Kenya starvation cult preacher charged over 52 more deaths
A self-proclaimed preacher in Kenya linked to an infamous starvation cult that killed more than 400 people was charged on Wednesday over a further 52 deaths, prosecutors said.
A self-proclaimed preacher in Kenya linked to an infamous starvation cult that killed more than 400 people was charged on Wednesday over a further 52 deaths, prosecutors said.
Tundu Lissu alisisitiza kuwa kizimba kilichotumika hakiwezi kutambuliwa kama kizimba cha mashahidi kwa mujibu wa kanuni na tafsiri ya kisheria. Alidai kuwa kizimba hicho hakionekani na waheshimiwa majaji, hali ambayo kwa mtazamo wake inakiuka misingi ya usikilizwaji wa haki.
Eric Langat, maarufu Kirinyet, alipatikana katika hali ya kutatanisha na mgonjwa ndani ya chumba cha ushauri baada ya wenzake kukimbilia kufuatia kelele za msaada.
Eric Langat, popularly known as Kirinyet, was discovered in a compromising situation with the woman inside a consultation room after colleagues rushed to respond to her distress call.
Lissu alieleza kuwa haki yake ya kuwasiliana na mawakili wake imekuwa ikikiukwa kwa muda mrefu, akidai kuwa maafisa wa magereza wamekuwa wakisikiliza mazungumzo yake na mawakili wake kinyume na sheria.
Around one million Goma residents were holed up in their homes on January 26, 2025, when the Congolese army and its allies were forced to pull out of the provincial capital.
The kidnapping of more than 170 people during Sunday services at three churches by gangs known as “bandits” marks the latest in a wave of mass abductions targeting both Christians and Muslims in Nigeria.
Iran vowed on Thursday to defend itself against any foreign threat, after US President Donald Trump said he would “watch it and see” about military action over the crackdown on protesters.
Lissu has now spent over 260 days in custody, according to the timeline in court records cited in the proceedings.
Tundu Lissu ni mwanasiasa mkongwe wa upinzani na mmoja wa wakosoaji wakuu wa sera na utendaji wa serikali nchini Tanzania, anakabiliwa na mashtaka ya Uhaini ambayo anadaiwa kuyatenda mnamo mwezi Aprili 2025. Kesi yake imeibua mjadala mpana kuhusu uhuru wa kisiasa, nafasi ya upinzani na mwenendo wa haki katika masuala yanayogusa wanasiasa.