Pope Francis Resting After ‘Peaceful Night’: Vatican
The 88-year-old had used an oxygen mask overnight for a third time, the Holy See said.
The 88-year-old had used an oxygen mask overnight for a third time, the Holy See said.
Prof. Mikol Philemon Sarungi, ambaye alifariki dunia tarehe 5 Machi 2025 akiwa nyumbani kwake, alijijengea jina kubwa katika historia ya Tanzania kama daktari, mtaalamu wa mifupa, na kiongozi wa serikali.
UNICEF imebaini kuwa kesi 221 za ubakaji dhidi ya watoto zimeripotiwa rasmi tangu mwanzo wa mwaka 2024, lakini idadi halisi inaweza kuwa kubwa zaidi. Waathiriwa ni pamoja na wavulana na wasichana, ambapo theluthi moja ya waathiriwa ni wavulana.
The Argentine head of the Catholic Church was admitted to Rome’s Gemelli hospital on February 14 with bronchitis, which later developed into pneumonia in both lungs.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imemuachilia huru Dkt. Wilbord Slaa(76) baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo.
The arrest on Monday of Blessed Mhlanga, a high-profile journalist with the online Heart and Soul Television channel (HStv), has sparked new criticism of the government’s intolerance of media freedom and opposition.
Chama cha ACT Wazalendo kimelaani vikali kukamatwa kwa ndugu Joseph Paulo Kaheza, Mwenyekiti wa Umoja wa Walimu Wasio na Ajira Tanzania (NETO), ambaye anashikiliwa na polisi mkoani Geita tangu jana Februari 24, 2025
Mwenyekiti wa Umoja wa Walimu Wasio na Ajira Tanzania (NETO), Joseph Paulo Kaheza amekamatwa akiwa mkoani Geita kwa kile kinachodaiwa kuwa ni vuguvugu la kupigania ajira kwa walimu wa Tanzania.
Maandamano hayo ya amani, yaliyoandaliwa na Amnesty International Kenya, Vocal Africa, na mashirika mengine ya kijamii, yalianzia Aga Khan Walk, Nairobi CBD, na kuelekea Bunge la Kenya na Ubalozi wa Uganda.
The peaceful protest, organized by Amnesty International Kenya, Vocal Africa, and other civil society groups, started at Aga Khan Walk in Nairobi’s CBD before proceeding to Parliament Buildings and the Ugandan High Commission.