Kenya, Tanzania Na Uganda Zashutumiwa Kwa Ukandamizaji Wa Wanaharakati Nje Ya Mipaka
Kenya, Tanzania na Uganda yametajwa miongoni mwa mataifa yanayoshiriki katika ukandamizaji wa wapinzani na wanaharakati nje ya mipaka yao, ikionyesha Afrika Mashariki kama kitovu cha mashirikiano ya kiusalama yenye sura ya kiimla, kulingana na ripoti mpya ya Freedom House