• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Social Issues

‘Dishi Na County’ Boosts School Enrollment By 34%
Education Food Security Kenya Rights & Freedoms

‘Dishi Na County’ Boosts School Enrollment By 34%

Wadh KassimOctober 29, 2024

Nairobi Governor Johnson Sakaja revealed that the Dishi na County feeding programme has increased the number of children enrolled in primary schools within the county, from 250,000 before the program began to 310,000.

Waziri Gwajima ataka wanafunzi waliojirekodi utupu wapelekwe kwenye mpango wa kurekebisha tabia
Africa East Africa Social Issues Tanzania

Waziri Gwajima ataka wanafunzi waliojirekodi utupu wapelekwe kwenye mpango wa kurekebisha tabia

Asia GambaOctober 24, 2024

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima amebaini hayo akiwa kwenye ziara Mkoani Tabora ambapo amesikitishwa pia na kitendo cha baadhi ya Watoa huduma Mashuleni kuwatongoza Wanafunzi.

Prof. Sedoyeka atoa utetezi wake mbele ya Baraza la Maadili
East Africa Social Issues Tanzania

Prof. Sedoyeka atoa utetezi wake mbele ya Baraza la Maadili

Asia GambaOctober 18, 2024

Sedoyeka anadaiwa kukiuka maadili ya viongozi ya umma kwa kumpandisha cheo mtumishi kwa upendeleo,  kuingilia mchakato wa ununuzi wa viti na meza kampasi ya Babati na uhusiano wa karibu na mtumishi na kufanya uhamisho wa ndani wa mtumishi.

UN yaitaka Tanzania kuchukua hatua za haraka kukabiliana na ukiukwaji wa haki za binadamu kabla ya uchaguzi
East Africa Rights & Freedoms Tanzania

UN yaitaka Tanzania kuchukua hatua za haraka kukabiliana na ukiukwaji wa haki za binadamu kabla ya uchaguzi

Asia GambaOctober 18, 2024

Wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wameitaka Tanzania kuacha kuendelea na ongezeko la ukiukwaji wa haki za binadamu dhidi ya wanachama wa vyama vya upinzani, mashirika ya kiraia, waandishi wa habari, watu wa asili na watoa huduma za haki za binadamu.

Mlipuko wa tanki la mafuta waua karibu watu 100 nchini Nigeria
Africa Social Issues

Mlipuko wa tanki la mafuta waua karibu watu 100 nchini Nigeria

Asia GambaOctober 16, 2024

Wengi wa wahanga walikuwa wakijaribu kukusanya mafuta yaliyomwagika barabarani baada ya tanki hilo kugonga katika jimbo la Jigawa, kaskazini mwa Nigeria.

French Government Wants New Immigration Law in 2025
International Rights & Freedoms

French Government Wants New Immigration Law in 2025

Mwanzo EditorOctober 14, 2024October 14, 2024

Bregeon’s announcement comes less than a year after France adopted an immigration law following months of wrangling, and the new proposals are spurring fresh tensions in the National Assembly lower house divided into three blocs.

Wasichana Milioni 79 kusini mwa Sahara wamekumbana na ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia:UNICEF
Africa People Social Issues

Wasichana Milioni 79 kusini mwa Sahara wamekumbana na ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia:UNICEF

Asia GambaOctober 10, 2024

Duniani kote, UNICEF inakadiria kwamba unyanyasaji wa kijinsia umewakumba wasichana na wanawake wapatao milioni 370, huku takriban mmoja kati ya watano aliyopo Kusini mwa Sahara akipitia unyanyasaji wa kijinsia au ubakaji kabla ya kufikisha umri wa miaka 18.

Raia wa Msumbiji wapiga kura kumchagua rais mpya
Africa Politics Social Issues

Raia wa Msumbiji wapiga kura kumchagua rais mpya

Asia GambaOctober 9, 2024

Uchaguzi huu unakuja katikati ya mvutano wa kisiasa katika taifa hilo la kusini mwa Afrika, ambalo linakabiliwa na viwango vya juu vya umasikini na ukosefu wa usawa, huku ghasia za kiusalama kaskazini zikizuia miradi mikubwa ya gesi.

From Mathare Slums to A Renowned Activist, The Inspiring Journey of Rachael Mwikali
East Africa Features Gender Kenya People Rights & Freedoms Shangazi Power

From Mathare Slums to A Renowned Activist, The Inspiring Journey of Rachael Mwikali

Joy CheptooOctober 2, 2024

Her journey has not been easy, it’s a story of resilience, determination, and a deep love for her community.

Kabendera akusudia kukata rufaa kesi yake dhidi ya Vodacom
East Africa Rights & Freedoms Tanzania

Kabendera akusudia kukata rufaa kesi yake dhidi ya Vodacom

Asia GambaOctober 2, 2024October 3, 2024

Katika kesi hiyo Kabendera aliyewakilishwa na Wakili Peter Madeleka alikuwa akiituhumu Vodacom kufanikisha kukamatwa kwake akieleza kama ‘kutekwa’ na hatimaye kufunguliwa kesi hiyo ya uhujumu Uchumi mwaka 2019.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy