Lawrence Mafuru afariki dunia nchini India alikokuwa akipatiwa matibabu
Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Lawrence Nyasebwa Mafuru, amefariki dunia leo Novemba 9,2024 katika Hospitali ya Apollo nchini India.
Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Lawrence Nyasebwa Mafuru, amefariki dunia leo Novemba 9,2024 katika Hospitali ya Apollo nchini India.
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla, ametoa msisitizo kwa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kutenda haki kwa vyama vyote vilivyosimamisha wagombea katika uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa amewataka wagombea wote ambao hawajaridhishwa na uteuzi wa wagombea wa nafasi mbalimbali kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa waweke pingamizi ndani ya siku 2 kuanzia leo tarehe 08 – 09/11/2024.
Mkuu wa Taasisi ya Afya ya Umoja wa Afrika Jean Kaseya amesema maambukizi ya mpox yamepungua kidogo barani Afrika, ingawa bado janga hilo halijaisha.
Matokeo ya utafiti huo uliofanywa katika mikoa yote nchini, yanaonesha matumizi ya viuatilifu kwenye uzalishaji mboga za majani yanachangia kwa kiasi kikubwa ongezeko la magonjwa yasiyoambukizwa kwa binadamu kama vile saratani, kisukari na matatizo ya uzazi.
Wanajeshi na polisi walikuwa wakifanya doria katika mji mkuu wa Msumbiji, Maputo, mapema leo Alhamisi, kabla ya maandamano yaliyopangwa ya kupinga matokeo ya uchaguzi ambayo upinzani unadhani yana udanganyifu.
Biden mwenye umri wa miaka 81 alijitoa kwenye kinyang’anyiro dhidi ya Trump mnamo Julai na kumkabidhi uteuzi wa chama cha Democratic kwa makamu rais Kamala Harris, lakini sasa anatarajiwa kuona urithi wake ukibomolewa na urejesho wa kushangaza wa Trump.
Mitandao ya habari ya Marekani imetangaza kwamba Trump alishinda majimbo muhimu ya Pennsylvania, Georgia, na North Carolina, na anaongoza dhidi ya Makamu wa Rais wa Democratic, Kamala Harris, katika majimbo mengine ingawa hayajatangazwa rasmi bado
Madini ya Niobium hutumika katika mitambo ya uchorongaji katika utafiti na uchakataji wa mafuta, gesi pamoja na utengenezaji wa magari.
Taarifa ya Polisi imekuja siku moja baada ya tukio hilo kusambaa katika mitandao ya kijamii ikionesha picha ya mjongeo ambayo inamuonyesha mwanaume mmoja ambaye ametambulika kwa jina la Derick Derick Junior akimpiga mwanaume mwengine hadi kumjeruhi na kisha kumtishia silaa.