• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: africa

Kesi ya Tundu Lissu: Safari kutoka kukamatwa Mbinga hadi kusubiri uamuzi wa Mahakama
Africa Crime & Justice East Africa Politics Tanzania

Kesi ya Tundu Lissu: Safari kutoka kukamatwa Mbinga hadi kusubiri uamuzi wa Mahakama

Asia GambaAugust 18, 2026

Safari ya kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, imechukua zaidi ya mwaka mmoja tangu alipokamatwa katika wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma Aprili 9, 2025.

Hichilema ashinda muhula mwingine wa urais Zambia kwa asilimia 60
Africa Politics

Hichilema ashinda muhula mwingine wa urais Zambia kwa asilimia 60

Asia GambaAugust 18, 2026

Ushindi wa Hichilema, mwenye umri wa miaka 64, ulitarajiwa kwa kiasi kikubwa. Alikuwa akikabiliwa na wagombea 13, akiwemo aliyekuwa waziri wa zamani wa mkoa, Brian Mundubile, ambaye alikuwa akigombea urais kwa mara ya kwanza.

Rais wa Tanzania azindua tume ya kuchunguza wahusika wa ghasia za uchaguzi wa 2025
Africa East Africa Politics Tanzania

Rais wa Tanzania azindua tume ya kuchunguza wahusika wa ghasia za uchaguzi wa 2025

Asia GambaAugust 7, 2026

Tume hiyo imepewa jukumu la kuchunguza kwa kina watu waliohusika katika ghasia hizo, ikiwa ni pamoja na kubaini waliochochea matukio hayo na waliotoa fedha au rasilimali zilizowezesha kutokea kwa ghasia.

Kiongozi wa upinzani Uganda Kizza Besigye alazwa ICU baada ya kuanguka mahakamani
Africa East Africa People Politics Uganda

Kiongozi wa upinzani Uganda Kizza Besigye alazwa ICU baada ya kuanguka mahakamani

Asia GambaJuly 30, 2026

Besigye mwenye umri wa miaka 70, anayekabiliwa na mashtaka ya uhaini kwa madai ya kupanga njama dhidi ya Rais Yoweri Museveni, alianguka Jumatano wakati wa kusikilizwa kwa kesi yake baada ya kukataa mawakili aliopangiwa na serikali. Kabla ya kuanguka, alikuwa akilalamikia kuzuiwa kwa mawakili wake binafsi kumwakilisha.

Tanzania yatetea mpango wa uhamaji wa hiari Ngorongoro mbele ya UNESCO
Africa East Africa Environment Tanzania Uncategorized

Tanzania yatetea mpango wa uhamaji wa hiari Ngorongoro mbele ya UNESCO

Asia GambaJuly 27, 2026

Serikali ya Tanzania imeutetea mpango wa uhamaji wa hiari wa wakazi wa Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro mbele ya Kamati ya Urithi wa Dunia ya UNESCO, ikisema hatua hiyo inalenga kulinda haki za binadamu, kuhifadhi utu wa wananchi na wakati huo huo kuhakikisha uendelevu wa uhifadhi wa eneo hilo.

Chadema yadai Tundu Lissu yuko hatarini gerezani, yataka hatua za haraka
East Africa Politics Tanzania

Chadema yadai Tundu Lissu yuko hatarini gerezani, yataka hatua za haraka

Asia GambaJuly 27, 2026

Katika taarifa kwa umma iliyotolewa leo Jumatatu, Julai 27, na kusainiwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa chama hicho, Brenda Rupia, CHADEMA imesema imepokea taarifa kutoka kwa shirika la World Liberty Congress, linalojihusisha na masuala ya demokrasia, haki za binadamu na utawala wa sheria, zikieleza kuwepo kwa hofu kuhusu usalama wa Lissu.

Madeleka afunga ukurasa wa ACT Wazalendo, ageukia harakati za haki
East Africa Politics Tanzania

Madeleka afunga ukurasa wa ACT Wazalendo, ageukia harakati za haki

Asia GambaJuly 27, 2026

Wakili na mwanaharakati wa haki za binadamu Peter Madeleka ametangaza rasmi kujiondoa ndani ya Chama cha ACT Wazalendo, akisema anataka kutumia muda na nguvu zake zaidi katika kupigania haki za wananchi na ustawi wa taifa nje ya siasa za chama.

Lissu awataka wanachama kuichangia CHADEMA, kesi ya kikatiba yaendelea Mahakama Kuu
Africa East Africa Politics Tanzania

Lissu awataka wanachama kuichangia CHADEMA, kesi ya kikatiba yaendelea Mahakama Kuu

Asia GambaJuly 21, 2026

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ametoa wito kwa wanachama wa chama hicho kuendelea kuchangia chama na Baraza Kuu, wakati akiwasili katika Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam, ambako usikilizwaji wa shauri la kikatiba namba 7300/2026 unaendelea leo.

Alicia Lissu: Mwaka mmoja bila mawasiliano na mumewe anayekabiliwa na kesi ya uhaini
Africa East Africa Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Alicia Lissu: Mwaka mmoja bila mawasiliano na mumewe anayekabiliwa na kesi ya uhaini

Asia GambaJuly 13, 2026

Mke wa mwanasiasa wa upinzani nchini Tanzania, Tundu Lissu, Alicia Lissu, amesema hajazungumza wala kumuona mumewe kwa kipindi cha mwaka mmoja tangu alipokamatwa na kufunguliwa mashtaka ya uhaini.

Rais Samia awaonya Wanaharakati, asema Tanzania haitasita kutumia nguvu kuhami raia wake
Africa East Africa Tanzania

Rais Samia awaonya Wanaharakati, asema Tanzania haitasita kutumia nguvu kuhami raia wake

Asia GambaJuly 9, 2026

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewaonya wanaharakati wote wanaojihusisha na shughuli za kuchochea vurugu nchini akisema kuwa wanachofanya ni ugaidi huku akienda mbali zaidi kwa kutafsiri neno Ugaidi.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy