Wanaharakati wa Afrika wahimiza vijana kuwa wastahimilivu kujenga Afrika bora
Wanaharakati hao walitakiwa kuzungumza katika mkutano huo uliopewa jina la ‘The Convention 2024,’ lakini hafla hiyo ilisitishwa dakika za mwisho siku ya Jumapili.
Wanaharakati hao walitakiwa kuzungumza katika mkutano huo uliopewa jina la ‘The Convention 2024,’ lakini hafla hiyo ilisitishwa dakika za mwisho siku ya Jumapili.
Pistorius killed Steenkamp, a model and law graduate who was 29 years old at the time, in the early hours of Valentine’s Day 2013, firing four times through the bathroom door of his ultra-secure Pretoria house.
Rais William Ruto amesema kwamba Kenya inatoka “katika dhiki ya madeni”, akipigia debe sera zake za kiuchumi licha ya hasira ya umma kuhusu nyongeza ya ushuru na kupunguza ruzuku wakati nchi hiyo ikiadhimisha miaka 60 ya uhuru wake.
Mwimbaji huyo mashughuli aliyeshinda tuzo myimgi alifariki Jumatatu usiku kutokana na tatizo la Ini lililotokana na unywaji wa pombe kupita kiasi.
Gekul ambaye ni Mbunge wa Chama cha Mapinduzi CCM, anatuhumiwa kutoa maelekezo kwa kundi la vijana wake kumwingizia chupa sehemu ya haja kubwa mfanyakazi wake, Hashim Ally au kumpiga risasi kwa madai kwamba alitumwa kimkakati kwenda kwenye hoteli yake ya Paleii Lake View Garden.
Takriban kaya 80,000 nchini Kenya zimeathirika huku idadi ikiongezeka kila siku
Ubalozi wa Uingereza ulisema ziara hiyo, ambayo inafuatia safari za Ujerumani na Ufaransa mapema mwaka huu, “itaangazia ushirikiano thabiti na wenye nguvu kati ya Uingereza na Kenya”.
Wanawake wanne wamefariki dunia katika mkanyagano magharibi mwa Kenya leo Ijumaa baada ya umati wa watu kuogopa mlio uliotokana na kumwagika kwa chai ya muuzaji mmoja kwenye moto wakidhanini ni gesi ya kutoa machozi .
Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeishutumu Rwanda kwa kutumia mbinu za ukandamizaji kuwalenga wakosoaji wake nje ya nchi, wakiwemo wale ambao wametafuta ulinzi wa kimataifa
Benki ya Dunia pia imetangaza kuwa itaunda kiti cha tatu cha mataifa ya Afrika katika bodi yake yenyewe, uamuzi utakaofanywa rasmi katika mikutano ya Oktoba 9-15 huko Marrakesh