• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

Mimba za Utotoni zinavyowatesa watoto kukwama kielimu Songwe
Africa East Africa

Mimba za Utotoni zinavyowatesa watoto kukwama kielimu Songwe

Asia GambaNovember 3, 2023November 25, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Dkt. Francis Michael, ametoa muda wa siku tatu kwa Afisa elimu Mkoa wa Songwe kwa kushirikiana na taasisi nyingine ikiwemo Jeshi la Polisi kuwasaka watu wote waliohusika kuwakatisha masomo wanafunzi wa shule za Msingi na Sekondari na kueleza hatua zilizochukuliwa kisha apewe taarifa.

Wakuu wa nchi za SADC kukutana kwa dharula kujadili hali ya amani na ulinzi wa nchini DRC
Africa East Africa

Wakuu wa nchi za SADC kukutana kwa dharula kujadili hali ya amani na ulinzi wa nchini DRC

Asia GambaNovember 3, 2023November 3, 2023

Mkutano huo unalenga kujadili juhudi za SADC katika kuimarisha hali ya amani, ulinzi na usalama Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kufuatia mapigano ya muda mrefu yanayoendelea nchini humo yakitekelezwa na vikundi vyenye silaha katika majimbo ya Kivu Kusini, Kivu Kaskazini na Ituri.   

UTAFITI: Dar kinara kwa kiwango cha mimba kuharibika
Africa East Africa

UTAFITI: Dar kinara kwa kiwango cha mimba kuharibika

Asia GambaNovember 2, 2023November 2, 2023

Huo ni utafiti wa saba katika mfululizo wa utafiti wa kitaifa wa kidemografia na afya uliowahi kufanyika Tanzania mwaka 1991/92 ambapo kwa mujibu wa matokeo ya utafiti huo, taarifa za ujauzito kwa wanawake wenye umri wa miaka 15 hadi 49 kwa kipindi cha miaka mitatu kabla ya utafiti huo, zimeonesha asilimia 90 walizaa watoto hai na asilimia 10 walipoteza ujauzito. 

Makonda aanza kazi kwa vijembe, awapa salamu vyama vya upinzani.
Africa East Africa

Makonda aanza kazi kwa vijembe, awapa salamu vyama vya upinzani.

Asia GambaOctober 26, 2023October 26, 2023

Makonda amewasili akiwa kwenye bodaboda kwa kile kilichodaiwa kuwa alishindwa kufika na gari lake kutokana na msongamano wa magari na umati wa watu uliojitokeza kwenye eneo la ofisi hiyo

Mwabukusi akosoa mkataba wa HGA, adai Serikali imewadanganya Wananchi, asisitiza maandamano
Africa East Africa

Mwabukusi akosoa mkataba wa HGA, adai Serikali imewadanganya Wananchi, asisitiza maandamano

Asia GambaOctober 24, 2023October 24, 2023

Mwabukusi ameeleza masikitiko yake kwa Serikali kusaini mkataba na DPW ya Dubai katika uendelezaji wa bandari ya Dar es Salaam akidai kuwa bado mapungufu hayajaondolewa na hata kipindi cha miaka 30 ya mkataba huo ni kirefu ikilinganishwa na raslimali inayoenda kuwekezwa.

Tanzania signs controversial port deal with UAE’s DP World
Business / Finance East Africa Politics

Tanzania signs controversial port deal with UAE’s DP World

Mwanzo EditorOctober 23, 2023July 4, 2024

The new contracts give DP World exclusive management of four of the city docks’ 12 moorings and of four more in partnership with the Tanzania Port Authority.

Tanzania yaendelea na makubaliano ya mkataba wa bandari na kampuni ya DP World  licha ya ukosoaji
Africa East Africa

Tanzania yaendelea na makubaliano ya mkataba wa bandari na kampuni ya DP World  licha ya ukosoaji

Asia GambaOctober 23, 2023July 2, 2024

Kampuni kubwa ya usafirishaji ya Dubai DP World ilitia saini mikataba mitatu siku ya Jumapili na serikali ya Tanzania ya kuendesha sehemu ya bandari ya Dar es Salaam kwa miaka 30 chini ya mkataba wenye utata unaohusu bandari zote za nchi.

Matumizi ya kituo cha Kivukoni mwisho leo
Africa East Africa

Matumizi ya kituo cha Kivukoni mwisho leo

Asia GambaOctober 20, 2023October 20, 2023

Kituo cha daladala cha Kivukoni jijini Dar es Salaam kitafungwa kuanzia kesho Oktoba 21 kupisha upanuzi wa kituo cha mabasi yaendayo haraka cha Kivukoni awamu ya kwanza.

TBS yapiga marufuku uagizaji wa mitungi ya mtumba ya gesi asili kwa ajili ya magari
Africa East Africa

TBS yapiga marufuku uagizaji wa mitungi ya mtumba ya gesi asili kwa ajili ya magari

Asia GambaOctober 19, 2023October 19, 2023

Shirika la Viwango Tanzania (TBS), limewataka wauzaji na wasambazaji wa gesi asilia kwa ajili ya matumizi ya magari, pamoja na vifaa vinavyohusika katika mfumo wa gesi hiyo, kuzingatia ubora wa viwango vinavyohitajika vya vifaa hivyo, ili kulinda afya na Maisha ya watumiaji wa bidhaa hiyo. 

UTAFITI: Waliowekewa betri ya moyo wana hatari kupata changamoto ya akili
Africa East Africa

UTAFITI: Waliowekewa betri ya moyo wana hatari kupata changamoto ya akili

Asia GambaOctober 18, 2023October 18, 2023

Utafiti huo uliofanywa na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), ulihusisha wagonjwa sita ambao wamewekewa betri hiyo baada ya kufanyiwa vipimo vya mtambo mkubwa uitwao CathLab.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy