uchaguzi Mkuu wa 2025 katika eneo la Mromboo
Shahidi alidai kauli hiyo ilimpa hamasa ya kuwahamasisha vijana wenzake wa mtaani zoezi ambalo alilifanya Aprili 8, 2025 katika eneo la Njoro maarufu Pepsi.Hata hivyo wakati akiendelea na zoezi hilo kuwahamasisha ghafla alikamatwa na Polisi huku wenzake wakikimbia
Nairobi, Kenya – February 14, 2026, was a day filled with vibrant energy and fresh vibes as Sprite Kenya hosted…
Kenya Airways (KQ) warned passengers of “possible schedule adjustments, including delays” and advised them not to proceed to the airport without first confirming their flight status.
Shahidi huyo alipoulizwa namna alivyobadilika kutoka kuwa mtuhumiwa wa kupanga maandamano yasiyo na kibali hadi kuwa shahidi katika kesi ya uhaini, P6 alijibu kuwa hafahamu.
Kenya’s giant betting firm, SportPesa, has announced a Ksh. 20 million sponsorship towards the 2026 Magical Kenya Open, reaffirming its strategic investment in the local sports ecosystem.
Shahidi huyo, mwenye umri wa miaka 33 na mkazi wa Kibangu, wilayani Ubungo jijini Dar es Salaam, aliiambia Mahakama kuwa anajishughulisha na biashara ndogondogo ya kuuza viatu na soksi katika maeneo ya Mchikichini, Feri na Posta Mpya. Pia hufanya kazi ya kuosha magari mara kwa mara.
A self-proclaimed preacher in Kenya linked to an infamous starvation cult that killed more than 400 people was charged on Wednesday over a further 52 deaths, prosecutors said.