• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: africa

HRW:Kenya inapaswa kuchunguza miili iliyotupwa kwenye mgodi
East Africa Kenya People Rights & Freedoms

HRW:Kenya inapaswa kuchunguza miili iliyotupwa kwenye mgodi

Asia GambaMarch 17, 2025

Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeiomba Serikali ya Kenya kumaliza uchunguzi kuhusu miili iliyoharibiwa iliyopatikana kwenye mgodi mwaka jana, na kushughulikia madai kwamba polisi walizuia juhudi za kuchukua miili hiyo.

Mauti ilivyokunja mwavuli wa Prof Sarungi, gwiji wa tiba ya mifupa Tanzania
East Africa Tanzania

Mauti ilivyokunja mwavuli wa Prof Sarungi, gwiji wa tiba ya mifupa Tanzania

Asia GambaMarch 10, 2025March 10, 2025

Mmoja wa zao la Tanzania waliojitolea kwa dhati, ambaye jina lake lilikuwa na ushawishi mkubwa kwa vizazi na mijadala ya kisiasa, hatimaye ameondoka jukwaani.

Prof. Sarungi, Daktari aliyetumia vyema kiapo chake cha Udaktari licha ya kuwa Mwanasiasa
East Africa People Social Issues Tanzania Uncategorized

Prof. Sarungi, Daktari aliyetumia vyema kiapo chake cha Udaktari licha ya kuwa Mwanasiasa

Asia GambaMarch 6, 2025

Prof. Mikol Philemon Sarungi, ambaye alifariki dunia tarehe 5 Machi 2025 akiwa nyumbani kwake, alijijengea jina kubwa katika historia ya Tanzania kama daktari, mtaalamu wa mifupa, na kiongozi wa serikali.

Miaka Mitatu ya Ukatili wa DRC Inahitaji Mahakama Maalum: Mwendesha Mashtaka wa ICC
Africa East Africa War & Conflicts

Miaka Mitatu ya Ukatili wa DRC Inahitaji Mahakama Maalum: Mwendesha Mashtaka wa ICC

Asia GambaFebruary 27, 2025February 28, 2025

Katika mahojiano  alipoitembelea Kinshasa, Mwendesha Mashtaka Khan alikubali kushindwa kwa mfumo wa haki za kimataifa kuzuia ukatili wa kutisha ambao umekuwepo kwa miongo kadhaa katika eneo hili na kusema kuwa yeye ni “ana masikitiko makubwa kuhusu kuongezeka kwa ghasia.”

Waziri Mkuu wa DRC asema zaidi ya watu 7,000 wamefariki mashariki mwa nchi
Africa East Africa War & Conflicts

Waziri Mkuu wa DRC asema zaidi ya watu 7,000 wamefariki mashariki mwa nchi

Asia GambaFebruary 25, 2025

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) alisema Jumatatu kwamba zaidi ya watu 7,000 wamefariki mashariki mwa nchi hiyo tangu mwezi Januari, wakati kundi la M23 lililokuwa likiungwa mkono na Rwanda lilipochukua miji miwili mikubwa.

Mwenyekiti wa walimu wasio na ajira akamatwa
East Africa Education People Social Issues Tanzania

Mwenyekiti wa walimu wasio na ajira akamatwa

Asia GambaFebruary 25, 2025February 25, 2025

Mwenyekiti wa Umoja wa Walimu Wasio na Ajira Tanzania (NETO), Joseph Paulo Kaheza amekamatwa akiwa mkoani Geita kwa kile kinachodaiwa kuwa ni vuguvugu la kupigania ajira kwa walimu wa Tanzania.

Bulaya:Mimi bado ni mwanachama wa Chadema
East Africa Politics Tanzania

Bulaya:Mimi bado ni mwanachama wa Chadema

Asia GambaFebruary 24, 2025

Mbunge wa Viti Maalum Esther Bulaya amesisitiza kuwa yeye bado ni mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), isipokua suala la yeye kufukuzwa uanachama ni mambo ya ndani ya chama na ndio maana mpaka leo wanapigania haki yao ya kuwa wanachama wa Chadema.

Wagonjwa nane wa Ebola nchini Uganda waruhusiwa hospitali
East Africa Lifestyle & Health Uganda

Wagonjwa nane wa Ebola nchini Uganda waruhusiwa hospitali

Asia GambaFebruary 19, 2025

Waziri Jane Ruth Aceng amesema kuwa wagonjwa hao wanane walikuwa wakitibiwa na sasa wamepona kikamilifu.

Tanzania yakanusha uwepo wa mwekezaji aliyepewa bandari ya Bagamoyo
East Africa Infrastructure Tanzania Uncategorized

Tanzania yakanusha uwepo wa mwekezaji aliyepewa bandari ya Bagamoyo

Asia GambaFebruary 14, 2025

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa, amekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kuwa Tanzania imesaini mkataba wa kuipa Kampuni ya Saudi-Africa Development Company (SADC) haki ya kuendesha Bandari ya Bagamoyo.

Rais Samia awasili Ethiopia tayari kushiriki mkutano wa AU
Africa East Africa People Social Issues Tanzania

Rais Samia awasili Ethiopia tayari kushiriki mkutano wa AU

Asia GambaFebruary 14, 2025

Ziara ya Rais Samia nchini Ethiopia imeanza leo ambapo anatarajia kuhitimisha Februari 16,2025.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo