Macron awasili Cameroon katika mkondo wa kwanza wa ziara yake Afrika Magharibi
Macron anatazamiwa kufanya mazungumzo Jumanne asubuhi katika ikulu ya rais na mwenzake Paul Biya, 89, ambaye ametawala Cameroon kwa takriban miaka 40.
Macron anatazamiwa kufanya mazungumzo Jumanne asubuhi katika ikulu ya rais na mwenzake Paul Biya, 89, ambaye ametawala Cameroon kwa takriban miaka 40.
Lilikuwa ni janga kubwa la kwanza la anga kuripotiwa Cameroon tangu 2007, wakati ndege ya shirika la ndege la Kenya Airways iliyokuwa na watu 114 kuanguka nchini humo
Hili ni Kombe la Dunia la kwanza kufanyika Mashariki ya Kati na litaanza Novemba 21 na fainali inatarajiwa kufanyika Desemba 18.
Cameroon imekumbwa na ghasia tangu Oktoba 2017 baada ya  wanamgambo kutangaza kuwa eneo la Kaskazini-Magharibi na eneo jirani la Kusini-Magharibi ni maeneo huru.
Waziri wa michezo Narcisse Mouelle Kombi alisema Rais wa Cameroon Paul Biya ameamuru shirikisho la soka la kitaifa kumpa kazi mlinzi huyo wa zamani wa Liverpool.
The five comprise three aid workers with Chadian, Senegalese and French-Ivorian nationalities
To bridge the continentâs productivity deficit and meet the needs of its burgeoning population, many agritech companies have emerged across Africa.
It will be a second AFCON final appearance for Salah.
Mchezaji huyo wa kabumbu Mohamed mwenye umri wa miaka 24, yuko Cameroon na timu ya taifa ya Misri Mafarao
Shirikisho  la Soka Afrika lilisema kuwa nusu fainali ya pili tarehe Februari 3 kati ya wenyeji na Misri na fainali Februari 6 itafanyika katika uwanja wa Olembe