Alicia Lissu: Mwaka mmoja bila mawasiliano na mumewe anayekabiliwa na kesi ya uhaini
Mke wa mwanasiasa wa upinzani nchini Tanzania, Tundu Lissu, Alicia Lissu, amesema hajazungumza wala kumuona mumewe kwa kipindi cha mwaka mmoja tangu alipokamatwa na kufunguliwa mashtaka ya uhaini.