Tundu Lissu and the State in a tough political and legal battle
The Treason charges facing Tanzanian opposition leader Tundu Lissu continued today, Wednesday, 10th Sep 2025, at the High Court of…
All news and updates from Tanzania
The Treason charges facing Tanzanian opposition leader Tundu Lissu continued today, Wednesday, 10th Sep 2025, at the High Court of…
Katika uwasilishaji wa hoja zake hii leo Lissu alitoa hoja nzito akieleza kuwepo kwa tofauti kubwa kati ya rekodi mbili za kesi zinazotoka kwenye Mahakama tofauti moja kutoka Mahakama ya Kisutu ambayo nakala yake alipelekewa gereani Ukonga na nyingine kutoka Mahakama Kuu ambayo aliipata jana akiwa mahakamani hapo.
The case against Tanzanian opposition leader Tundu Lissu continues today, 9th Sep 2025, at the High Court in Dar es…
Every evening, Everlyn Ayo left her village in northern Uganda, trekking with thousands of other children known as “night commuters”…
The judges are expected to deliver their ruling on Thursday, September 11th. That decision will determine whether Mpina can return to the ballot as ACT-Wazalendo’s presidential candidate, or if the party will head into the polls without a flag bearer.
“In a case of this nature, with a death penalty, I will defend myself,” he told the judges.
Lissu alitoa kauli hiyo leo mbele ya Jopo la Majaji watatu wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam, akifafanua kuwa uamuzi huo umetokana na uzito wa kesi hiyo, ambayo endapo atapatikana na hatia, adhabu yake ni kunyongwa hadi kufa.
The group (abductors) that Abdul is leading has many people that I personally know by their names, and I will name them soon
Ikumbukwe Agosti 18, 2025, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ilibainisha kuwa kesi hiyo inakwenda Mahakama Kuu baada ya hatua za Kisheria kukamilika.
Besigye, mwenye umri wa miaka 69, ni mpinzani mkuu wa Rais Yoweri Museveni ambaye amekuwa madarakani kwa karibu miaka 40 na amewahi kushindana naye bila mafanikio katika chaguzi nne.