Mwanafunzi wa kidato cha tano aliyepotea apatikana
Mapema hii leo, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera alitangaza dau la shilingi Milioni tano kwa mtu yeyote atakayetoa taarifa zitakazosaidia kupatikana kwa mwanafunzi huyo.
Mapema hii leo, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera alitangaza dau la shilingi Milioni tano kwa mtu yeyote atakayetoa taarifa zitakazosaidia kupatikana kwa mwanafunzi huyo.
Serikali imesema itarejesha hekta 74,432 kwa wananchi wa Mbarali zilizokuwa eneo la hifadhi ya Taifa ya Ruaha, baada ya hatua ya wananchi kuziomba kushindikana kwa takribani miaka saba.
Dr. Ananilea Nkya is described as one of the leading, and most outspoken, feminists in Tanzania
Kaimu Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katavi, Kaster Ngonyani amesema watuhumiwa hao ni Joseph John(24) Yusuph Sadick (27) wakazi wa Mtaa wa Milupwa, Abrahamu Kassim (28) Mkazi wa Mtaa wa Misunkumilo Manispaa ya Mpanda na Samwel Nzobe (41), Mkazi wa Mtaa wa Kotazi Manispaa ya Mpanda.
Waziri wa Kilimo nchini Tanzania, Hussein Bashe amesema Serikali haijazuia watu kufanya biashara ya kuuza mazao nje ya nchi, badala yake kilichozuiwa ni watu kufanya biashara bila kufuata utaratibu wa kisheria.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP Janeth Magomi amesema watuhumiwa hao na vitu hivyo vimekamatwa kwa kipindi cha mwezi mmoja kuanzia tarehe 28/05/2023 hadi tarehe 21/06/2023 kupitia misako na doria mbalimbali.
On June 10, the Parliament of the United Republic of Tanzania passed a resolution on the proposal to ratify the agreement between the Government of Tanzania and the Government of Dubai (DP World)
At the beginning of the match, Tanzania was leading with 2 points lead, Kenya 10 and Tanzania 12.
East African Community (EAC) countries have read their budgets for the financial year 2023 to 2024
Kanisa hilo linasemekana kuwa limekuwa likifanya kazi kwa zaidi ya miaka mitano