Tanzania Loses EALS 2025 Conference Hosting Rights to Ethiopia
The 2025 conference is set to bring together judges, lawyers, corporate counsels, academics and regulators from across the continent.
All news and updates from Tanzania
The 2025 conference is set to bring together judges, lawyers, corporate counsels, academics and regulators from across the continent.
The 19-nation CHAN, restricted to locally-based players, is a precursor to the top-tier African Cup of Nations, which is due to be held in east Africa for the first time in 2027.
Katika taarifa iliyotolewa leo Jumatano tarehe 18 Juni 2025, ambayo imeeleza baadhi ya matukio hayo, polisi wamesema uchunguzi wa kina umebaini kuwa watu wengi waliodaiwa kutekwa ama walikuwa wamejificha kwa hiari, walitoroka kutokana na sababu mbalimbali au walihusika katika vitendo vya uhalifu kabla ya kupotea kwao.
Alibainisha kuwa serikali ya Tanzania inachukulia kwa uzito madai hayo, na imekuwa ikifanya uchunguzi wa kina kuhusu kila tukio linaloripotiwa.
Police in Arusha, Tanzania, are investigating a suspected abduction involving a local priest. Pastor Steven Jacob, aged 35, of the…
Licha ya kutohukumiwa, Lissu amedai amekuwa akishikiliwa kwenye eneo maalum la wafungwa wanaosubiri kunyongwa (death row) ndani ya Gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam.
According to an internal U.S. State Department cable seen by Reuters, the countries on the list have been flagged over issues like poor cooperation with U.S. authorities, failure to take back deported citizens and weak passport or identity systems.
CHADEMA chairperson Tundu Lissu has informed the Kisutu High Court that he has decided to represent himself in the treason…
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ameieleza Mahakama ya Kisutu kuwa ameamua kujiwakilisha mwenyewe katika shauri la uhaini yanayomkabili, akidai kunyimwa haki ya kuonana kwa faragha na mawakili wake tangu alipowekwa mahabusu zaidi ya miezi miwili iliyopita.
The international community continues to call for urgent action to protect human rights in Tanzania and ensure justice for those who have been subjected to abuse.