• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Mwanzo TV

Lissu: Hati ya mashtaka haina msingi wa kisheria
East Africa Politics Tanzania

Lissu: Hati ya mashtaka haina msingi wa kisheria

Asia GambaSeptember 15, 2025

Kwa mujibu wa hati ya mashtaka, Lissu anatuhumiwa kwamba mnamo Aprili 3 alikusudia “kuchochea wananchi kuzuia uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.” Hata hivyo, mwanasiasa huyo mashuhuri anasema kosa hilo haliingii kwenye wigo wa makosa ya uhaini kwa mujibu wa sheria za Tanzania.

Lissu: “Siombi huruma, naomba haki kwa mujibu wa sheria”
East Africa Tanzania

Lissu: “Siombi huruma, naomba haki kwa mujibu wa sheria”

Asia GambaSeptember 11, 2025September 11, 2025

“Kupata huruma unaponewa si kosa, lakini jambo muhimu zaidi ni kupata haki. Siwaombi Waheshimiwa Majaji mnipe haki kwa sababu ya huruma, bali kwa mujibu wa viapo vyenu na kwa mujibu wa sheria,”

Lissu kurudishwa Mahakamani tena kesho
East Africa Politics Tanzania

Lissu kurudishwa Mahakamani tena kesho

Asia GambaSeptember 10, 2025

Shauri hilo lilitajwa leo kwa ajili ya kuendelea na usikilizwaji wa hoja za pingamizi zilizowasilishwa na Lissu, ambapo upande wa Jamhuri ulikuwa unakamilisha uwasilishaji wake kabla ya Lissu, anayejitetea mwenyewe, kujibu hoja hizo.

Lissu Vs Jamhuri ngoma bado nzito, atumia saa nne kuwasilisha hoja za pingamizi
East Africa Politics Tanzania

Lissu Vs Jamhuri ngoma bado nzito, atumia saa nne kuwasilisha hoja za pingamizi

Asia GambaSeptember 9, 2025

Katika uwasilishaji wa hoja zake hii leo Lissu alitoa hoja nzito akieleza kuwepo kwa tofauti kubwa kati ya rekodi mbili za kesi zinazotoka kwenye Mahakama tofauti  moja kutoka Mahakama ya Kisutu ambayo nakala yake alipelekewa gereani Ukonga na nyingine kutoka Mahakama Kuu ambayo aliipata jana akiwa mahakamani hapo.

Tundu Lissu akataa Mahakama kumteulia Wakili, asema atajitetea mwenyewe kwenye Kesi ya Uhaini
East Africa Politics Tanzania

Tundu Lissu akataa Mahakama kumteulia Wakili, asema atajitetea mwenyewe kwenye Kesi ya Uhaini

Asia GambaSeptember 8, 2025

Lissu alitoa kauli hiyo leo mbele ya Jopo la Majaji watatu wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam, akifafanua kuwa uamuzi huo umetokana na uzito wa kesi hiyo, ambayo endapo atapatikana na hatia, adhabu yake ni kunyongwa hadi kufa.

Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu kuanza kuunguruma Mahakama Kuu ya Tanzania Septemba 12
East Africa Politics Tanzania

Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu kuanza kuunguruma Mahakama Kuu ya Tanzania Septemba 12

Asia GambaSeptember 2, 2025

Ikumbukwe Agosti 18, 2025, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ilibainisha kuwa kesi hiyo inakwenda Mahakama Kuu baada ya hatua za Kisheria kukamilika.

Besigye asusia kusikiliza kesi ya uhaini inayomkabili, ataka Jaji wa kesi hiyo ajiondoe
East Africa Politics Tanzania

Besigye asusia kusikiliza kesi ya uhaini inayomkabili, ataka Jaji wa kesi hiyo ajiondoe

Asia GambaSeptember 2, 2025

Besigye, mwenye umri wa miaka 69, ni mpinzani mkuu wa Rais Yoweri Museveni ambaye amekuwa madarakani kwa karibu miaka 40 na amewahi kushindana naye bila mafanikio katika chaguzi nne.

Wasira:Tusahau mchakato wa uchaguzi, sasa tuungane kusaka dola
East Africa Politics Tanzania

Wasira:Tusahau mchakato wa uchaguzi, sasa tuungane kusaka dola

Asia GambaSeptember 1, 2025

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira amesema kwamba kazi ya chama hicho kwa sasa ni kuisaka dola kwani mchakato wa kura za maoni zilishapita hivyo hakuna sababu ya kuwa na mgawanyiko tena.

Kikwete amjibu Polepole kuhusu utaratibu wa CCM: “Hakuna jambo jipya, utaratibu umeheshimiwa”
Africa East Africa Politics Tanzania

Kikwete amjibu Polepole kuhusu utaratibu wa CCM: “Hakuna jambo jipya, utaratibu umeheshimiwa”

Asia GambaAugust 28, 2025August 28, 2025

“Najua kulikuwepo na maneno au vijineno eti utaratibu umekiukwa na mimi nililaumiwa kwa jinsi nilivyosema pale kwenye mkutano mkuu, lakini nasema waliokuwa wanasema hayo ama hawafahamu utaratibu wa chama chetu na kama wanafahamu labda wamesahau au wanajifanya hamnazo,” alisema Kikwete.

Uchaguzi Mkuu bila uwepo wa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania
East Africa Politics Tanzania

Uchaguzi Mkuu bila uwepo wa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania

Asia GambaAugust 28, 2025

Moja ya madai makuu ya CHADEMA ni mageuzi ya kisheria na mchakato wa uchaguzi, ambapo wanataka Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) irekebishe taratibu za uteuzi na usajili wa wagombea ili vyama vyote viwe na nafasi sawa, bila upendeleo kwa chama tawala.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy