Lissu: Kingai Amesema Hawezi Kunitetea
Kwa mujibu wa Lissu, baada ya mazungumzo hayo, Kingai alimweleza kuwa hayuko tayari kutoa ushahidi kwa upande wa utetezi, akisema yuko upande wa watu wanaotamani Lissu apatikane na hatia na atafurahi kusikia hilo.