Awanywesha sumu watoto wa mume wake kisa pesa ya mtumizi
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Richard Abwao amesema tukio hilo limetokea Agosti 12, 2023 saa tatu usiku katika kijiji na kata ya Itobo Wilaya ya Nzega ambapo watoto hao walikorogewa sumu na mama huyo (jina limehifadhiwa) kisha nayeye kunywa sumu hiyo.