Viongozi wa Afrika wamsifu Papa Francis kwa “Urithi wa Huruma”
Francis, ambaye alijulikana kwa jitihada zake za kufanya mageuzi ndani ya Kanisa Katoliki na aliwahamasisha wengi, alifariki akiwa na umri wa miaka 88.
Francis, ambaye alijulikana kwa jitihada zake za kufanya mageuzi ndani ya Kanisa Katoliki na aliwahamasisha wengi, alifariki akiwa na umri wa miaka 88.
Chama cha kutetea haki na maslahi ya walimu Tanzania (CHAKAMWATA), kimetangaza kutua mahakamani kuzishtaki Halmashauri mbalimbali nchini kwa madai ya kushindwa kulipa stahiki za watumishi wa kada ya ualimu kwa kushirikiana na Chama Cha walimu CWT kwa madai ya zaidi ya shilingi billion 12.
Katika hali hii ya mgawanyiko, kundi linalopinga msimamo wa “No Election” limeandika waraka rasmi ukielezea hoja zao za kupinga kauli hiyo.
CAG amesema deni hilo linajumuisha deni la ndani na deni ambalo ni Sh. trilioni 31.95 na la nje Sh.65.40, hata hivyo amesema deni hilo ni himilivu.
Kuchukuliwa kwa mji wa Walikale wenye wakazi takriban 60,000 mwishoni mwa siku ya Jumatano kunashiria kwamba kundi hili la wapiganaji limefika sehemu ya mbali kabisa magharibi kutoka eneo lao la awali tangu lilipojitokeza mwaka 2012.
Kikundi cha M23 kilichopatiwa msaada na Rwanda kimesema hakiwezi kushiriki katika mazungumzo ya amani na serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) yaliyopangwa kufanyika leo Jumanne mjini Luanda, mji mkuu wa Angola, kufuatia vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya baadhi ya viongozi wake wakuu.
Hoja ya mgawanyo wa majimbo ya Uchaguzi ijadiliwe kwa mapana yake
Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeiomba Serikali ya Kenya kumaliza uchunguzi kuhusu miili iliyoharibiwa iliyopatikana kwenye mgodi mwaka jana, na kushughulikia madai kwamba polisi walizuia juhudi za kuchukua miili hiyo.
Mmoja wa zao la Tanzania waliojitolea kwa dhati, ambaye jina lake lilikuwa na ushawishi mkubwa kwa vizazi na mijadala ya kisiasa, hatimaye ameondoka jukwaani.
Prof. Mikol Philemon Sarungi, ambaye alifariki dunia tarehe 5 Machi 2025 akiwa nyumbani kwake, alijijengea jina kubwa katika historia ya Tanzania kama daktari, mtaalamu wa mifupa, na kiongozi wa serikali.