Tundu Lissu supporters flood a packed court as his treason case resumes
The case has been postponed to Wednesday, 11th 2026.
All news and updates from Tanzania
The case has been postponed to Wednesday, 11th 2026.
Tundu Lissu alisisitiza kuwa kizimba kilichotumika hakiwezi kutambuliwa kama kizimba cha mashahidi kwa mujibu wa kanuni na tafsiri ya kisheria. Alidai kuwa kizimba hicho hakionekani na waheshimiwa majaji, hali ambayo kwa mtazamo wake inakiuka misingi ya usikilizwaji wa haki.
Lissu alieleza kuwa haki yake ya kuwasiliana na mawakili wake imekuwa ikikiukwa kwa muda mrefu, akidai kuwa maafisa wa magereza wamekuwa wakisikiliza mazungumzo yake na mawakili wake kinyume na sheria.
Manenos Selanyika could only receive a symbolic burial. His family never found his body after the violent unrest of Tanzania’s election three months ago.
Maafisa wa Marekani wanasema hatua hiyo inalenga kufanya upya ukaguzi wa taratibu za kuchuja na kuchunguza waombaji, wakisisitiza kuwa wahamiaji wapya wanapaswa kuwa na uwezo wa kujitegemea kifedha na kutoegemea msaada wa serikali
Lissu has now spent over 260 days in custody, according to the timeline in court records cited in the proceedings.
Tundu Lissu ni mwanasiasa mkongwe wa upinzani na mmoja wa wakosoaji wakuu wa sera na utendaji wa serikali nchini Tanzania, anakabiliwa na mashtaka ya Uhaini ambayo anadaiwa kuyatenda mnamo mwezi Aprili 2025. Kesi yake imeibua mjadala mpana kuhusu uhuru wa kisiasa, nafasi ya upinzani na mwenendo wa haki katika masuala yanayogusa wanasiasa.
Kesi hiyo ilifunguliwa mwezi Agosti na mwanaharakati wa mazingira Meitamei Ole Dapash, aliyepinga kufunguliwa kwa kambi hiyo akidai imejengwa katika eneo muhimu la kupitisha wanyamapori kati ya Hifadhi ya Maasai Mara nchini Kenya na Hifadhi ya Serengeti nchini Tanzania.
The case was filed in August by environmentalist Meitamei Ole Dapash, who challenged the opening of the luxury safari camp near the Kenya–Tanzania border.
Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania watunze akiba ya chakula walichonacho na waepuke matumizi yasiyofaa kutokana na hali ya kuchelewa kwa msimu wa mvua.