• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Mwanzo TV

Alicia Lissu: Mwaka mmoja bila mawasiliano na mumewe anayekabiliwa na kesi ya uhaini
Africa East Africa Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Alicia Lissu: Mwaka mmoja bila mawasiliano na mumewe anayekabiliwa na kesi ya uhaini

Asia GambaJuly 13, 2026

Mke wa mwanasiasa wa upinzani nchini Tanzania, Tundu Lissu, Alicia Lissu, amesema hajazungumza wala kumuona mumewe kwa kipindi cha mwaka mmoja tangu alipokamatwa na kufunguliwa mashtaka ya uhaini.

ACT Wazalendo yamtaka Katambi kuachia mikutano ya hadhara
East Africa Politics Tanzania

ACT Wazalendo yamtaka Katambi kuachia mikutano ya hadhara

Asia GambaJuly 13, 2026

Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman, amemtaka Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, kuacha hatua za kuzuia mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa, akisema zinaenda kinyume na utamaduni na utaratibu wa muda mrefu wa kufanya siasa Zanzibar.

Rais Samia awaonya Wanaharakati, asema Tanzania haitasita kutumia nguvu kuhami raia wake
Africa East Africa Tanzania

Rais Samia awaonya Wanaharakati, asema Tanzania haitasita kutumia nguvu kuhami raia wake

Asia GambaJuly 9, 2026

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewaonya wanaharakati wote wanaojihusisha na shughuli za kuchochea vurugu nchini akisema kuwa wanachofanya ni ugaidi huku akienda mbali zaidi kwa kutafsiri neno Ugaidi.

Tanzania na Kenya zilivyozima maandamano ya maadhimisho ya Saba Saba
Africa East Africa Kenya Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Tanzania na Kenya zilivyozima maandamano ya maadhimisho ya Saba Saba

Asia GambaJuly 8, 2026

Katika kipindi cha miaka miwili iliyopita, nchi zote mbili zimekumbwa na maandamano makubwa ya wananchi na kujibu kwa matumizi makubwa ya nguvu kutoka kwa vyombo vya dola.

Mapenzi yawapeleka kileleni:Wapenzi Wakamatwa Juu ya Empire State wakichumbiana
Europe Social Issues

Mapenzi yawapeleka kileleni:Wapenzi Wakamatwa Juu ya Empire State wakichumbiana

Asia GambaJuly 2, 2026

Watu wawili wamekamatwa siku ya Jumatano baada ya kupanda hadi kwenye mnara wa antena uliopo juu ya Jengo la Empire State jijini New York, Marekani, huku ikionekana kuwa walifanya tukio la uchumba wakiwa huko.

Mtu mmoja afariki dunia huku wengine saba wakijeruhiwa kwa mlipuko wa baruti
Social Issues Tanzania

Mtu mmoja afariki dunia huku wengine saba wakijeruhiwa kwa mlipuko wa baruti

Asia GambaJuly 2, 2026

Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza DCP Wilbrod Mutafungwa amesema ​aliyefariki dunia katika ajali hiyo ni Marco Msenyere (52), mpasua mawe na mkazi wa Semba-Lwanhima. Wakati wa tukio hilo, marehemu alikuwa na wenzake wakinywa kahawa kwenye kibanda hicho akiwa na begi dogo ambalo ndani yake lilikuwa na baruti hizo.

Ukandamizaji wa kisiasa waongezeka Uganda
Africa East Africa Politics Rights & Freedoms Uganda

Ukandamizaji wa kisiasa waongezeka Uganda

Asia GambaJune 30, 2026

Jenerali Muhoozi Kainerugaba, mwenye umri wa miaka 52, ambaye ni mwana wa Rais na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Uganda, katika wiki za hivi karibuni ameagiza kukamatwa kwa wanaharakati mashuhuri, wanasiasa na mawakili. Aidha, ameamuru kufungwa kwa kundi kubwa la vyombo huru vya habari nchini.

Mwanasiasa mkongwe wa Uganda Miria Matembe aripotiwa kutekwa Kampala
East Africa Rights & Freedoms Uganda

Mwanasiasa mkongwe wa Uganda Miria Matembe aripotiwa kutekwa Kampala

Asia GambaJune 29, 2026

Mwanasiasa mkongwe wa Uganda na mtetezi wa haki za wanawake, Miria Matembe, mwenye umri wa miaka 72, ameripotiwa kutekwa na watu wanaodhaniwa kuwa maofisa wa usalama baada ya kujificha kwa siku mbili kufuatia msako uliofanywa nyumbani kwake eneo la Luzira, jijini Kampala.

Mwana wa Museveni asema haamini uhuru wa vyombo vya habari, aagiza kufungwa kwa NTV na Daily Monitor
Africa East Africa Rights & Freedoms Uganda

Mwana wa Museveni asema haamini uhuru wa vyombo vya habari, aagiza kufungwa kwa NTV na Daily Monitor

Asia GambaJune 29, 2026June 29, 2026

Mkuu wa Jeshi la Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ametangaza kufungwa kwa taasisi ya habari ya Nation Media Group (NMG), inayomiliki gazeti la Daily Monitor, kituo cha televisheni cha NTV Uganda pamoja na vituo kadhaa vya redio, akisema haamini katika uhuru wa vyombo vya habari.

Afrika yakabiliwa na upungufu wa dawa ya usingizi kwa upasuaji wa watoto
Africa Lifestyle & Health

Afrika yakabiliwa na upungufu wa dawa ya usingizi kwa upasuaji wa watoto

Asia GambaJune 22, 2026

Halothane bado inatumika kwa kiasi kikubwa katika nchi za Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kuwapa watoto usingizi wakati wa upasuaji. Sababu kuu ni kwamba dawa hiyo ni nafuu zaidi, ikiwa na gharama mara saba hadi kumi chini ya mbadala wake wa kisasa, sevoflurane.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy