Tanzania Govt Accuses CNN, BBC and Al Jazeera of “Deliberate Misreporting”
CNN reported that bodies of protesters killed during the post-election unrest may have been buried secretly, citing satellite images, doctors’ accounts and video evidence
CNN reported that bodies of protesters killed during the post-election unrest may have been buried secretly, citing satellite images, doctors’ accounts and video evidence
Waathiriwa, wengi wao wakiwa hawana silaha, walipigwa risasi na polisi, miili yao ikitupwa kama takataka. Mwanamke mjamzito ambaye alijikuta katikati ya vurugu alifyatuliwa risasi mgongoni wakati akijaribu kukimbia. Daktari aliyewahudumia majeruhi aliripoti muundo wa kutisha wa majeraha ya risasi, hasa kichwani, tumboni, kifuani na kwenye miguu.
Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche, akitoa taarifa kwa vyombo vya habari leo Novemba 19, 2025, amesema Rais Samia hana mamlaka ya kimaadili wala kisiasa kuunda chombo cha kuchunguza kile chama hicho kinachokitaja kuwa ni uhalifu uliotekelezwa na Serikali yake dhidi ya raia waliokuwa wakidai haki zao za kidemokrasia.
Rais Samia amesema Tanzania kwa kiasi kikubwa bado inategemea mikopo kutoka taasisi za Kimataifa ili kuendeleza miradi yake ya maendeleo. Hata hivyo, kutokana na matukio yaliyotokea wakati na baada ya uchaguzi, huenda taasisi hizo zikapungukiwa na imani ya kuifadhili Tanzania. Ameeleza kuwa sasa ni muhimu kutafuta mbinu mbadala za kupata fedha, ikiwemo kutumia rasilimali za taifa zilizo ndani ya nchi.
Akitangaza hatua ya serikali kuunda Tume maalum ya uchunguzi, alisema uchunguzi huo utakuwa msingi wa kuelewa chanzo cha migogoro na kuchukua hatua za kurejesha maelewano ya kitaifa.
They claimed that the operation was carried out by a “militia” linked to General Muhoozi Kainerugaba, Museveni’s son and accused regional governments of collusion.
Her lawyer, Peter Kibatala, told the court that Niffer was beaten by several police officers and forced to sign a statement before she was taken to court.
His current location remains unknown, raising serious concerns about his safety and wellbeing.
A text message circulating from the Tanzanian Police warns citizens against sharing photos or videos that could “cause panic” or “undermine someone’s dignity,” saying it’s a criminal offense punishable by law.
She has has affirmed that her election victory reflects the trust and confidence of the Tanzanian people