Mwandishi wa Uganda aliyeshutumiwa kuitusi familia ya Rais Yoweri Museveni aachiliwa huru
Rukirabashaija alishtakiwa Januari 11 kwa “jumbe za kuudhi” kutokana na msururu wa jumbe zake kwenye Twitter kumhusu Museveni na mwanawe Muhoozi Kainerugaba.
Rukirabashaija alishtakiwa Januari 11 kwa “jumbe za kuudhi” kutokana na msururu wa jumbe zake kwenye Twitter kumhusu Museveni na mwanawe Muhoozi Kainerugaba.
Giddes Chalamanda has no idea what TikTok is. He doesn’t even own a smartphone.
DJ Clef alipatikana akiwa amefariki, huku viungo vyake na sehemu zake za siri zikiwa hazipo.
Baadhi ya wakosoaji wanamtuhumu kwa kukiuka maadili ya kihafidhina ya jamii ya Kiislamu huku wengine wakisimama kidete naye.
Kulikuwa na matukio ya fujo kwenye michuano ya AFCON Mali ilipoifunga Tunisia katika mchezo uliokumbwa na mabishano
“Ninajivunia kwamba sarafu hizi zinasherehekea michango ya baadhi ya wanawake waanzilishi wa Amerika, Janet Yellen.
Moto huo ulisababisha karibu kaya na ofisi 4,000, pamoja na hospitali, kukosa huduma ya mtandao kwa saa 28 hadi 50.
Kakwenza Rukirabashaija ameshtakiwa kwa makosa mawili ya “mawasiliano ya kukera” na kuwekwa rumande hadi Januari 21
The money will extend for at least 15 years.
Chef Dieuveil Malonga learned his craft in Europe’s top restaurants, but says he owes his success to grandmothers across Africa.