Tanzania yajitetea mbele Umoja wa Mataifa kuhusu matukio ya utekwaji, yafafanua tukio la Mwangi na Agatha
Alibainisha kuwa serikali ya Tanzania inachukulia kwa uzito madai hayo, na imekuwa ikifanya uchunguzi wa kina kuhusu kila tukio linaloripotiwa.