• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Tanzania

All news and updates from Tanzania

Shahidi wa 10 wa Jamhuri Aeleza Sababu za Kutoa Ushahidi Wenye Kizimba cha Siri
Africa Crime & Justice East Africa Tanzania

Shahidi wa 10 wa Jamhuri Aeleza Sababu za Kutoa Ushahidi Wenye Kizimba cha Siri

Wadh KassimFebruary 17, 2026

Shahidi wa 10 wa Jamhuri ameieleza Mahakama sababu zilizomfanya kutoa ushahidi wake akiwa kwenye kizimba cha siri, akidai kuwa anahofia usalama wa maisha yake.

Lissu Atumia PGO Kumuhoji Shahidi wa Jamhuri
Africa Crime & Justice East Africa Tanzania

Lissu Atumia PGO Kumuhoji Shahidi wa Jamhuri

Wadh KassimFebruary 17, 2026February 17, 2026

Shahidi alidai kuwa Aprili 3, 2025 alikuwa katika doria jijini Arusha akiwa na askari wengine wanane, wakitumia gari aina ya Toyota. Wakiwa doria, alipokea maelekezo kupitia *radio call* kutoka kwa Kaimu Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Arusha, Boni Mgogo, kuhusu taarifa za vijana wanaodaiwa kuhamasishana kuzuia Uchaguzi Mkuu wa 2025 katika eneo la Mromboo

Shahidi Aeleza Hotubu Ya Lissu Ilivyomshawishi Kuunga Mkono Agenda Ya “No Reform No Election”
Africa Crime & Justice East Africa Tanzania

Shahidi Aeleza Hotubu Ya Lissu Ilivyomshawishi Kuunga Mkono Agenda Ya “No Reform No Election”

Wadh KassimFebruary 16, 2026

Shahidi alidai kauli hiyo ilimpa hamasa ya kuwahamasisha vijana wenzake wa mtaani zoezi ambalo alilifanya Aprili 8, 2025 katika eneo la Njoro maarufu Pepsi.Hata hivyo wakati akiendelea na zoezi hilo kuwahamasisha ghafla alikamatwa na Polisi huku wenzake wakikimbia

Shahidi aeleza hotubu ya Lissu ilivyomshawishi kuunga mkono agenda ya “No Reform No Election”
Africa Crime & Justice East Africa Rights & Freedoms Tanzania

Shahidi aeleza hotubu ya Lissu ilivyomshawishi kuunga mkono agenda ya “No Reform No Election”

Wadh KassimFebruary 13, 2026

Shahidi huyo alipoulizwa namna alivyobadilika kutoka kuwa mtuhumiwa wa kupanga maandamano yasiyo na kibali hadi kuwa shahidi katika kesi ya uhaini, P6 alijibu kuwa hafahamu.

Shahidi wa Siri P5 Asimulia Video ya Lissu Ilivyompa Hofu
Africa Crime & Justice East Africa People Politics Rights & Freedoms Tanzania

Shahidi wa Siri P5 Asimulia Video ya Lissu Ilivyompa Hofu

Wadh KassimFebruary 12, 2026

Shahidi huyo, mwenye umri wa miaka 33 na mkazi wa Kibangu, wilayani Ubungo jijini Dar es Salaam, aliiambia Mahakama kuwa anajishughulisha na biashara ndogondogo ya kuuza viatu na soksi katika maeneo ya Mchikichini, Feri na Posta Mpya. Pia hufanya kazi ya kuosha magari mara kwa mara.

Mahakama Yakataa Matumizi ya Kizimba cha Siri Hadi Kirekebishwe
Africa Crime & Justice East Africa Tanzania

Mahakama Yakataa Matumizi ya Kizimba cha Siri Hadi Kirekebishwe

Wadh KassimFebruary 11, 2026

Lissu alipinga muundo wa kizimba hicho akieleza kuwa kinazuia hata majaji kumuona shahidi na kufuatilia mienendo na tabia zake wakati wa kutoa ushahidi, jambo alilodai linakiuka kanuni ya tatu ya ulinzi wa mashahidi.

Tundu Lissu supporters flood a packed court as his treason case resumes
Africa Tanzania

Tundu Lissu supporters flood a packed court as his treason case resumes

Kevin SeweFebruary 9, 2026February 9, 2026

The case has been postponed to Wednesday, 11th 2026.

Mahakama Kutoa Uamuzi Mdogo Mapingamizi Ya Lissu Februari 11
Africa Crime & Justice East Africa People Politics Rights & Freedoms Tanzania

Mahakama Kutoa Uamuzi Mdogo Mapingamizi Ya Lissu Februari 11

Wadh KassimFebruary 9, 2026

Tundu Lissu alisisitiza kuwa kizimba kilichotumika hakiwezi kutambuliwa kama kizimba cha mashahidi kwa mujibu wa kanuni na tafsiri ya kisheria. Alidai kuwa kizimba hicho hakionekani na waheshimiwa majaji, hali ambayo kwa mtazamo wake inakiuka misingi ya usikilizwaji wa haki.

Lissu Aelezea Dhulma Anayodai Kufanyiwa Na Maafisa Wa Magereza
Africa Crime & Justice East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Lissu Aelezea Dhulma Anayodai Kufanyiwa Na Maafisa Wa Magereza

Wadh KassimFebruary 9, 2026

Lissu alieleza kuwa haki yake ya kuwasiliana na mawakili wake imekuwa ikikiukwa kwa muda mrefu, akidai kuwa maafisa wa magereza wamekuwa wakisikiliza mazungumzo yake na mawakili wake kinyume na sheria.

Tanzania families still looking for bodies 3 months after protests
Tanzania

Tanzania families still looking for bodies 3 months after protests

Kevin SeweJanuary 28, 2026

Manenos Selanyika could only receive a symbolic burial. His family never found his body after the violent unrest of Tanzania’s election three months ago.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy