Tanzania Election Under Fire as Thabo Mbeki Foundation Questions Credibility of Polls
The Foundation said Tanzania deserves a path toward justice, truth and national unity, calling for an honest and inclusive national dialogue.
The Foundation said Tanzania deserves a path toward justice, truth and national unity, calling for an honest and inclusive national dialogue.
CNN reported that bodies of protesters killed during the post-election unrest may have been buried secretly, citing satellite images, doctors’ accounts and video evidence
Serikali ya Tanzania imesema inafatilia kwa ukaribu makala mpya ya televisheni ya kimataifa ya CNN, ambayo imeeleza kwa kina madai ya ukiukwaji wa haki za binadamu na matukio ya vifo vya watu wakati wa maandamano yaliyofuatia uchaguzi wa Oktoba 29, 2025.
Waathiriwa, wengi wao wakiwa hawana silaha, walipigwa risasi na polisi, miili yao ikitupwa kama takataka. Mwanamke mjamzito ambaye alijikuta katikati ya vurugu alifyatuliwa risasi mgongoni wakati akijaribu kukimbia. Daktari aliyewahudumia majeruhi aliripoti muundo wa kutisha wa majeraha ya risasi, hasa kichwani, tumboni, kifuani na kwenye miguu.
The bodies of protesters, killed in the aftermath of the October 29 election, were secretly buried at Kando cemetery.
The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has been invited to investigate an alleged embezzlement of at least Ksh250 million at the Nairobi City County Assembly.
A new chapter is unfolding in the long-marginalised Eastern region as construction of the 192-kilometre Kibwezi–Mutomo–Kitui–Kabati–Migwani Road gains pace after…
Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche, akitoa taarifa kwa vyombo vya habari leo Novemba 19, 2025, amesema Rais Samia hana mamlaka ya kimaadili wala kisiasa kuunda chombo cha kuchunguza kile chama hicho kinachokitaja kuwa ni uhalifu uliotekelezwa na Serikali yake dhidi ya raia waliokuwa wakidai haki zao za kidemokrasia.
The commission cannot be independent or impartial, especially in a situation where the government is the primary suspect in the crimes being investigated.
Kenya’s Cabinet Secretary for Environment, Climate Change and Forestry, Dr. Deborah Mulongo Barasa, delivered a stark message at the opening…