Rais wa Afrika Kusini, Ramaphosa afanya mazungumzo na Rais wa Ukraine
Ramaphosa alitangaza kwamba alikuwa na mazungumzo ya simu na Zelensky “kujadili mzozo wa Ukraine na gharama yake pamoja na athari zake za kimataifa.”
Ramaphosa alitangaza kwamba alikuwa na mazungumzo ya simu na Zelensky “kujadili mzozo wa Ukraine na gharama yake pamoja na athari zake za kimataifa.”
Gun salutes will mark Queen Elizabeth II’s 96th birthday on Thursday, although the monarch herself was expected to mark the…
Italia inataka kuongeza Angola na Congo-Brazzaville kwenye orodha ya mataifa wasambazaji wa gesi kuchukua nafasi ya Urusi, ambayo huisambazia Italia takriban asilimia 45 ya gesi
Kamishna Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR, Filippo Grandi amesema waukraine 5,034,439 wameondoka nchini mwao tangu kuanza kwa uvamizi wa Urusi tarehe 24 ya mwezi Februari mwaka huu.
Cristiano Ronaldo na mpenzi wake Georgina Rodriguez wametangaza Jumatatu kuwa mtoto wao mchanga amefariki dunia. Ronaldo alifichua katika chapisho la…
Explosions were heard in the Vasylkiv area outside the capital
Kaskazini mwa Burkina Faso ni kitovu cha mashambulizi ya wapiganaji wa Kiislamu waliovuka mpaka kutoka nchi jirani ya Mali mwaka wa 2015
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy ameomba kuhutubia Umoja wa Afrika, Rais wa Senegal Macky Sall alisema Jumatatu. Sall, mwenyekiti wa…
Waziri Mkuu wa Italia Mario Draghi aliwasili Algeria huku Roma ikiongeza juhudi za kupunguza utegemezi wake mkubwa wa gesi ya Urusi.
Atrocities uncovered in the town of Bucha near Kyiv and a deadly missile attack on a crowded train station in Ukraine’s eastern city of Kramatorsk have spurred moves to help the probes.