Boniface Mwangi Charged with Possession of Ammunition, Released on Bond
Mwangi, who was initially arrested on terrorism-related charges linked to the June 25 protests, saw these charges dropped by the DCI
Mwangi, who was initially arrested on terrorism-related charges linked to the June 25 protests, saw these charges dropped by the DCI
She accused authorities of arriving at his office with a pre-determined plan to “recover” evidence that would link Mwangi to terrorism, highlighting the ongoing intimidation faced by the activist.
Kariuki was shot at close range, an incident captured on camera. He suffered severe brain damage and spent two weeks in the Intensive Care Unit at Kenyatta National Hospital before being pronounced dead.
Kauli hiyo ya Jaji Mkuu imejiri kufuatia maandamano ya kitaifa yaliyofanyika Julai 7, 2025, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Saba Saba, ambapo watu kadhaa walipoteza maisha, wengine kujeruhiwa, na wengine kukamatwa.
The Saba Saba protests are held each year to commemorate the historic events of July 7th 1990, when Kenyans took to the streets demanding free elections and the introduction of multi-party democracy.
Agizo hilo, lililotolewa rasmi leo Juni 25, 2025, linanukuu madai ya ukiukaji wa Kifungu cha 33(2) na 34(1) cha Katiba ya Kenya, pamoja na Kifungu cha 461 cha Sheria ya Mawasiliano na Habari ya Kenya (Kenya Information and Communications Act).
Mwaka jana, takriban watu 60 waliuawa na vikosi vya usalama wakati wa maandamano yaliyodumu kwa wiki kadhaa, yaliyosababishwa na kupanda kwa ushuru na hali ngumu ya kiuchumi, hasa kwa vijana. Maandamano hayo yalifikia kilele tarehe 25 Juni, wakati maelfu walipovamia jengo la bunge.
Miongoni mwa walioshtakiwa ni maafisa watatu wa polisi, Afisa Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Nairobi (OCS) aliyesimamishwa kazi Samson Kiprotich Talaam, Konstebo James Mukhwana. Wengine waliotajwa katika kesi hiyo ni John Ngige Gitau, Gin Ammitoa Abwao, na Brian Mwaniki Njue.
Will the pipeline really improve the lives of people in Uganda, Tanzania and other East African countries? Or will it increase inequality, worsen climate change and divide the region?
The goons were seen confronting protestors who were peacefully marching for justice and accountability following Ojwang’s death in police custody.