• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Mwanzo TV

Bunge la Ulaya laitaka Tume ya Ulaya kusitisha msaada wa euro milioni 156 kwa Tanzania
Europe

Bunge la Ulaya laitaka Tume ya Ulaya kusitisha msaada wa euro milioni 156 kwa Tanzania

Mwanzo EditorJune 18, 2026June 18, 2026

Wabunge wa Bunge la Ulaya wamepitisha azimio linaloitaka Tume ya Ulaya kuondoa pendekezo lake la kutoa msaada wa euro milioni 156 kwa Tanzania katika mwaka 2026, wakieleza kuwa hali ya haki za binadamu, demokrasia na utawala wa sheria nchini bado inatia wasiwasi.

Waziri Mkuu afafanua utata wa huduma za matibabu kati ya Zanzibar na Tanzania Bara
Africa East Africa People Politics Social Issues Tanzania

Waziri Mkuu afafanua utata wa huduma za matibabu kati ya Zanzibar na Tanzania Bara

Asia GambaJune 18, 2026

Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amefafanua mjadala ulioibuka hivi karibuni kuhusu upatikanaji wa huduma za matibabu kati ya Zanzibar na Tanzania Bara, akisisitiza kuwa ushirikiano uliopo kati ya mifuko ya bima ya afya ya pande mbili za Muungano unaendelea kuruhusu wananchi kupata huduma bila ubaguzi.

Bunge la Marekani laidhinisha muswada wa kutathmini upya uhusiano wake na Tanzania
Europe Politics Tanzania Uncategorized

Bunge la Marekani laidhinisha muswada wa kutathmini upya uhusiano wake na Tanzania

Asia GambaJune 18, 2026

Kamati ya Mahusiano ya Kigeni yabunge la Marekani imeidhinisha miswada mitano ya sera za mambo ya nje, ikiwemo muswada unaotaka kufanyika kwa tathmini ya kina ya uhusiano kati ya Marekani na Tanzania kufuatia kile wabunge wa Marekani wanachokitaja kuwa kuongezeka kwa vurugu za kisiasa na kudorora kwa demokrasia nchini humo.

Waitara amvaa Simai kwa kauli ya “Yuda” bungeni, ataka amtaje anayemlenga
Africa East Africa Politics Tanzania

Waitara amvaa Simai kwa kauli ya “Yuda” bungeni, ataka amtaje anayemlenga

Asia GambaJune 17, 2026

Katika mchango wake, Waitara alisema viongozi wanapaswa kuwa waangalifu wanapozungumza hadharani ili kulinda umoja wa kitaifa na kuzuia kauli zinazoweza kuibua taharuki au migawanyiko katika jamii.

Jamhuri na Lissu kukutana tena Mahakama ya Rufani kesho kuhusu ushahidi wa ACP Mahamba
East Africa Politics Tanzania

Jamhuri na Lissu kukutana tena Mahakama ya Rufani kesho kuhusu ushahidi wa ACP Mahamba

Asia GambaJune 10, 2026

Ni hatua nyingine muhimu katika kesi ambayo imeendelea kuvuta hisia za wananchi ndani na nje ya Tanzania tangu Lissu alipokamatwa Aprili 9, 2025 na kushtakiwa kwa kosa la uhaini.

Wakenya wakamatwa wakipinga kituo cha karantini ya Ebola kwa Raia wa Marekani
East Africa Kenya Politics Social Issues

Wakenya wakamatwa wakipinga kituo cha karantini ya Ebola kwa Raia wa Marekani

Asia GambaJune 9, 2026

Kituo hicho kinajengwa katika Kambi ya Anga ya Laikipia, iliyopo Nanyuki chini ya Mlima Kenya, na kinatarajiwa kutumika kuwaweka karantini raia wa Marekani watakaowasili kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), ambayo kwa sasa inakabiliwa na mlipuko mkubwa wa ugonjwa wa Ebola

“Yuda Yuko Wapi?” kauli ya mbunge bungeni yazua maswali kuhusu uaminifu ndani ya Serikali
People Politics

“Yuda Yuko Wapi?” kauli ya mbunge bungeni yazua maswali kuhusu uaminifu ndani ya Serikali

Asia GambaJune 3, 2026

Mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Fedha kwa mwaka wa fedha 2026/2027 umechukua sura mpya baada ya Mbunge wa Jimbo la Tunguu, Zanzibar, Simai Mohammed Said, kutoa kauli kali dhidi ya kile alichodai kuwa ni usaliti unaofanywa na mmoja wa viongozi waliopo ndani ya Serikali.

Msaidizi wa Lissu alivyonusurika kutekwa usiku Dar, Chadema yaibua maswali mazito
Africa Crime & Justice East Africa Politics Social Issues Tanzania

Msaidizi wa Lissu alivyonusurika kutekwa usiku Dar, Chadema yaibua maswali mazito

Mwanzo EditorMay 21, 2026

Katika simulizi yake iliyojaa taharuki, Jumbe amesema tukio hilo lilianza majira ya saa nne usiku akiwa njiani kuelekea nyumbani kwake Mabwepande, Bunju, akiwa ameambatana na rafiki yake aliyemtaja kwa jina la Macha.

Mgomo wa usafiri Kenya kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta waingia siku ya pili
Africa East Africa Kenya People Politics War & Conflicts

Mgomo wa usafiri Kenya kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta waingia siku ya pili

Asia GambaMay 19, 2026

Waendeshaji wa matatu walishindwa kufikia makubaliano ya kupunguza bei katika mazungumzo na serikali siku ya jana Jumatatu, hali iliyosababisha mgomo huo kuendelea.

Wanasiasa na Wanaharakati waishambulia Ofisi ya Msajili kwa kutishia kuifuta Chadema
East Africa Politics Tanzania

Wanasiasa na Wanaharakati waishambulia Ofisi ya Msajili kwa kutishia kuifuta Chadema

Asia GambaMay 14, 2026

Ukosoaji huo umeongezeka katika mtandao wa X, ambapo viongozi mbalimbali wa kisiasa, wanasheria na watetezi wa haki za binadamu wameeleza wasiwasi wao kuhusu kile wanachodai kuwa ni matumizi ya mamlaka yanayoweza kuhatarisha demokrasia na ushindani wa kisiasa nchini.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy