CHADEMA Demands Answers Over Missing Deputy Chair John Heche
The party said this deepens fears about his safety and the growing pattern of intimidation against opposition figures ahead of the October 29 general election.
The party said this deepens fears about his safety and the growing pattern of intimidation against opposition figures ahead of the October 29 general election.
With less than a week to Tanzania’s general election, pressure is mounting over the disappearance of opposition figures and growing silence from President Samia Suluhu Hassan, who continues with her nationwide campaign trail.
Katika pingamizi hilo, Lissu alipinga uwasilishaji wa taarifa hiyo akieleza kuwa shahidi, Mkaguzi wa Jeshi la Polisi Samwel Elibariki Kaaya hana mamlaka ya kisheria ya kuandaa “report” bali “certificate” pekee ya uchunguzi, kwa mujibu wa tangazo la serikali linalomtambua chini ya kifungu cha 216(1) cha Sheria ya Ushahidi.
Kati ya Januari 2024 na Oktoba 2025, Amnesty iliripoti ukiukaji mpana wa haki za binadamu ikiwemo matukio ya watu kupotea kusikojulikana, mateso na mauaji ya kiholela ya viongozi na wanaharakati wa upinzani.
Lissu, ambaye anajitetea mwenyewe, anakabiliwa na shtaka la uhaini yanayodaiwa kutokana na matamshi aliyotoa Aprili 3,2025. Alikamatwa Aprili 9, 2025 mkoani Ruvuma na kisha kusafirishwa hadi Dar es Salaam, ambako anakabiliwa na kesi hiyo mbele ya jopo la majaji wa Mahakama Kuu.
The CHADEMA Deputy Chairperson added that being barred from crossing into Kenya deepened his pain, saying he had hoped to personally pay his final respects to a man he regarded as both a mentor and a friend.
Awali leo kabla ya kuendelea na shahidi wa tatu mahakamani Lissu ambaye anajitetea mwenyewe katika kesi hiyo alimalizia maswali ya dodoso ambayo kimsingi alizungumzia kuhusu picha mjongeo ama video ambayo abadaiwa kuochapisha.
Katika kesi hiyo, vigogo hao wa CHADEMA wanatuhumiwa kukiuka amri ya Mahakama Kuu iliyotolewa Juni 10, 2025, kufuatia uwepo wa kesi ya madai inayohusu usawa kwenye mgawanyo wa mali ndani ya CHADEMA, inayosikilizwa chini ya Jaji Hamidu Mwanga. Wadaiwa kuwa wamepigwa marufuku kujihusisha na shughuli zozote za kisiasa na matumizi ya rasilimali za chama hadi pale kesi hiyo itakapopatiwa uamuzi.
Katika mahojiano hayo, Lissu alitumia takribani saa saba kumuhoji Shahidi huyo kuanzia majira ya saa 3:30 mpaka saa 10, muda wote aliutumia kupima uhalali wa ushahidi wa shahidi huyo, akihusisha masuala mbalimbali kulinga na ushahidi aliouandika katika maelezo yake ikiwamo ya taratibu za kiuchunguzi, matumizi ya notebook ya polisi, video za ushahidi na tafsiri ya maneno yaliyotumika kwenye mashtaka ya uhaini.
Shahidi huyo ambaye ni Kamishina Msaidizi wa Polisi (ACP) George Wilbart Bagemu, mwenye umri wa miaka 48, ambaye ni afisa mwandamizi wa Jeshi la Polisi mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka ishirini katika taaluma ya upelelezi.