Rais wa Afrika Kusini, Ramaphosa afanya mazungumzo na Rais wa Ukraine
Ramaphosa alitangaza kwamba alikuwa na mazungumzo ya simu na Zelensky “kujadili mzozo wa Ukraine na gharama yake pamoja na athari zake za kimataifa.”
Ramaphosa alitangaza kwamba alikuwa na mazungumzo ya simu na Zelensky “kujadili mzozo wa Ukraine na gharama yake pamoja na athari zake za kimataifa.”
Explosions were heard in the Vasylkiv area outside the capital
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy ameomba kuhutubia Umoja wa Afrika, Rais wa Senegal Macky Sall alisema Jumatatu. Sall, mwenyekiti wa…
Waziri Mkuu wa Italia Mario Draghi aliwasili Algeria huku Roma ikiongeza juhudi za kupunguza utegemezi wake mkubwa wa gesi ya Urusi.
“Bei za bidhaa za chakula duniani zilipanda kwa kiasi kikubwa mwezi Machi kufikia viwango vyake vya juu zaidi,”FAO
Bilionea huyo alionyesha dalili zikiwemo macho mekundu na kuchubuka ngozi baada ya mazungumzo ya amani mjini Kyiv.
Imeshambulia ghala hilo kwa kutumia makombora ya masafa marefu yaliyorushwa kutoka baharini.
“What’s happening now in Mariupol is a massive war crime, destroying everything, bombarding and killing everybody,” Josep Borrell said
Zaidi ya watu milioni 1 wengi wao kutoka Syria walifika ufuo wa Ulaya mwaka 2015, lakini hawakupewa hadhi ya ulinzi wa moja kwa moja.
“Vita vya Ukraine vinamaanisha njaa barani Afrika,” Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) Kristalina Georgieva alisema Jumapili.