• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: africa

Afrika yakabiliwa na upungufu wa dawa ya usingizi kwa upasuaji wa watoto
Africa Lifestyle & Health

Afrika yakabiliwa na upungufu wa dawa ya usingizi kwa upasuaji wa watoto

Asia GambaJune 22, 2026

Halothane bado inatumika kwa kiasi kikubwa katika nchi za Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kuwapa watoto usingizi wakati wa upasuaji. Sababu kuu ni kwamba dawa hiyo ni nafuu zaidi, ikiwa na gharama mara saba hadi kumi chini ya mbadala wake wa kisasa, sevoflurane.

Bunge la Marekani laidhinisha muswada wa kutathmini upya uhusiano wake na Tanzania
Europe Politics Tanzania Uncategorized

Bunge la Marekani laidhinisha muswada wa kutathmini upya uhusiano wake na Tanzania

Asia GambaJune 18, 2026

Kamati ya Mahusiano ya Kigeni yabunge la Marekani imeidhinisha miswada mitano ya sera za mambo ya nje, ikiwemo muswada unaotaka kufanyika kwa tathmini ya kina ya uhusiano kati ya Marekani na Tanzania kufuatia kile wabunge wa Marekani wanachokitaja kuwa kuongezeka kwa vurugu za kisiasa na kudorora kwa demokrasia nchini humo.

Waitara amvaa Simai kwa kauli ya “Yuda” bungeni, ataka amtaje anayemlenga
Africa East Africa Politics Tanzania

Waitara amvaa Simai kwa kauli ya “Yuda” bungeni, ataka amtaje anayemlenga

Asia GambaJune 17, 2026

Katika mchango wake, Waitara alisema viongozi wanapaswa kuwa waangalifu wanapozungumza hadharani ili kulinda umoja wa kitaifa na kuzuia kauli zinazoweza kuibua taharuki au migawanyiko katika jamii.

Marekani na Iran zakubaliana kumaliza vita, Hormuz kufunguliwa tena
Europe International Middle East

Marekani na Iran zakubaliana kumaliza vita, Hormuz kufunguliwa tena

Asia GambaJune 15, 2026

Marekani na Iran zimetangaza kufikia makubaliano ya kusitisha vita vya Mashariki ya Kati katika maeneo yote ya mapigano, ikiwemo Lebanon, pamoja na kufungua tena Mlango wa Hormuz, njia muhimu ya usafirishaji wa mafuta duniani.

Msaidizi wa Lissu alivyonusurika kutekwa usiku Dar, Chadema yaibua maswali mazito
Africa Crime & Justice East Africa Politics Social Issues Tanzania

Msaidizi wa Lissu alivyonusurika kutekwa usiku Dar, Chadema yaibua maswali mazito

Mwanzo EditorMay 21, 2026

Katika simulizi yake iliyojaa taharuki, Jumbe amesema tukio hilo lilianza majira ya saa nne usiku akiwa njiani kuelekea nyumbani kwake Mabwepande, Bunju, akiwa ameambatana na rafiki yake aliyemtaja kwa jina la Macha.

Mgomo wa usafiri Kenya kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta waingia siku ya pili
Africa East Africa Kenya People Politics War & Conflicts

Mgomo wa usafiri Kenya kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta waingia siku ya pili

Asia GambaMay 19, 2026

Waendeshaji wa matatu walishindwa kufikia makubaliano ya kupunguza bei katika mazungumzo na serikali siku ya jana Jumatatu, hali iliyosababisha mgomo huo kuendelea.

Wanasiasa na Wanaharakati waishambulia Ofisi ya Msajili kwa kutishia kuifuta Chadema
East Africa Politics Tanzania

Wanasiasa na Wanaharakati waishambulia Ofisi ya Msajili kwa kutishia kuifuta Chadema

Asia GambaMay 14, 2026

Ukosoaji huo umeongezeka katika mtandao wa X, ambapo viongozi mbalimbali wa kisiasa, wanasheria na watetezi wa haki za binadamu wameeleza wasiwasi wao kuhusu kile wanachodai kuwa ni matumizi ya mamlaka yanayoweza kuhatarisha demokrasia na ushindani wa kisiasa nchini.

Jaji Maraga awashambulia Ruto na Samia adai wanaleta udikteta Afrika Mashariki
Africa East Africa Kenya Politics Social Issues Tanzania

Jaji Maraga awashambulia Ruto na Samia adai wanaleta udikteta Afrika Mashariki

Mwanzo EditorMay 5, 2026

Katika siku ya kwanza ya ziara ya kiserikali ya Rais Ruto nchini Tanzania, Rais Samia alimuomba Ruto kushirikiana naye kuwaadhibu vijana wa kizazi kipya maarufu kizazi cha Gen Z wanaosababisha “fujo” katika nchi zote mbili kwa kukiuka sheria kwa kisingizio cha kuminywa kwa demokrasia.

Tume yabaini mbinu 16 zilizotumika kuratibu ghasia za Oktoba 29
East Africa People Politics Tanzania

Tume yabaini mbinu 16 zilizotumika kuratibu ghasia za Oktoba 29

Mwanzo EditorApril 23, 2026

Kwa mujibu wa ripoti hiyo, Tume imepata ushahidi unaoonyesha kuwa matukio hayo hayakutokea kwa bahati mbaya, bali yalipangwa, yaliratibiwa, yalifadhiliwa na kutekelezwa na watu waliokuwa na maandalizi ya awali, ikiwemo kupata mafunzo maalum.

Heche:Hatuwezi kufanya mazungumzo yoyote kama Lissu yupo gerezani
East Africa Politics Tanzania

Heche:Hatuwezi kufanya mazungumzo yoyote kama Lissu yupo gerezani

Asia GambaApril 16, 2026

“Tumeshasema wazi, mtu anayeweza kuongoza chama hiki kufanya maamuzi yoyote yuko gerezani. Mwachieni Lissu” alisema Heche

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy