• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Tanzania

All news and updates from Tanzania

TLS yavalia njuga madai ya Wamaasai wa Ngorongoro, yatoa rai kwa Serikali
Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

TLS yavalia njuga madai ya Wamaasai wa Ngorongoro, yatoa rai kwa Serikali

Asia GambaAugust 20, 2024August 20, 2024

Chama cha Wanasheria Tanganyika(TLS), kimetoa rai kwa serikali ya Tanzania kuonyesha nia yake ya dhati kwa kurudisha huduma zote za kijamii kwa wananchi wa Ngorongoro kwa kuwa ni haki yao.

Washukiwa ‘Waliotumwa na Afande’ Kulawiti na Kubaka msichana wafikishwa Kortini
Crime & Justice Tanzania

Washukiwa ‘Waliotumwa na Afande’ Kulawiti na Kubaka msichana wafikishwa Kortini

Kevin SeweAugust 19, 2024August 20, 2024

Watu wanne wanaotuhumiwa ‘kutumwa na afande’ kumlawiti na kumbaka binti mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam leo Jumatatu…

TLS, Maaskofu: Wamaasai wananyimwa haki zao Tanzania
Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

TLS, Maaskofu: Wamaasai wananyimwa haki zao Tanzania

Kevin SeweAugust 19, 2024August 20, 2024

Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) wamesema kutowasikiliza Wamaasai wanaioshi katika eneo la Hifadhi ya Ngorongoro ni kuwanyima…

Dodoma Police Commander Transferred After Controversial Remarks About Rape Victim
East Africa Gender Tanzania

Dodoma Police Commander Transferred After Controversial Remarks About Rape Victim

Joy CheptooAugust 19, 2024August 19, 2024

The transfer comes shortly after her controversial comments regarding a gang rape case, where she referred to the victim as a “sex worker.”

Kesi ya binti aliyebakwa yamng’oa RPC Dodoma, ni baada ya kudai aliyebakwa ni kama “Kahaba”
East Africa Tanzania

Kesi ya binti aliyebakwa yamng’oa RPC Dodoma, ni baada ya kudai aliyebakwa ni kama “Kahaba”

Asia GambaAugust 19, 2024

Uhamisho wa RPC Mallya umekuja saa chache baada ya kauli yake juu ya binti aleyebakwa na kulawitiwa na vijana watano wanaodaiwa kutumwa na afande kufanya tukio hilo.

Maasai in Ngorongoro Protest and Block Highway Over Rights Violations
East Africa Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Maasai in Ngorongoro Protest and Block Highway Over Rights Violations

Joy CheptooAugust 18, 2024August 18, 2024

In the past four years, the Tanzanian government has suspended all social services, including healthcare and education, in the Ngorongoro area to pressure the Maasai to vacate their land

MAGARI YA WATALII YAKWAMA NGORONGORO KUFUATIA MAANDAMANO YA WAMAASAI YANAYOENDELEA
Rights & Freedoms Tanzania

MAGARI YA WATALII YAKWAMA NGORONGORO KUFUATIA MAANDAMANO YA WAMAASAI YANAYOENDELEA

Asia GambaAugust 18, 2024August 18, 2024

Msururu wa magari ya watalii yameshuhuduwa kukwama kuendelea na safari zao kufuatia maandamano ya Wamaasai yanayoendelea katika eneo la Ngorongoro yaliyoanza mapema leo asubuhi.

WAMASAI WA NGORONGORO WAANDAMANA  KUDAI HAKI ZAO IKIWEMO YA KUANDIKISHWA KAMA WAPIGA KURA
Rights & Freedoms Tanzania

WAMASAI WA NGORONGORO WAANDAMANA KUDAI HAKI ZAO IKIWEMO YA KUANDIKISHWA KAMA WAPIGA KURA

Asia GambaAugust 18, 2024August 18, 2024

Wamasai waishio Ngorongoro kwa muda mrefu wamekuwa wakikabiliwa na vizuizi vya huduma za kijamii, unyanyasaji wa kimwili na serikali, ukiukwaji wa haki za ardhi, kukataliwa kuandikishwa kama wapiga kura na kutakiwa kuhama na kadi za kupita katika ardhi yao wenyewe.

WHO Latangaza Virusi vya MPOX kuwa Dharura ya Afya Duniani
Africa East Africa International Kenya Lifestyle & Health Tanzania Uganda

WHO Latangaza Virusi vya MPOX kuwa Dharura ya Afya Duniani

Wadh KassimAugust 15, 2024August 15, 2024

Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani, WHO, Tedros Adhanom Ghebreyesus, ametangaza virusi vya Mpox kuwa ni dharura ya afya ya umma duniani kutokana na kuongezeka kwa maambukizi yake barani Afrika.

Marekani yashtushwa na ghasia za polisi wa Tanzania, kukamatwa kwa upinzani
East Africa Politics Tanzania

Marekani yashtushwa na ghasia za polisi wa Tanzania, kukamatwa kwa upinzani

Asia GambaAugust 15, 2024August 15, 2024

Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umesema umeshtushwa” na ripoti kwamba polisi wa Tanzania walitumia nguvu kupita kiasi walipowakusanya wanachama kadhaa wa upinzani kutokana na maandamano ya vijana yaliyopigwa marufuku wiki hii.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo