Rais wa Cameroon Paul Biya kutafuta muhula wa nane wa Urais
Rais wa Cameroon, Paul Biya, ametangaza Jumapili kwamba atagombea tena urais kwa muhula wa nane katika uchaguzi wa Oktoba, hatua itakayoongeza utawala wake ambao umedumu kwa takriban miaka 43.