Nairobi Senator Sifuna Joins Global Call for Release of Tanzania’s Lissu and Heche
The statement accuses Tanzanian authorities of violating human rights through unlawful detention, enforced disappearances and the silencing of opposition voices.
The statement accuses Tanzanian authorities of violating human rights through unlawful detention, enforced disappearances and the silencing of opposition voices.
Taarifa ya Jeshi la Polisi imesema kuwa baadhi ya taarifa hizo zimeandaliwa kwa uangalifu ili kuzalisha taharuki, ikiwemo kuchukua matukio yaliyotokea katika nchi nyingine, kuyatengeneza upya, kisha kuyaunganisha na sauti za Kiswahili zenye lafudhi ya nchi yetu ili yaonekane yametokea nchini.
Tume zote mbili INEC kwa Tanzania Bara na ZEC kwa Zanzibar zimeahidi kufanya uchaguzi ulio huru, wa amani na unaozingatia sheria. Mashirika ya kiraia na waangalizi wa kimataifa pia wanatarajiwa kufuatilia mchakato huo unaotazamwa kama kipimo muhimu cha demokrasia nchini.
Samia, mwenye umri wa miaka 65, anaingia katika kinyang’anyiro cha uchaguzi mkuu wa kesho Jumatano akiwa na historia ya kipekee kama mwanamke wa kwanza kuidhinishwa na CCM kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hapo awali, aliweka historia nyingine kwa kuwa Makamu wa Rais na baadaye Rais wa kwanza mwanamke katika historia ya taifa hilo.
Kupitia ujumbe aliouchapisha kwenye akaunti yake ya X mnamo Oktoba 26, Lissu alisema kuwa chumba chake cha gereza kimefungwa kamera za CCTV zinazorekodi kila hatua yake, hata anapojisaidia au kubadilisha nguo.
Earlier Sunday, police had fired teargas to disperse hundreds of people in Tchiroma’s northern stronghold of Garoua, where activists carried Cameroonian flags and banners reading “Tchiroma 2025” and chanted “Goodbye Paul Biya, Tchiroma is coming”.
Wachambuzi wanasema hofu hiyo imemfanya Hassan kutafuta uhalali mkubwa kupitia uchaguzi, kwa kuhakikisha hakuna dalili ya upinzani ndani ya chama wala nje yake.
His request for bail was denied, as treason is considered a non-bailable offence under Tanzanian law.
Known for its spices and beautiful beaches, Zanzibar is the birthplace of the president — “Mama” as her supporters call her — but she is taking no chances ahead of Wednesday’s election.
His whereabouts remain unknown, while party leader Tundu Lissu remains in custody with his treason trial pushed to November 3