• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Tanzania

All news and updates from Tanzania

Tundu Lissu supporters flood a packed court as his treason case resumes
Africa Tanzania

Tundu Lissu supporters flood a packed court as his treason case resumes

Kevin SeweFebruary 9, 2026February 9, 2026

The case has been postponed to Wednesday, 11th 2026.

Mahakama Kutoa Uamuzi Mdogo Mapingamizi Ya Lissu Februari 11
Africa Crime & Justice East Africa People Politics Rights & Freedoms Tanzania

Mahakama Kutoa Uamuzi Mdogo Mapingamizi Ya Lissu Februari 11

Wadh KassimFebruary 9, 2026

Tundu Lissu alisisitiza kuwa kizimba kilichotumika hakiwezi kutambuliwa kama kizimba cha mashahidi kwa mujibu wa kanuni na tafsiri ya kisheria. Alidai kuwa kizimba hicho hakionekani na waheshimiwa majaji, hali ambayo kwa mtazamo wake inakiuka misingi ya usikilizwaji wa haki.

Lissu Aelezea Dhulma Anayodai Kufanyiwa Na Maafisa Wa Magereza
Africa Crime & Justice East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Lissu Aelezea Dhulma Anayodai Kufanyiwa Na Maafisa Wa Magereza

Wadh KassimFebruary 9, 2026

Lissu alieleza kuwa haki yake ya kuwasiliana na mawakili wake imekuwa ikikiukwa kwa muda mrefu, akidai kuwa maafisa wa magereza wamekuwa wakisikiliza mazungumzo yake na mawakili wake kinyume na sheria.

Tanzania families still looking for bodies 3 months after protests
Tanzania

Tanzania families still looking for bodies 3 months after protests

Kevin SeweJanuary 28, 2026

Manenos Selanyika could only receive a symbolic burial. His family never found his body after the violent unrest of Tanzania’s election three months ago.

Kenya yaepuka sitisho la viza za uhamiaji Marekani, Tanzania na Uganda zatajwa
Africa East Africa International Kenya Tanzania Uganda

Kenya yaepuka sitisho la viza za uhamiaji Marekani, Tanzania na Uganda zatajwa

Joy CheptooJanuary 15, 2026

Maafisa wa Marekani wanasema hatua hiyo inalenga kufanya upya ukaguzi wa taratibu za kuchuja na kuchunguza waombaji, wakisisitiza kuwa wahamiaji wapya wanapaswa kuwa na uwezo wa kujitegemea kifedha na kutoegemea msaada wa serikali

What next for Tundu Lissu’s treason case?
East Africa People Politics Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

What next for Tundu Lissu’s treason case?

Joy CheptooJanuary 13, 2026

Lissu has now spent over 260 days in custody, according to the timeline in court records cited in the proceedings.

Ni nini hatma ya kesi ya Lissu?
Africa East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Ni nini hatma ya kesi ya Lissu?

Asia GambaJanuary 13, 2026

Tundu Lissu ni mwanasiasa mkongwe wa upinzani na mmoja wa wakosoaji wakuu wa sera na utendaji wa serikali nchini Tanzania, anakabiliwa na mashtaka ya Uhaini ambayo anadaiwa kuyatenda mnamo mwezi Aprili 2025. Kesi yake imeibua mjadala mpana kuhusu uhuru wa kisiasa, nafasi ya upinzani na mwenendo wa haki katika masuala yanayogusa wanasiasa.

Mahakama Yakataa Ombi la Kufuta Kesi ya Kambi ya Kifahari ya Ritz-Carlton Maasai Mara
East Africa Environment Kenya Tanzania

Mahakama Yakataa Ombi la Kufuta Kesi ya Kambi ya Kifahari ya Ritz-Carlton Maasai Mara

Joy CheptooDecember 18, 2025

Kesi hiyo ilifunguliwa mwezi Agosti na mwanaharakati wa mazingira Meitamei Ole Dapash, aliyepinga kufunguliwa kwa kambi hiyo akidai imejengwa katika eneo muhimu la kupitisha wanyamapori kati ya Hifadhi ya Maasai Mara nchini Kenya na Hifadhi ya Serengeti nchini Tanzania.

Ritz-Carlton Maasai Mara Legal Battle Continues After Court Rejects Withdrawal
East Africa Environment Kenya Tanzania

Ritz-Carlton Maasai Mara Legal Battle Continues After Court Rejects Withdrawal

Joy CheptooDecember 18, 2025December 18, 2025

The case was filed in August by environmentalist Meitamei Ole Dapash, who challenged the opening of the luxury safari camp near the Kenya–Tanzania border.

Dkt Mwigulu: Watanzania Tunzeni Akiba ya Chakula
East Africa Food Security Tanzania

Dkt Mwigulu: Watanzania Tunzeni Akiba ya Chakula

Asia GambaDecember 15, 2025December 15, 2025

Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania watunze akiba ya chakula walichonacho na waepuke matumizi yasiyofaa kutokana na hali ya kuchelewa kwa msimu wa mvua.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy