Tanzania inaendelea kutaabika kupata huduma ya Internet
Mpaka hivi leo bado huduma ya mtandao maarufu kwa kimombo Internet haiko sawasawa na Serikali ya Tanzania kupitia Msemaji wake imesema bado haijajua ni lini huduma hiyo itarejea kwa uhakika.
Mpaka hivi leo bado huduma ya mtandao maarufu kwa kimombo Internet haiko sawasawa na Serikali ya Tanzania kupitia Msemaji wake imesema bado haijajua ni lini huduma hiyo itarejea kwa uhakika.
There are over 570 undersea cables globally, with submarine cables providing 90% of Africa’s internet needs.
Raia wa kenya anayetarajiwa kunyongwa katika taifa la kiarabu, Saudi Arabia amepata afueni ya dakika za mwisho kufuatia kampeni kubwa ya mitandao ya kijamii.
Ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu CAG Zanzibar imebainisha kuendelea kwa vitendo vya ufisadi katika wizara, taasisi na mashirika mbalimbali ya umma.
Tanzania and the French Indian Ocean island of Mayotte were the hardest hit, the internet surveillance group said.
Taarifa kutoka wizara ya elimu, imesema kuwa asilimia 95 ya shule ziko tayari kuanza tena muhula wa pili, huku hali katika baadhi ya taasisi za masomo katika kaunti saba zikiwa bado zinachunguzwa ili kuhakikisha unaafikia mazingira hitajika ya wanafunzi kutumia.
A former Rugby Sevens international, Ombachi reinvented himself to become a social media star with a global fanbase in just a few years.
The World Health Organization (WHO) said 44 cases of the disease have been reported in Tana River County in eastern Kenya, one of the areas hardest hit in weeks of destructive rains and flooding.
This debate presents a great opportunity for Kenyans to gain valuable insights, challenge assumptions, and drive positive change
The suspects staged a mock scenario, with one person faking intoxication while being ‘mugged’ by two others on a bodaboda