• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

Jenerali Mabeyo: Nimetoka jeshini, moyo wangu bado ni jeshi
Africa East Africa

Jenerali Mabeyo: Nimetoka jeshini, moyo wangu bado ni jeshi

Asia GambaJuly 15, 2022July 15, 2022

Mabeyo ametoa kauli hiyo katika hafla ya kumuaga iliyofanyika jijini Dar es Salaam, leo Ijumaa, tarehe 15 Julai 2022, ikiwa ni wiki kadhaa tangu astaafu jeshi tarehe 30 Juni 2022.

Tanzania yapokea chanjo nyingine za UVIKO-19
Africa East Africa

Tanzania yapokea chanjo nyingine za UVIKO-19

Asia GambaJuly 14, 2022July 14, 2022

Chanjo hizo zinapokelewa wakati mpaka kufikia Julai 12, 2022 Watanzania 10,511,804 walikuwa wamekamilisha dozi ya Uviko-19 huku Tanzania ikiwa imepokea jumla ya dozi 21,226,520.

Nape:Mapitio ya Sheria,Sera za Habari yanaendelea.
Africa East Africa

Nape:Mapitio ya Sheria,Sera za Habari yanaendelea.

Asia GambaJuly 14, 2022July 14, 2022

Amesema ili kuhakikisha mazingira hayo yanaimarika, tayari mchakato wa kupitia Sheria, Kanuni na Sera ya Habari umeanza na unaendelea vizuri.

Jaji Mkuu: Tumieni usuluhishi kupunguza migogoro
Africa East Africa

Jaji Mkuu: Tumieni usuluhishi kupunguza migogoro

Asia GambaJuly 14, 2022July 14, 2022

Alitaka watumishi wa kituo hicho kupatiwa mafunzo ili kuweza kuongeza uelewa zaidi juu ya suala hilo, ambapo Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mustapher Siyani aliahidi kulifanyia kazi.

Tanzania probes mystery illness after three die
Africa East Africa

Tanzania probes mystery illness after three die

Aska MakoriJuly 14, 2022July 14, 2022

Symptoms of the illness include fever, headaches, fatigue and nosebleeds, the government’s chief medical officer Aifello Sichalwe said in a statement.

Baadhi ya mikoa kukosa umeme kwa zaidi ya saa 8
Africa East Africa

Baadhi ya mikoa kukosa umeme kwa zaidi ya saa 8

Asia GambaJuly 13, 2022July 13, 2022

Taarifa iliyotolewa na shirika hilo imesema kuwa, upungufu huo umesababisha jumla ya megawati 91 kutokua kwenye mfumo wa usafirishaji umeme hivyo baadhi ya maeneo yatakosa nishati hiyo kuanzia saa 3 asubuhi hadi saa 12 jiioni.

NEC/ZEC: Changamoto zinzotokea wakati wa uchaguzi zinachangiwa na vyama vya siasa
Africa East Africa

NEC/ZEC: Changamoto zinzotokea wakati wa uchaguzi zinachangiwa na vyama vya siasa

Asia GambaJuly 13, 2022July 13, 2022

Aidha, NEC na ZEC zimesema zipo tayari kupokea mabadiliko ya kisheria ambayo yatapendekezwa katika kuzifanya taasisi hizo kuepushwa na  malalamiko. 

Watu watano wafariki kwenye ajali mkoani Simiyu
Africa East Africa

Watu watano wafariki kwenye ajali mkoani Simiyu

Asia GambaJuly 13, 2022July 13, 2022

Ajali hiyo ilihusisha magari madogo mawili ya abiria aina ya Toyota pro box na Toyota wish ambayo yanayofanya safari zake kati ya mji wa Bariadi na Lamadi wilayani Busega ambayo yaligongana uso kwa uso.

Ugonjwa wa ajabu waibuka mikoa ya kusini mwa Tanzania
Africa East Africa

Ugonjwa wa ajabu waibuka mikoa ya kusini mwa Tanzania

Asia GambaJuly 12, 2022July 12, 2022

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema katika mikoa ya kusini mwa Tanzania kumeibuka ugonjwa wa ajabu, ambapo watu wengi wanavuja damu puani mfululizo na kuanguka.

Pacha mmoja aliyetanganishwa afariki dunia   
Africa East Africa

Pacha mmoja aliyetanganishwa afariki dunia   

Asia GambaJuly 12, 2022July 12, 2022

Taarifa iliyotolewa na Hospitali hiyo leo Julai 12, 2022 na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma, Aminiel Aligaesha imeeleza kuwa hali ya Neema ilibadilika ghafla akiwa katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU).

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy