Rais wa Burundi atahadharisha vita vinavyoendelea Mashariki mwa DRC
Rais wa Burundi atoa onyo kuhusu vita vinavyoendelea Mashariki mwa DRC akisema kuwa vita hivyo vinaweza kusababisha vita vya kikanda.
Rais wa Burundi atoa onyo kuhusu vita vinavyoendelea Mashariki mwa DRC akisema kuwa vita hivyo vinaweza kusababisha vita vya kikanda.
Mkutano huo ulifanyika baada ya wanajeshi 16 kutoka Afrika Kusini na Malawi, pia wanachama wa SADC, kuuawa katika mapigano ya karibuni karibu na Goma, ambako walikuwa wamepelekwa kama sehemu ya juhudi za kudumisha amani.
After seizing the biggest city in eastern DR Congo, the Rwandan-backed armed group M23 was advancing south through a neighbouring…
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Felix Tshisekedi, amesema jeshi lake linatekeleza wajibu dhidi ya wapiganaji wanaoungwa mkono na Rwanda, waliovamia maeneo mapya mashariki mwa nchi, na alionya juu ya uwezekano wa “kuongezeka kwa mivutano” katika eneo hilo.
Rais wa Angola alitoa wito Jumatano kwa “kuondolewa mara moja” kwa wanajeshi wa Rwanda kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na kwa viongozi wa nchi hizo mbili kukutana kwa dharura huko Luanda kujadili mgogoro huo.
The president of crisis-hit Democratic Republic of Congo was set to meet his Rwandan counterpart at an emergency summit on Wednesday, as fighters backed by Kigali appeared on the brink of seizing the key city of Goma.
Kenya imelaani shambulizi lililofanywa dhidi ya ubalozi wake katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Kinshasa, siku ya Jumanne. Shambulizi hili ni miongoni mwa mashambulizi kadhaa yaliyolenga balozi za nchi mbalimbali, wakati wa maandamano dhidi ya mzozo unaozidi kuzidi mashariki mwa DRC.
Risasi zilisikika katika maeneo kadhaa ya mji wa Goma, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), siku leo Jumanne, wakati wanajeshi wa Kongo walipokutana uso kwa uso na wapiganaji wa kikundi cha M23, kilichosaidiwa na wanajeshi wa Rwanda, kabla ya kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
The G7 also reaffirmed its support for Israel’s defense from security threats, urging “Iran and its proxies to refrain from any further attack against Israel.”
Hamas sparked the war in Gaza by staging the deadliest-ever attack on Israel on October 7, 2023, resulting in the deaths of 1,210 people, mostly civilians