Uganda Law Society Criticizes Museveni Over Remarks on Besigye Trial
The Uganda Law Society said Museveni’s remarks on Besigye’s case and his views on bail interfere with the independence of the courts.
The Uganda Law Society said Museveni’s remarks on Besigye’s case and his views on bail interfere with the independence of the courts.
Jenerali Muhoozi Kainerugaba, mwenye umri wa miaka 52, ambaye ni mwana wa Rais na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Uganda, katika wiki za hivi karibuni ameagiza kukamatwa kwa wanaharakati mashuhuri, wanasiasa na mawakili. Aidha, ameamuru kufungwa kwa kundi kubwa la vyombo huru vya habari nchini.
The public clash comes as sections of the Kenyan media continue to scrutinize government policies, spending and campaign promises ahead of the country’s next General Election in 2027.
Memorial protests are planned on Thursday to mark two years since the country’s biggest show of dissent, when Kenyans stormed parliament to protest new taxes amid wider anger over corruption.
If enacted, the legislation would require the US government to assess the current state of relations between Washington and Dar es Salaam and examine Tanzania’s growing ties with China and Russia.
Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amefafanua mjadala ulioibuka hivi karibuni kuhusu upatikanaji wa huduma za matibabu kati ya Zanzibar na Tanzania Bara, akisisitiza kuwa ushirikiano uliopo kati ya mifuko ya bima ya afya ya pande mbili za Muungano unaendelea kuruhusu wananchi kupata huduma bila ubaguzi.
Kamati ya Mahusiano ya Kigeni yabunge la Marekani imeidhinisha miswada mitano ya sera za mambo ya nje, ikiwemo muswada unaotaka kufanyika kwa tathmini ya kina ya uhusiano kati ya Marekani na Tanzania kufuatia kile wabunge wa Marekani wanachokitaja kuwa kuongezeka kwa vurugu za kisiasa na kudorora kwa demokrasia nchini humo.
Katika mchango wake, Waitara alisema viongozi wanapaswa kuwa waangalifu wanapozungumza hadharani ili kulinda umoja wa kitaifa na kuzuia kauli zinazoweza kuibua taharuki au migawanyiko katika jamii.
Multiple activists and opposition figures from neighbouring countries have been abducted in Kenya in recent years.
The outcome of Thursday’s hearing could determine the next direction of the case.