Africa East Africa Kenya Tanzania

Kwa nini Kenya imeendelea kuwa kimbilio la wanaharakati wa kisiasa licha ya hofu ya utekaji?

Kwa miongo kadhaa, Kenya imekuwa ikitajwa kama moja ya nchi salama zaidi kwa wanasiasa wa upinzani, wanaharakati na watetezi wa haki za binadamu kutoka nchi jirani za Afrika Mashariki. Wanaokimbia vitisho, kukamatwa au mashitaka ya kisiasa kutoka Tanzania, Uganda, Sudan Kusini, Ethiopia na hata Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo mara nyingi huelekea Nairobi wakiamini watapata usalama na nafasi ya kuendelea na shughuli zao.

Africa Crime & Justice International Politics Rights & Freedoms

Masahibu ya Mpinzani Mkuu Wa Kagame, Victoire Ingabire! Kwa nini Kakamatwa?

Ingabire aliwahi kuhukumiwa kifungo cha miaka minane gerezani mwaka 2012 kwa makosa yaliyohusisha “kudharau mauaji ya kimbari” na “kutishia usalama wa taifa.” Hukumu hiyo ilitokana na hotuba aliyotoa aliporejea Rwanda kutoka uhamishoni, ambapo alitaka kutambuliwa pia kwa waathiriwa wa Kihutu waliouawa wakati wa mauaji hayo ya mwaka 1994.