Rostam Aziz mmiliki mpya wa kampuni ya habari ya Nation Media Group
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana Jumanne, Machi 10, 2026, AKFED imefikia makubaliano ya kuuza umiliki wake wa asilimia 100 katika kampuni ya NPRT Holdings Africa Limited kwa kampuni ya Taarifa Ltd, inayomilikiwa na Rostam Azizi.