Godbless Lema wa Chadema arejea nyumbani baada ya kukaa uhamishoni kwa miaka mingi
Lema alikimbia Tanzania Novemba 2020, akiripoti vitisho vya maisha yake kufuatia uchaguzi uliokuwa na utata
Lema alikimbia Tanzania Novemba 2020, akiripoti vitisho vya maisha yake kufuatia uchaguzi uliokuwa na utata
Waliotia Saini mikataba hiyo Jijini Dar es Salaam, ni Waziri wa Fedha na Mpango, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia, Bw. Nathan Belete.
Uamuzi huo umetolewa leo na kupitia waraka wa Askofu wa Jimbo Katoliki la Geita, Flavian Kassala, ikiwa ni siku mbili tangu kutokea kwa uvamizi na uharibifu ndani ya kanisa hilo, lililopo Mtaa wa Jimboni, Kata ya Buhalahala mjini Geita.
Majeruhi huyo ayetambulika kwa jina la ‘Osam Milanzi’ na kutajwa kuwa mkazi wa Manzese Midizini, ametambuliwa siku moja baada ya kuanza kuongea na kujitaja kwa jina la Osam mkazi wa Manzese.
Taifa Gas ndiyo kampuni kubwa zaidi ya usambazaji wa LPG nchini Tanzania
Odinga ambaye siku ya Jumatano Februari 22 aliandaa mkutano wa maombi katika bustani ya Jeevanjee jijini Nairobi alisema kuwa wakenya wamechoka na serikali ya Kenya Kwanza kutotimiza ahadi walizotoa katika kipindi cha kampeni.
Bomba hilo lenye urefu wa kilomita 1,443 (maili 900) litasafirisha mafuta ghafi kutoka kwenye maeneo makubwa ya mafuta yanayotengenezwa katika Ziwa Albert kaskazini-magharibi mwa Uganda hadi bandari ya Tanzania kwenye Bahari ya Hindi kwa ajili ya kupelekwa katika masoko ya kimataifa.
Bomba hilo lenye urefu wa kilomita 1,443 litasafirisha mafuta ghafi kutoka Ziwa Albert kaskazini magharibi mwa Uganda hadi bandari ya Tanzania
Atsu mwenye umri wa miaka 31,alipatikana ameaga dunia katika vifusi vya nyumba yake mjini Hatay Uturuki kufuatia tetemeko la ardhi lilotokea Februari 6 na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 4,000 huku maelfu ya wengine wakipata majeraha.
Akizungumza leo na waandishi wa habari Mjiolojia Mwandamizi kutoka Taasisi ya Jiolojia na na Utafiti wa Madini Tanzania (GST), Gabriel Mbogoni alisema kuwa Februari 16, mwaka huu saa 12.13 jioni tetemeko lenye ukubwa wa Richert 4.9 lilitokea katika eneo la Makuru, Tarehe 17 Februari, saa 1:45 asubuhi tetemeko lenye ukubwa wa richer 4.3 lilitokea eneo la Makuru na Feburari 17, mwaka huu tetemeko lenye ukubwa wa richer 4.9 lilitokea katika eneo la Zuboro.