The U.S condemns Ethiopia’s move to expel 7 senior U.N. officials
The United States has called for an immediate reversal of the decision.
The United States has called for an immediate reversal of the decision.
Visa vipya vya UVIKO 19 vimepungua barani Afrika kwa 35% hadi visa 74,000 katika wiki ya mwisho ya mwezi Septemba.
Ethiopia imewafukuza maafisa saba wa Umoja wa Mataifa UN ambao walituhumu kwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi.
Takriban watu 20,000 wengi wao waliosafiri kwa treni kutoka miji ya Atbara na Madani, walikusanyika katika mji mkuu Khartoum Alhamis 30.
Kulingana na taarifa iliyotolewa na wizara ya Mambo ya Ndani, raia wa kigeni 20,000 wameinga nchini tangu mwezi Juni.
Kulingana na data, takriban visa 5,375 vya mimba za utotoni viliripotiwa katika wilaya ya Kwania kati ya Januari 2020 hadi Septemba 2021.
mikakati hoyo itatumiwa kuunda katiba mpya na kufanyika kwa uchaguzi wa huru ,wazi na wa haki, ingawaje haikueleza serikali ya mpito itakuwepo kwa muda gani.
Theoneste Bagosora, Kanali wa zamani wa jeshi la Rwanda aliyefahamika kwa kuchangia na kupanga mauaji ya kimbari ya 1994 ameaga dunia.
Kenya Sevens finished third in the Edmonton Sevens after a convincing 33-14 win over hosts Canada in the third-place playoffs clash played at Commonwealth Stadium on Monday morning.
Mwaka wa 2004 Wangari Maathai alituzwa Tuzo ya Amani ya Nobel kwa mchango wake katika maendeleo endelevu, demokrasia na amani.Maathai alikuwa mwanamke wa kwanza mwafrika kushinda tuzo hiyo