Hakuna manusura aliyepatikana kwenye ajali ya Ndege China
Mabaki ya ndege yamepatikana katika eneo la ajali hiyo lakini hakuna yeyote aliyekuwemo ndani aliyepatikana hai.
Mabaki ya ndege yamepatikana katika eneo la ajali hiyo lakini hakuna yeyote aliyekuwemo ndani aliyepatikana hai.
The suspects are accused of posting anti-government messages including calls to topple China’s communist regime.
Siku ya Jumamosi iliripoti vifo viwili vya Covid-19 ikiwa ni mara ya kwanza kwa mwaka huu.
Kwa mujibu wa taarifa ya Mamalaka ya Usafiri wa Anga ya China, ndege hiyo aina ya Boeing-737 ilikuwa ikitokea mji wa Kunming kuelekea Guangzhou.
“At present, it has been confirmed that this flight has crashed,”
Mwanamume huyo mwenye umri wa miaka 67 alivinjari tovuti za ndoa akijifanya kuwa daktari na kuwashawishi wanawake maprofesa, wanasheria, matabibu na afisa wa kijeshi kufunga ndoa naye
Mlipuko wa mlima Merapi mkubwa wa mwisho ulifanyika 2010 na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 300 huku takriban wakaazi 280,000 wakiyahama makaazi yao
UK gas hit 508.80 pence per therm.
Hospitals have been stretched to breaking point.
Televisheni ya taifa ya China CCTV imeripoti kuwa rais wa nchi hiyo, Xi Jinping, amemwambia mwenzake wa Urusi Vladimir Putin kwamba Beijing inaunga mkono Moscow katika juhudi za kutatua mgogoro wa Ukraine.