Dkt. Ndumbaro: EXPO2020 Dubai yaiweka Tanzania katika ramani ya dunia.
Waziri wa Maliasili na Utalii nchini Tanzania Dkt. Damas Ndumbaro amesema Maonesho ya Kibiashara ya Expo2020 Dubai yanazidi kuiweka Tanzania katika ramani ya dunia
Waziri wa Maliasili na Utalii nchini Tanzania Dkt. Damas Ndumbaro amesema Maonesho ya Kibiashara ya Expo2020 Dubai yanazidi kuiweka Tanzania katika ramani ya dunia
“The EU and other pro-Western (bodies) have failed to take a serious and determined stance at the moment.”
Mwanafunzi aliyechaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza katika shule ya sekondari Msimbati iliyopo mkoani Mtwara, Tanzania, amemuandikia barua mkuu wa shule hiyo ya kukataa kusoma shule.
Uganda has witnessed a series of crackdowns aimed at stamping out dissent.
Sudan has been rocked by regular anti-coup protests that have been met by a crackdown that has killed at least 82 people according to an independent group of doctors.
In Somalia, the number of people classified as severely hungry could rise from 4.3 million to 4.6 million by May.
Baby formula makers are accused of “unethical” marketing strategies.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema serikali itaendelea kuwawezesha wachimbaji wadogo kwa kutenga maeneo maalum kwa ajili yao na kutoa huduma za tafiti kwa gharama nafuu.
Mkurugenzi wa Mashitaka nchini Tanzania(DPP), Sylvester Mwakitalu leo amemuomdolea mashitaka ya uchochezi Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Chadema, Hashimu Juma, yaliyokuwa yanamkabili ya uchochezi kupitia kifungu cha 90 (1), katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es salaam
Baraza la juu la Urusi, lilimpa Putin idhini kwa kauli moja ya kupeleka ‘walinda amani’ katika mikoa miwili iliyojitenga ya Donetsk na Lugansk