War in Ukraine – latest developments
Ukrainian President Volodymyr Zelensky challenged the United Nations to “act immediately”.
Ukrainian President Volodymyr Zelensky challenged the United Nations to “act immediately”.
Miaka 20 iliyopita, Aprili 1, 2002, Uholanzi ilikuwa nchi ya kwanza ulimwenguni kuhalalisha “euthanasia”, ambapo mtu husaidiwa kujitoa uhai.
Droo ya Ijumaa itafanyika katika Kituo cha Maonyesho na Mikutano cha Doha, huku washindi wa zamani wa Kombe la Dunia kama vile Cafu na Lothar Matthaeus wakiwa kati ya wasaidizi wa droo.
Kampuni ya BioNTech iliyoko Mainz ilisema ilipata faida ya jumla ya euro bilioni 10.3 (dola bilioni 11.5) mwaka jana, kutoka euro milioni 15 mnamo 2020
Bilionea huyo alionyesha dalili zikiwemo macho mekundu na kuchubuka ngozi baada ya mazungumzo ya amani mjini Kyiv.
The ECB lends to banks but in theory is not allowed to lend directly to eurozone governments themselves
Leo Machi 24, Ukraine inatimiza mwezi mmoja tangu iingie kwenye vita na Urusi baada ya Urusi kuanza kuishambulia Ukraine Februari 24.
Balozi Mulamula amesema kwa miaka mingi sasa Tanzania inaamini katika kutafuta muafaka na maridhiano kwa kutumia njia ya diplomasia ili kumaliza migogoro.
Imeshambulia ghala hilo kwa kutumia makombora ya masafa marefu yaliyorushwa kutoka baharini.
Kulingana na Shirika la Human Rights Watch, watu waliofanikiwa kuukimbia mji huo wameelezea hali mbaya walioiacha ikiwemo maiti kutapakaa barabarani na majengo yaliyoharibiwa.