• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Mwanzo TV

Mamlaka ya Mawasiliano Kenya yapiga  “Stop” vyombo vya habari kurusha “Live”maandamano
East Africa Kenya People Politics Rights & Freedoms Social Issues

Mamlaka ya Mawasiliano Kenya yapiga “Stop” vyombo vya habari kurusha “Live”maandamano

Asia GambaJune 25, 2025

Agizo hilo, lililotolewa rasmi leo Juni 25, 2025, linanukuu madai ya ukiukaji wa Kifungu cha 33(2) na 34(1) cha Katiba ya Kenya, pamoja na Kifungu cha 461 cha Sheria ya Mawasiliano na Habari ya Kenya (Kenya Information and Communications Act).

Wakenya wamiminika mtaani kuadhimisha mwaka mmoja wa Maandamano ya Umwagaji damu
East Africa Kenya People Rights & Freedoms Social Issues

Wakenya wamiminika mtaani kuadhimisha mwaka mmoja wa Maandamano ya Umwagaji damu

Asia GambaJune 25, 2025June 25, 2025

Mwaka jana, takriban watu 60 waliuawa na vikosi vya usalama wakati wa maandamano yaliyodumu kwa wiki kadhaa, yaliyosababishwa na kupanda kwa ushuru na hali ngumu ya kiuchumi, hasa kwa vijana. Maandamano hayo yalifikia kilele tarehe 25 Juni, wakati maelfu walipovamia jengo la bunge.

Polisi Tanzania: Wengi wanaoripotiwa kutekwa hujificha kwa sababu binafsi
East Africa Tanzania

Polisi Tanzania: Wengi wanaoripotiwa kutekwa hujificha kwa sababu binafsi

Asia GambaJune 18, 2025

Katika taarifa iliyotolewa leo Jumatano tarehe 18 Juni 2025, ambayo imeeleza baadhi ya matukio hayo,  polisi wamesema uchunguzi wa kina umebaini kuwa watu wengi waliodaiwa kutekwa ama walikuwa wamejificha kwa hiari, walitoroka kutokana na sababu mbalimbali au walihusika katika vitendo vya uhalifu kabla ya kupotea kwao.

Africa East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Siku 68 za Lissu gerezani, aeleza masaibu anayopitia

Asia GambaJune 17, 2025

Licha ya kutohukumiwa, Lissu amedai amekuwa akishikiliwa kwenye eneo maalum la wafungwa wanaosubiri kunyongwa (death row) ndani ya Gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam.

Lissu ajiwakilisha mwenyewe Mahakamani baada ya kunyimwa haki ya kuonana na Mawakili wake Gerezani
Crime & Justice East Africa Tanzania

Lissu ajiwakilisha mwenyewe Mahakamani baada ya kunyimwa haki ya kuonana na Mawakili wake Gerezani

Asia GambaJune 16, 2025

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ameieleza Mahakama ya Kisutu kuwa ameamua kujiwakilisha mwenyewe katika shauri la uhaini yanayomkabili, akidai kunyimwa haki ya kuonana kwa faragha na mawakili wake tangu alipowekwa mahabusu zaidi ya miezi miwili iliyopita.

Ghasia zaibuka Nairobi: Kifo cha Mwalimu mikononi mwa Polisi chazua hasira mpya
East Africa Kenya People Rights & Freedoms Social Issues

Ghasia zaibuka Nairobi: Kifo cha Mwalimu mikononi mwa Polisi chazua hasira mpya

Asia GambaJune 12, 2025

Jeshi la polisi nchini Kenya limetumia mabomu ya machozi leo Alhamisi kuwatawanya waandamanaji waliokuwa wakilaani mauaji ya mwalimu mmoja aliyefariki akiwa chini ya ulinzi wa polisi, hali iliyotishia kufunika juhudi za serikali kuwasilisha bajeti mpya bila kuchochea ghasia kama za mwaka uliopita.

Chadema yatakiwa kusimamisha shughuli zake kwa siku 14
East Africa Politics Tanzania

Chadema yatakiwa kusimamisha shughuli zake kwa siku 14

Asia GambaJune 10, 2025

Zuio hilo linatokana na kesi namba 8323/2025 iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Issa na wenzake wawili ambayo imetolewa uamuzi leo na Jaji Hamidu Mwanga.

Chadema, Msajili bado vuta nikuvute, wapeleka kesi Mahakamani
Africa East Africa People Politics Tanzania

Chadema, Msajili bado vuta nikuvute, wapeleka kesi Mahakamani

Asia GambaJune 5, 2025

Kwa mujibu wa CHADEMA, Msajili wa Vyama vya Siasa amekiuka Katiba kwa kudai kuwa uteuzi wa viongozi wa CHADEMA una dosari za kikatiba, akitaka nafasi hizo kujazwa upya huku akipuuzia mamlaka halali ya vikao vya chama vilivyoteua na kuthibitisha viongozi hao kwa mujibu wa Katiba ya chama.

Dola dhidi ya Madhabahu: Gwajima katika moto wa kisiasa
East Africa People Politics Religion Rights & Freedoms Social Issues Tanzania Uncategorized

Dola dhidi ya Madhabahu: Gwajima katika moto wa kisiasa

Asia GambaJune 3, 2025

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeendelea kulizingira Kanisa la Ufufuo na Uzima, linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima, huku baadhi ya waumini wa kanisa hilo wakishikiliwa kwa mahojiano, kufuatia agizo la Serikali la kulifunga kanisa hilo kwa madai ya ukiukaji wa sheria.

The Chanzo yaondoa maudhui ya Askofu Gwajima kufuatia wito wa TCRA
Africa East Africa Rights & Freedoms Tanzania

The Chanzo yaondoa maudhui ya Askofu Gwajima kufuatia wito wa TCRA

Asia GambaMay 27, 2025

Katika video hiyo, Askofu Gwajima, ambaye pia ni kiongozi wa dini, alizungumza na wanahabari tarehe 24 Mei, 2025, akitoa maoni kuhusu mfululizo wa matukio ya utekaji yanayodaiwa kutokea nchini Tanzania. Maudhui hayo yalichapishwa kwenye chaneli ya The Chanzo Online TV kupitia YouTube.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo