Amnesty International declares Tanzania election ‘Unopposed, Unchecked and Unjust’
“I don’t feel safe being a politician in Tanzania. I don’t feel free to criticize the government. We find ourselves under constant attack by the police.”
“I don’t feel safe being a politician in Tanzania. I don’t feel free to criticize the government. We find ourselves under constant attack by the police.”
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni, Kinondoni, jijini Dar es Salaam, imewahukumu vijana wanne kifungo cha miaka saba jela kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kujaribu kumteka mfanyabiashara Deogratus Tarimo.
Kati ya Januari 2024 na Oktoba 2025, Amnesty iliripoti ukiukaji mpana wa haki za binadamu ikiwemo matukio ya watu kupotea kusikojulikana, mateso na mauaji ya kiholela ya viongozi na wanaharakati wa upinzani.
The late former Prime Minister Raila Odinga has been awarded the Chief of the Order of the Golden Heart (C.G.H), the highest honour in Kenya.
Lissu, ambaye anajitetea mwenyewe, anakabiliwa na shtaka la uhaini yanayodaiwa kutokana na matamshi aliyotoa Aprili 3,2025. Alikamatwa Aprili 9, 2025 mkoani Ruvuma na kisha kusafirishwa hadi Dar es Salaam, ambako anakabiliwa na kesi hiyo mbele ya jopo la majaji wa Mahakama Kuu.
The CHADEMA Deputy Chairperson added that being barred from crossing into Kenya deepened his pain, saying he had hoped to personally pay his final respects to a man he regarded as both a mentor and a friend.
The CHADEMA Diaspora said the move violated Article 17(1) of Tanzania’s Constitution, which guarantees freedom of movement, as well as the East African Community Protocol on the Free Movement of Persons, which allows Tanzanians to enter Kenya without a visa for humanitarian reasons such as funerals.
Heche was stopped at the Sirari border post in Tarime District, Mara Region.
Alikiba announced that he would dedicate his upcoming show in Nairobi to the memory of the late statesman. The show, scheduled for October 19, 2025, at Cavalli Club in westlands, will also mark the first anniversary of old-school Bongo music.
Residents have lined the streets since dawn, many dressed in party regalia and waving flags, while others sing liberation songs associated with Odinga’s political journey.