• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: africa

Viongozi wa Afrika wamsifu Papa Francis kwa “Urithi wa Huruma”
Africa East Africa People Religion Social Issues

Viongozi wa Afrika wamsifu Papa Francis kwa “Urithi wa Huruma”

Asia GambaApril 21, 2025

Francis, ambaye alijulikana kwa jitihada zake za kufanya mageuzi ndani ya Kanisa Katoliki na aliwahamasisha wengi, alifariki akiwa na umri wa miaka 88. 

Chama cha kuwatetea Walimu chaja na mapya, walimu wanadai zaidi ya billion 12
East Africa Education Tanzania

Chama cha kuwatetea Walimu chaja na mapya, walimu wanadai zaidi ya billion 12

Asia GambaApril 8, 2025

Chama cha kutetea haki na maslahi ya walimu Tanzania (CHAKAMWATA), kimetangaza kutua mahakamani kuzishtaki Halmashauri mbalimbali nchini kwa madai ya kushindwa kulipa stahiki za watumishi wa kada ya ualimu kwa kushirikiana na Chama Cha walimu CWT kwa madai ya zaidi ya shilingi billion 12.

Mvutano Chadema ni Jitihada au hatari kwa umoja wa chama?
East Africa Opinion Politics Tanzania

Mvutano Chadema ni Jitihada au hatari kwa umoja wa chama?

Asia GambaApril 4, 2025

Katika hali hii ya mgawanyiko, kundi linalopinga msimamo wa “No Election” limeandika waraka rasmi ukielezea hoja zao za kupinga kauli hiyo.

Deni la Serikali laongezeka kutoka tril 82.25 hadi tril 97.35
East Africa Tanzania

Deni la Serikali laongezeka kutoka tril 82.25 hadi tril 97.35

Asia GambaMarch 27, 2025

CAG amesema deni hilo linajumuisha deni la ndani na deni ambalo ni Sh. trilioni 31.95 na la nje Sh.65.40, hata hivyo amesema deni hilo ni himilivu. 

Wapiganaji wa M23 wachukua mji muhimu wa Walikale nchini DRC licha ya jaribio la kusitisha vita
Africa East Africa War & Conflicts

Wapiganaji wa M23 wachukua mji muhimu wa Walikale nchini DRC licha ya jaribio la kusitisha vita

Asia GambaMarch 20, 2025

Kuchukuliwa kwa mji wa Walikale wenye wakazi takriban 60,000 mwishoni mwa siku ya Jumatano kunashiria kwamba kundi hili la wapiganaji limefika sehemu ya mbali kabisa magharibi kutoka eneo lao la awali tangu lilipojitokeza mwaka 2012.

M23 yafuta mazungumzo ya amani na serikali ya DRC kwa sababu ya vikwazo
East Africa Politics Social Issues War & Conflicts

M23 yafuta mazungumzo ya amani na serikali ya DRC kwa sababu ya vikwazo

Asia GambaMarch 18, 2025

Kikundi cha M23 kilichopatiwa msaada na Rwanda kimesema hakiwezi kushiriki katika mazungumzo ya amani na serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) yaliyopangwa kufanyika leo Jumanne mjini Luanda, mji mkuu wa Angola, kufuatia vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya baadhi ya viongozi wake wakuu.

NAPINGA MIJADALA POTOFU JUU YA UGAWAJI WA MAJIMBO YA UCHAGUZI
East Africa Opinion Tanzania

NAPINGA MIJADALA POTOFU JUU YA UGAWAJI WA MAJIMBO YA UCHAGUZI

Asia GambaMarch 17, 2025

Hoja ya mgawanyo wa majimbo ya Uchaguzi ijadiliwe kwa mapana yake

HRW:Kenya inapaswa kuchunguza miili iliyotupwa kwenye mgodi
East Africa Kenya People Rights & Freedoms

HRW:Kenya inapaswa kuchunguza miili iliyotupwa kwenye mgodi

Asia GambaMarch 17, 2025

Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeiomba Serikali ya Kenya kumaliza uchunguzi kuhusu miili iliyoharibiwa iliyopatikana kwenye mgodi mwaka jana, na kushughulikia madai kwamba polisi walizuia juhudi za kuchukua miili hiyo.

Mauti ilivyokunja mwavuli wa Prof Sarungi, gwiji wa tiba ya mifupa Tanzania
East Africa Tanzania

Mauti ilivyokunja mwavuli wa Prof Sarungi, gwiji wa tiba ya mifupa Tanzania

Asia GambaMarch 10, 2025March 10, 2025

Mmoja wa zao la Tanzania waliojitolea kwa dhati, ambaye jina lake lilikuwa na ushawishi mkubwa kwa vizazi na mijadala ya kisiasa, hatimaye ameondoka jukwaani.

Prof. Sarungi, Daktari aliyetumia vyema kiapo chake cha Udaktari licha ya kuwa Mwanasiasa
East Africa People Social Issues Tanzania Uncategorized

Prof. Sarungi, Daktari aliyetumia vyema kiapo chake cha Udaktari licha ya kuwa Mwanasiasa

Asia GambaMarch 6, 2025

Prof. Mikol Philemon Sarungi, ambaye alifariki dunia tarehe 5 Machi 2025 akiwa nyumbani kwake, alijijengea jina kubwa katika historia ya Tanzania kama daktari, mtaalamu wa mifupa, na kiongozi wa serikali.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo