• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: africa

Wanaharakati wa Afrika wahimiza vijana kuwa wastahimilivu kujenga Afrika bora
Africa People

Wanaharakati wa Afrika wahimiza vijana kuwa wastahimilivu kujenga Afrika bora

Joy CheptooJanuary 9, 2024January 9, 2024

Wanaharakati hao walitakiwa kuzungumza katika mkutano huo uliopewa jina la ‘The Convention 2024,’ lakini hafla hiyo ilisitishwa dakika za mwisho siku ya Jumapili.

S.Africa’s ex-Olympic runner Oscar Pistorius released on parole 11 years after murdering girlfriend
Africa People

S.Africa’s ex-Olympic runner Oscar Pistorius released on parole 11 years after murdering girlfriend

Mwanzo EditorJanuary 5, 2024January 5, 2024

Pistorius killed Steenkamp, a model and law graduate who was 29 years old at the time, in the early hours of Valentine’s Day 2013, firing four times through the bathroom door of his ultra-secure Pretoria house.

Ruto:Kenya kutoka kwenye dhiki ya deni.
Africa East Africa

Ruto:Kenya kutoka kwenye dhiki ya deni.

Asia GambaDecember 12, 2023December 12, 2023

Rais William Ruto amesema kwamba Kenya inatoka “katika dhiki ya madeni”, akipigia debe sera zake za kiuchumi licha ya hasira ya umma kuhusu nyongeza ya ushuru na kupunguza ruzuku wakati nchi hiyo ikiadhimisha miaka 60 ya uhuru wake.

Pombe yakatisha maisha ya Zahara, mwimbaji wa Afrika Kusini
Africa East Africa

Pombe yakatisha maisha ya Zahara, mwimbaji wa Afrika Kusini

Asia GambaDecember 12, 2023December 12, 2023

Mwimbaji huyo mashughuli aliyeshinda tuzo myimgi alifariki Jumatatu usiku kutokana na tatizo la Ini lililotokana na unywaji wa pombe kupita kiasi.

Aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria nchini Tanzania, atuhumiwa kumfanyia ukatili mfanyakazi wake
Africa East Africa

Aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria nchini Tanzania, atuhumiwa kumfanyia ukatili mfanyakazi wake

Asia GambaNovember 27, 2023November 27, 2023

Gekul ambaye ni Mbunge wa Chama cha Mapinduzi CCM, anatuhumiwa kutoa maelekezo kwa kundi la vijana wake kumwingizia chupa sehemu ya haja kubwa mfanyakazi wake, Hashim Ally au kumpiga risasi kwa madai kwamba alitumwa kimkakati kwenda kwenye hoteli yake ya Paleii Lake View Garden.

El Niño? Jinsi Mvua Kubwa Ilivyoathiri Maelfu ya Watu Nchini Kenya
East Africa Environment Nature

El Niño? Jinsi Mvua Kubwa Ilivyoathiri Maelfu ya Watu Nchini Kenya

Joy CheptooNovember 20, 2023November 20, 2023

Takriban kaya 80,000 nchini Kenya zimeathirika huku idadi ikiongezeka kila siku

Mfalme Charles III wa Uingereza azuru Kenya huku makovu ya ukoloni yakiendelea kukumbukwa
East Africa Europe People Politics

Mfalme Charles III wa Uingereza azuru Kenya huku makovu ya ukoloni yakiendelea kukumbukwa

Joy CheptooOctober 31, 2023October 31, 2023

Ubalozi wa Uingereza ulisema ziara hiyo, ambayo inafuatia safari za Ujerumani na Ufaransa mapema mwaka huu, “itaangazia ushirikiano thabiti na wenye nguvu kati ya Uingereza na Kenya”.

Wanne wafariki nchini Kenya katika mkanyagano kutokana na hofu ya  ya gesi ya kutoa machozi
Africa East Africa

Wanne wafariki nchini Kenya katika mkanyagano kutokana na hofu ya  ya gesi ya kutoa machozi

Asia GambaOctober 20, 2023October 20, 2023

Wanawake wanne wamefariki dunia katika mkanyagano magharibi mwa Kenya leo Ijumaa baada ya umati wa watu kuogopa mlio uliotokana na kumwagika kwa chai ya muuzaji mmoja kwenye moto wakidhanini ni gesi ya kutoa machozi .

HRW yaishutumu Rwanda kuhusika na mauaji ya wakosoaji dhidi ya Serikali ya Kagame
Africa East Africa

HRW yaishutumu Rwanda kuhusika na mauaji ya wakosoaji dhidi ya Serikali ya Kagame

Asia GambaOctober 10, 2023October 10, 2023

Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeishutumu Rwanda kwa kutumia mbinu za ukandamizaji kuwalenga wakosoaji wake nje ya nchi, wakiwemo wale ambao wametafuta ulinzi wa kimataifa

Afrika kupata ‘sauti yenye nguvu zaidi’ katika Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF)
Africa Europe International

Afrika kupata ‘sauti yenye nguvu zaidi’ katika Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF)

Joy CheptooOctober 6, 2023October 6, 2023

Benki ya Dunia pia imetangaza kuwa itaunda kiti cha tatu cha mataifa ya Afrika katika bodi yake yenyewe, uamuzi utakaofanywa rasmi katika mikutano ya Oktoba 9-15 huko Marrakesh

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo