• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: UN

Urusi yaandikisha maelfu kutoka Syria kujiunga na vita Ukraine
Europe Features International

Urusi yaandikisha maelfu kutoka Syria kujiunga na vita Ukraine

Maureen MedzaMarch 15, 2022March 15, 2022

Kremlin ilisema wiki iliyopita kwamba watu wa kujitolea, wakiwemo kutoka Syria, wanakaribishwa kupigana pamoja na jeshi la Urusi nchini Ukraine.

Milipuko yatikisa Kyiv huku mazungumzo kati ya Ukraine na Urusi yakiendelea
Europe International Politics

Milipuko yatikisa Kyiv huku mazungumzo kati ya Ukraine na Urusi yakiendelea

Maureen MedzaMarch 15, 2022March 15, 2022

Msururu wa milipuko mikali ilitikisa maeneo ya makazi ya watu wa Kyiv mapema Jumanne na kuua watu wawili, saa chache kabla ya mazungumzo kati ya Ukraine na Urusi kutarajiwa kuanza tena.

Afisa wa bunge: Watoto 71 wauawa nchini Ukraine kufikia sasa
Europe Features International People Politics

Afisa wa bunge: Watoto 71 wauawa nchini Ukraine kufikia sasa

Maureen MedzaMarch 11, 2022March 11, 2022

Takriban watoto 71 wameuawa na zaidi ya 100 kujeruhiwa nchini Ukraine tangu Rais wa Urusi Vladimir Putin kuanzisha vita Februari 24, afisa wa bunge la Ukraine alisema Alhamisi.

UN and US press South Sudan to prepare for elections
Africa East Africa Politics

UN and US press South Sudan to prepare for elections

Justus TharaoMarch 10, 2022July 2, 2024

“As I have stated before, elections have the potential to be a nation-building moment, or a catastrophe,” the UN envoy for South Sudan, Nicholas Haysom, told the Security Council.

Urusi inasema “kuna maendeleo mazuri” katika mazungumzo na Ukraine
Europe Features International People Politics

Urusi inasema “kuna maendeleo mazuri” katika mazungumzo na Ukraine

Maureen MedzaMarch 9, 2022March 9, 2022

Urusi na Ukraine zimekubaliana kusitisha mapigano kwa siku moja Jumatano katika maeneo ya uokoaji ili kuruhusu raia kutoroka mapigano.

Vita vya Urusi na Ukraine: Matukio ya hivi punde
Europe Features People Politics

Vita vya Urusi na Ukraine: Matukio ya hivi punde

Maureen MedzaMarch 8, 2022March 8, 2022

Umoja wa Mataifa unasema watu milioni 1.7 wameikimbia Ukraine, na kuufanya mzozo huu kuwa mkubwa zaidi na unaokuwa kwa kasi zaidi tangu Vita vya Pili vya Dunia.

Ukraine yakataa kutoa njia salama kwa Urusi kwa wakimbzi wanaotoroka mashambulizi
Europe Features International Politics

Ukraine yakataa kutoa njia salama kwa Urusi kwa wakimbzi wanaotoroka mashambulizi

Maureen MedzaMarch 7, 2022March 7, 2022

Vladamir Putin ameahidi atatimiza lengo lake kwa njia yoyote ile iwe “kwa mazungumzo au kupitia vita”

Wakimbizi milioni moja waikimbia Ukraine katika wiki ya kwanza ya vita
Europe Features International Politics

Wakimbizi milioni moja waikimbia Ukraine katika wiki ya kwanza ya vita

Maureen MedzaMarch 4, 2022March 4, 2022

Kulingana na data kutoka kwa shirika la Grandi la UNHCR, watu 1,045,459 sasa wameikimbia Ukraine tangu Rais wa Urusi Vladimir Putin aanzishe uvamizi Februari 24.

Vita Ukraine: Jinsi wiki ya kwanza ilivyokuwa
Europe Features International Politics

Vita Ukraine: Jinsi wiki ya kwanza ilivyokuwa

Maureen MedzaMarch 4, 2022March 4, 2022

Baada ya Urusi kuizingira Ukraine kwa makumi ya maelfu ya wanajeshi, Urusi ilivamia jirani yake mapema Februari 24, na kuanzisha…

Ujerumani kupeleka makombora zaidi ya kutungulia ndege, Ukraine
Europe Features International Politics

Ujerumani kupeleka makombora zaidi ya kutungulia ndege, Ukraine

Maureen MedzaMarch 3, 2022March 3, 2022

Kabla ya kuongezeka kwa mzozo huo, Ujerumani ilikuwa imeahidi tu kuchangia kwa kutoa helmeti na kusaidia kujenga hospitali huko Ukraine.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy