Uhaba wa Dola za Kimarekani ulivyotikisa bei za mafuta nchini Tanzania, vilio kila kona.
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini Tanzania (Ewura) imetangaza bei ya ukomo kwa mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa huku kukiwa na kilio cha ongezeko katika mafuta ya petroli na dizeli.