• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

Wasoma Mita za maji nchini Tanzania wawekwa kikaangoni
Africa East Africa

Wasoma Mita za maji nchini Tanzania wawekwa kikaangoni

Asia GambaMarch 16, 2023March 16, 2023

Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa amewaonya wasoma mita za maji nchini kuacha tabia ya kuwabambikia wananchi bili kubwa za maji kwani hatua hiyo inaichafua serikali jambo ambalo halitovumilika.

Rais Samia afanya teuzi nyingine
Africa East Africa

Rais Samia afanya teuzi nyingine

Asia GambaMarch 16, 2023March 16, 2023

Aidha taarifa hiyo imeeleza kuwa viongozi wote walioteuliwa katika nafasi mpya watajulishwa tarehe ya kuapishwa.

Bob Junior: Simba ambaye alikuwa ‘mfalme’ wa Serengeti auawa na wapinzani
East Africa Nature

Bob Junior: Simba ambaye alikuwa ‘mfalme’ wa Serengeti auawa na wapinzani

Joy CheptooMarch 16, 2023March 16, 2023

Serengeti kaskazini mwa Tanzania ni nyumbani kwa simba takriban 3,000, na ni maarufu kwa watalii wa ndani na nje ya nchi

Matumizi ya Kitimoto yapigwa marufuku huko Ludewa nchini Tanzania
Africa East Africa

Matumizi ya Kitimoto yapigwa marufuku huko Ludewa nchini Tanzania

Asia GambaMarch 16, 2023March 16, 2023

Kwa mujibu wa taarifa ya Daktari wa Mifugo wa wilaya hiyo Festo Mkomba imesema kuwa hatua hiyo imefikiwa baada ya hivi karibuni kujitokeza baadhi ya matukio yanayosababishwa na ugonjwa huo hivyo kwa mujibu wa sheria ya mifugo namba 16(2), 17 ya mwaka 2003 imembidi kutangaza kusitishwa kwa huduma hizo kuanzia sasa mpaka hapo itakapo tangazwa tena.

NHIF yapewa siku 14 kukamilisha maboresho ya huduma ya Toto Afya Kadi
Africa East Africa

NHIF yapewa siku 14 kukamilisha maboresho ya huduma ya Toto Afya Kadi

Asia GambaMarch 16, 2023March 16, 2023

Taarifa iliyotolewa hivi karibuni kutoka NHIF, ilieleza kuwa mfuko huo unafanya maboresho ya usajili na huduma kwa watoto waliokuwa wanasajiliwa kupitia utaratibu wa Bima ya Afya ya ‘Toto Afya Kadi’, na kutoweka bayana ni muda gani utachukua kukamilika kwa maboresho hayo.

LHRC kwenda kwa Rais Samia sakata la mashekhe wanaokabiliwa na kesi ya ugaidi
Africa East Africa

LHRC kwenda kwa Rais Samia sakata la mashekhe wanaokabiliwa na kesi ya ugaidi

Asia GambaMarch 15, 2023March 15, 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Anna Henga, leo amewaambia wanahabari kwamba  mashauri hayo ya ugaidi yamekwama kuendelea kwa zaidi ya miaka sita kutokana na Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), kutokamilisha upelelezi wake.

Mtu mmoja hufariki kwa ajali kila wiki jijini Mwanza nchini Tanzania 
East Africa People

Mtu mmoja hufariki kwa ajali kila wiki jijini Mwanza nchini Tanzania 

Joy CheptooMarch 14, 2023March 14, 2023

Upande wa pikipiki zimetokea ajali kubwa 30 kwa kipindi hicho cha Januari hadi Desemba, 2022 zilizosababisha vifo vya watu 25 na kujeruhi watu 26

Watu 4,000 wamefariki dunia kwa ajali za barabarani nchini Tanzania katika kipindi cha miaka mitatu
East Africa People

Watu 4,000 wamefariki dunia kwa ajali za barabarani nchini Tanzania katika kipindi cha miaka mitatu

Asia GambaMarch 14, 2023March 14, 2023

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa takwimu hizo huku akielezea kuwa hazifurahishi

Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris kuzuru Afrika baadaye mwezi huu
Africa People Politics

Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris kuzuru Afrika baadaye mwezi huu

Joy CheptooMarch 13, 2023March 13, 2023

Anapanga kuwa Ghana kuanzia Machi 26 hadi 29, kisha Tanzania kuanzia Machi 29 hadi 31. Kituo chake cha mwisho ni Zambia, Machi 31 na Aprili 1.

Serikali ya Tanzania kukusanya na kutumia trilioni 44.38 mwaka 2023/2024
Africa East Africa

Serikali ya Tanzania kukusanya na kutumia trilioni 44.38 mwaka 2023/2024

Asia GambaMarch 13, 2023March 13, 2023

Serikali ya Tanzania inatarajia kukusanya na kutumia shilingi trilioni 44.38  kwa mwaka 2023/2024 ikiwa ni ongezeko la asilimia 7.0 ya bajeti ya mwaka 2022/2023.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo