Death toll from Tel Aviv attack rises to seven
A man wounded in a shooting and stabbing attack in the Israeli city of Tel Aviv has died, the medical centre where he was being treated said Wednesday, bringing the number of fatalities up to seven.
A man wounded in a shooting and stabbing attack in the Israeli city of Tel Aviv has died, the medical centre where he was being treated said Wednesday, bringing the number of fatalities up to seven.
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema anakusudia kuishtaki kampuni ya Tigo na Serikali ya Tanzania katika mahakama ya Uingereza kufuatia kampuni hiyo kushirikiana na Serikali katika kutoa taarifa zake na kumfatilia hadi kusababisha kushambuliwa kwake.
The villages were initially removed as part of a broader government move announced on August 2, 2024.
Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umeungana na raia wengine wa taifa hilo kushtumu mauaji ya mwanasiasa wa chama cha upinzani Chadema Ali Mohammed Kibao.
Leo, Septemba 9,2024 mwili wa Ali Kibao, kada maarufu wa chama cha Chadema ambaye alifariki baada ya kutekwa umezikwa huku umati mkubwa wa watu umejitokeza kushuhudia safari yake ya mwisho iliyojaa huzuni ya kutafakarisha
Kesi ya afande anayedaiwa kuwatuma vijana kubaka kwa kikundi na kumwingilia kinyume na maumbile binti mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es salaam, Fatma Kigondo inakuja leo baada ya mahakama kutoa hati ya wito kwa mara nyingine Agosti 23 mwaka huu.
Kundi moja la wanaharakati nchini Uganda leo wamefanya maandamano ya kupinga ufisadi katika taifa hilo. Hata hivo kundi hilo la…
In significant digital freedom development, X (formerly Twitter) has been blocked across multiple internet service providers (ISPs) in Tanzania. The internet…
A Dar es Salaam High Court In Tanzania on Wednesday 28th Aug 2024 directed the Police Force to investigate the…
The Tanzanian government has, in recent years, suspended social services in the Ngorongoro area, aiming to pressure the Maasai to vacate their land.