Lebanon Says nearly 2,300 Killed in Israel War
Israeli attacks on Lebanon have killed nearly 2,300 people since March 2, Lebanon’s health ministry said, on the first day of the ceasefire in the Israel-Hezbollah war.
Israeli attacks on Lebanon have killed nearly 2,300 people since March 2, Lebanon’s health ministry said, on the first day of the ceasefire in the Israel-Hezbollah war.
Lissu alikamatwa Aprili 9, 2025 katika Wilaya ya Mbinga, mkoani Ruvuma, wakati wa operesheni maalum iliyopewa jina la “No Reforms No Election”, kampeni iliyolenga kushinikiza mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi nchini.
Mnamo Juni 2024, wimbi la maandamano lililoongozwa na kile kinachoitwa “Gen Z” lilienea nchini baada ya Rais William Ruto kutangaza ongezeko la kodi, jambo lililopunguza umaarufu wake miongoni mwa vijana.
This month, Sudan’s army said drone attacks had been launched “from inside Ethiopian territory”, in the first accusation of Ethiopian involvement in the war.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu, ametoa tuhuma nzito dhidi ya…
According to his filing, being in prison has prevented him from attending routine medical check-ups, raising fears that further delays in hearing the case could worsen his condition.
Ameeleza sababu tano kuu, ikiwemo kuwa yuko kizuizini tangu Aprili 2025, pamoja na hali yake ya afya inayohitaji uangalizi wa mara kwa mara kufuatia jaribio la mauaji dhidi yake mwaka 2017.
Kwa mujibu wa MISA, ripoti za tume hizo zinategemea kwa kiasi kikubwa nyaraka za sera zinazopingwa, ikiwemo Ripoti ya Mfano wa Matumizi Mbalimbali ya Ardhi ya mwaka 2019 (MLUM), na zinapuuza ushahidi wa kisayansi unaopingana na simulizi la serikali.
Oleshangay said the recommendations appear to push toward removing people from Ngorongoro instead of addressing the concerns raised by residents.
Hukumu hiyo imetolewa na Jaji Angaza Mwipopo baada ya mahakama kuridhika na ushahidi uliowasilishwa na upande wa Jamhuri. Akisoma hukumu, Jaji Mwipopo amesema kuwa ushahidi uliotolewa ulithibitisha kuwa mshtakiwa alitenda kosa hilo Desemba 14, 2024 katika eneo la Ipogolo.