• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Uhuru Kenyatta

Kenya: Uingereza, EU inaamini kutakuwa na uchaguzi wa kuaminika mnamo Agosti 9
East Africa Features People Politics

Kenya: Uingereza, EU inaamini kutakuwa na uchaguzi wa kuaminika mnamo Agosti 9

Maureen MedzaJuly 12, 2022July 12, 2022

Marriot alisema kuwa taifa lake halitaegemea upande wowote na halina ajenda ila kusaidia kuhakikisha watu wa Kenya wanakuwa na uchaguzi wenye mafanikio.

Kenya: Rais Kenyatta awataja wakuu 142 wa mashirika ya serikali katika uteuzi wake wa mwisho
East Africa Features

Kenya: Rais Kenyatta awataja wakuu 142 wa mashirika ya serikali katika uteuzi wake wa mwisho

Maureen MedzaJuly 12, 2022July 12, 2022

Huku kukiwa zimesalia wiki tatu tu kabla ya Uchaguzi Mkuu utakaoashiria mwisho wa muhula wake, Rais Kenyatta amefanya uteuzi wa watu 142 katika bodi za mashirika mbalimbali ya serikali.

Wakenya wapo tayari kuuza figo kukabiliana na hali ngumu ya maisha
Features Lifestyle & Health

Wakenya wapo tayari kuuza figo kukabiliana na hali ngumu ya maisha

Maureen MedzaJune 21, 2022June 21, 2022

Hospitali kuu ya umma nchini Kenya inasema kumekuwa na ongezeko la idadi ya watu wanajitolea kuuza figo zao.

Viongozi wa Afrika Mashariki wakubaliana kuwepo kwa jeshi la kikanda DR Congo
East Africa Features People Politics

Viongozi wa Afrika Mashariki wakubaliana kuwepo kwa jeshi la kikanda DR Congo

Maureen MedzaJune 21, 2022June 21, 2022

Viongozi wa Afrika Mashariki walikubaliana Jumatatu kutuma kikosi cha kikanda kujaribu kumaliza mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, na kutoa wito wa kusitishwa mara moja kwa mapigano.

Kenya: East Africa leaders agree regional force for DR Congo
Africa East Africa

Kenya: East Africa leaders agree regional force for DR Congo

Leah NgariJune 20, 2022June 20, 2022

East African leaders agreed Monday to establish a regional force to try to end conflict.

Wazalishaji wa miraa nchini Kenya wana hamu ya kuanza tena mauzo ya nje kwenda Somalia
Business / Finance East Africa Features Politics

Wazalishaji wa miraa nchini Kenya wana hamu ya kuanza tena mauzo ya nje kwenda Somalia

Maureen MedzaJune 20, 2022June 20, 2022

Somalia imekuwa soko muhimu la uuzaji wa nje wa miraa nchini Kenya tangu Uholanzi na Uingereza zilipoweka marufuku mwaka wa 2012 na 2014 mtawalia

Viongozi wa Afrika Mashariki kukutana Jumatatu kujadili mzozo wa DR Congo
East Africa Features People Politics

Viongozi wa Afrika Mashariki kukutana Jumatatu kujadili mzozo wa DR Congo

Maureen MedzaJune 20, 2022June 20, 2022

Viongozi wa mataifa saba yanayojumuisha muungano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki watakutana Jumatatu kujadili hali ya usalama katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

Rais wa Kenya ahimiza kutumwa kwa jeshi la kikanda nchini DR Congo
East Africa Features Politics

Rais wa Kenya ahimiza kutumwa kwa jeshi la kikanda nchini DR Congo

Maureen MedzaJune 16, 2022June 16, 2022

Wiki kadhaa za ghasia zimezua mzozo wa kidiplomasia kati ya DRC na jirani yake Rwanda, ambayo inalaumu kwa kuibuka upya kwa wanamgambo wa waasi wa M23.

Kenya: Jaji Mkuu Martha Koome amtaka Rais Kenyatta kuondolewa madarakani kwa kukiuka katiba
Features People Politics

Kenya: Jaji Mkuu Martha Koome amtaka Rais Kenyatta kuondolewa madarakani kwa kukiuka katiba

Maureen MedzaJune 13, 2022June 13, 2022

Jaji Mkuu Martha Koome anamtaka Rais Uhuru Kenyatta ang’olewe madarakani kwa kukosa kuwateua majaji sita waliopendekezwa na Tume ya Huduma za Mahakama (JSC).

Kenya: Itifaki yavunjwa ,Ruto akosa kuwahutubia  wakenya katika sherehe za madaraka
East Africa Features People Politics

Kenya: Itifaki yavunjwa ,Ruto akosa kuwahutubia wakenya katika sherehe za madaraka

Maureen MedzaJune 1, 2022June 1, 2022

Uhuru, ambaye pia ni mlezi katika Muungano wa Azimio La Umoja One Kenya amemtaja Raila kama mtu bora zaidi kumrithi, kwa kile naibu wake Ruto amekitaja kuwa usaliti.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo