• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Covid 19

Wakenya wapo tayari kuuza figo kukabiliana na hali ngumu ya maisha
Features Lifestyle & Health

Wakenya wapo tayari kuuza figo kukabiliana na hali ngumu ya maisha

Maureen MedzaJune 21, 2022June 21, 2022

Hospitali kuu ya umma nchini Kenya inasema kumekuwa na ongezeko la idadi ya watu wanajitolea kuuza figo zao.

WHO: Janga la UVIKO 19 liliua milioni 13 hadi 17 kati ya 2020-2021
Africa Features International Lifestyle & Health

WHO: Janga la UVIKO 19 liliua milioni 13 hadi 17 kati ya 2020-2021

Maureen MedzaMay 5, 2022May 5, 2022

Nchi za kipato cha juu zilichangia asilimia 15 ya vifo,
Mataifa ya kipato cha kati yalichangia vifo asilimia 28; mataifa ya kipato cha chini asilimia 53; na nchi zenye kipato cha chini asilimia nne.

WHO: Zaidi ya theluthi mbili ya Waafrika waliambukizwa UVIKO 19
Africa Features International Lifestyle & Health

WHO: Zaidi ya theluthi mbili ya Waafrika waliambukizwa UVIKO 19

Maureen MedzaApril 8, 2022April 8, 2022

Wakati janga hilo limekuwa na athari mbaya kwa sehemu zingine za ulimwengu, Afrika ilionekana kuepuka athari hizo na haikuathiriwa vibaya kama ilivyohofiwa mwanzoni mwa janga hilo.

Faida ya kampuni ya chanjo ya BioNTech iliongezeka pakubwa mwaka wa 2021
Business / Finance Europe Features International Lifestyle & Health Science & Tech

Faida ya kampuni ya chanjo ya BioNTech iliongezeka pakubwa mwaka wa 2021

Maureen MedzaMarch 30, 2022March 30, 2022

Kampuni ya BioNTech iliyoko Mainz ilisema ilipata faida ya jumla ya euro bilioni 10.3 (dola bilioni 11.5) mwaka jana, kutoka euro milioni 15 mnamo 2020

China yafunga jiji la watu milioni 9, kutokana na virusi vya C0VID-19.
Africa Asia

China yafunga jiji la watu milioni 9, kutokana na virusi vya C0VID-19.

Asia GambaMarch 22, 2022March 22, 2022

Siku ya Jumamosi iliripoti vifo viwili vya Covid-19 ikiwa ni mara ya kwanza kwa mwaka huu.

Barack Obama akutwa na UVIKO 19, ahimiza watu wapate chanjo
Features International Lifestyle & Health People

Barack Obama akutwa na UVIKO 19, ahimiza watu wapate chanjo

Maureen MedzaMarch 14, 2022March 14, 2022

Licha ya kuwepo kwa vuguvugu la kupinga chanjo nchini humo, Vituo vya Amerika vya Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (CDC) vinasema zaidi ya asilimia 80 ya watu wamechanjwa

Mkuu wa Umoja wa Mataifa aonya janga la UVIKO 19 bado halijaisha, anakashifu ukosefu wa usawa wa chanjo
Africa Europe Features International Lifestyle & Health

Mkuu wa Umoja wa Mataifa aonya janga la UVIKO 19 bado halijaisha, anakashifu ukosefu wa usawa wa chanjo

Maureen MedzaMarch 9, 2022March 9, 2022

“Kushindwa kwa usambazaji sawa wa chanjo ni matokeo ya moja kwa moja ya maamuzi ya kisera na kibajeti ambayo yanatanguliza afya ya watu katika nchi tajiri kuliko afya ya watu wa nchi maskini,”alisema Guterres.

Moderna yaanzisha kituo cha kwanza cha kuzalisha chanjo ya UVIKO 19 nchini Kenya
East Africa Features Lifestyle & Health

Moderna yaanzisha kituo cha kwanza cha kuzalisha chanjo ya UVIKO 19 nchini Kenya

Maureen MedzaMarch 8, 2022March 8, 2022

Moderna ilisema ilitarajia kuwekeza dola milioni 500 katika kituo hicho kipya, ambacho kitatoa chanjo kwa bara la watu bilioni 1.3.

WHO: Janga la UVIKO- 19 halijaisha na ulimwengu unapaswa kutarajia “aina hatari zaidi ya virusi” kuibuka
Africa Features International Lifestyle & Health

WHO: Janga la UVIKO- 19 halijaisha na ulimwengu unapaswa kutarajia “aina hatari zaidi ya virusi” kuibuka

Maureen MedzaFebruary 21, 2022February 21, 2022

“UVIKO 19 bado ni hatari ikiwa “83% ya wakazi wa Afrika bado hawajapokea dozi ya kwanza ya chanjo,” Tedros Adhanom Ghebreyesus WHO

BioNTech kusafirisha vituo vya kuzalisha chanjo ya UVIKO 19 hadi barani Afrika
Africa Features International Lifestyle & Health

BioNTech kusafirisha vituo vya kuzalisha chanjo ya UVIKO 19 hadi barani Afrika

Maureen MedzaFebruary 17, 2022February 17, 2022

BioNTech ilisema inalenga kuanzisha “kituo cha kwanza cha uzalishaji wa chanjo katika Umoja wa Afrika”

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo