Tovuti ya Tume ya Uchaguzi Afrika Kusini yazimwa.
Mfumo Tovuti ya tume ya uchaguzi ya Afrika Kusini imeonekana kuingiliwa leo Ijumaa wakati nchi hiyo ikihesabu kura za uchaguzi mkuu ambapo chama tawala cha ANC kilionekana kupoteza wingi wake.
Mfumo Tovuti ya tume ya uchaguzi ya Afrika Kusini imeonekana kuingiliwa leo Ijumaa wakati nchi hiyo ikihesabu kura za uchaguzi mkuu ambapo chama tawala cha ANC kilionekana kupoteza wingi wake.
Zaidi ya wapiga kura milioni 27 wameandikishwa katika uchaguzi ambao haukuwa na uhakika tangu chama cha African National Congress (ANC) kuliongoza taifa hilo kutoka kwa utawala wa kibaguzi — na huku Rais Cyril Ramaphosa akiomba kuchaguliwa tena.
Katika taarifa lililotolewa mapema leo na msemaji wa serikali ya Kongo Tina Salama na kurushwa na televisheni ya taifa RTNC, baraza hilo jipya lina mawaziri 54 ikilinganishwa na 57 katika serikali iliyopita.
Torrential rainfall in Kenya, Tanzania and neighbouring nations killed more than 500 people
Hadhi ya Kenya inathibitisha nafasi yake muhimu katika mipango ya usalama wa kimataifa na ushirikiano wake imara na Marekani
More than 50 parties are vying to win seats in parliament, which then appoints the president.
Miaka kumi baada ya utekaji nyara wa wasichana wa shule ya Chibok, Nigeria inakabiliwa na kuzuka kwa utekaji nyara mkubwa.
Zaidi ya marais 10 wamefariki kutokana na ajali za ndege
Watu tisa wakiwemo watoto waliokolewa katika operesheni ya kumsaka kamanda huyo. Watu hao walipatikana mkoani Ituri Mashariki mwa DRC. Bidhaa za kutengenezea mabomu pia zilipatikana huko katika harakati ya kufanya msako huo.
Ethiopia’s Ministry of Foreign Affairs denounced the speech on Thursday, saying it contained “allegations against, and unsolicited advice to the Government of Ethiopia.”