Ubalozi wa Marekani wakutana na rais Uhuru Kenyatta
Seneta wa Marekani Chris Coons amekutana na kufanya mazungumzo na rais Uhuru Kenyatta.
Seneta wa Marekani Chris Coons amekutana na kufanya mazungumzo na rais Uhuru Kenyatta.
Johnson will have a lot more time on his hands after hand over as Conservative leader, but decided to take a break sooner
Truss’s lagging rival Rishi Sunak vied to make up lost ground with a plan for future tax cuts.
The Games, held every four years, are often criticized as a quirky sporting relic but will be launched in style at Thursday’s opening ceremony
Zaidi ya wanariadha 5,000 watapata nafasi ya kushiriki katika michezo ya Jumuiya ya Madola katika jiji la Birmingham nchini Uingereza kuanzia Ijumaa.
The 74-year-old told the lower house of parliament he was heading to the office of President Sergio Mattarella, whose role it is to formerly accept the resignation and guide the country out of the crisis.
Kujiuzulu kwa Draghi kumekuja baada ya vyama kadhaa muhimu katika muungano wake vuguvugu lenye nguvu la 5-Star, chama kikubwa zaidi katika serikali ya mseto ya nchi hiyo, kususia kura ya imani
On Tuesday, the Polish government announced a programme to encourage refugees to move to rural areas lacking workers.
Matokeo yatatangazwa Septemba 5. Kura ya Jumanne inamaanisha Uingereza huenda ikapata waziri mkuu wake wa kwanza mwenye asili ya Asia au kiongozi wa tatu mwanamke katika historia yake.