• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: UN

UN: Zaidi ya wakimbizi 36,000 wamekimbilia Niger mwaka huu
Africa Features

UN: Zaidi ya wakimbizi 36,000 wamekimbilia Niger mwaka huu

Maureen MedzaMay 4, 2022May 4, 2022

Zaidi ya wakimbizi wapya 36,000 waliwasili Niger kati ya Januari na katikati ya Aprili kufuatia ghasia nchini Mali, Nigeria na Burkina Faso, na kufanya idadi yao kufikia karibu 360,000 UNHCR imesema

Ukame katika Pembe ya Afrika huenda ukawasababishia njaa watu milioni 20
Africa Features

Ukame katika Pembe ya Afrika huenda ukawasababishia njaa watu milioni 20

Maureen MedzaMay 4, 2022May 4, 2022

Umoja wa Mataifa unasema eneo la Pembe ya Afrika unakabiliwa na ukame mbaya zaidi katika miaka 40.

Ivory Coast: Tani 2 za Cocaine, yenye thamani ya zaidi ya Milioni 67, yakamatwa
Africa Europe Features

Ivory Coast: Tani 2 za Cocaine, yenye thamani ya zaidi ya Milioni 67, yakamatwa

Maureen MedzaApril 26, 2022April 26, 2022

Kukamatwa kwa kokeini imekuwa jambo la kawaida katika Pwani ya Atlantiki ya Afrika Magharibi,eneo linalotumika kwa usafirishaji wa dawa za kulevya kutoka Amerika Kusini kuelekea Uropa.

Urusi yawawekea marufuku ya kusafiri Kamala Harris na Zuckerberg
Features International People Politics

Urusi yawawekea marufuku ya kusafiri Kamala Harris na Zuckerberg

Maureen MedzaApril 22, 2022April 22, 2022

Urusi ilipiga marufuku ya kusafiri kwa Makamu wa Rais wa Amerika Kamala Harris, mkuu wa Facebook Mark Zuckerberg na makumi ya Wamarekani mashuhuri na Wacanada kulipiza kisasi kwa vikwazo vilivyowekwa juu ya uvamazi wao nchini Ukraine.

Rais wa Afrika Kusini, Ramaphosa afanya mazungumzo na Rais wa Ukraine
Africa Europe International War & Conflicts

Rais wa Afrika Kusini, Ramaphosa afanya mazungumzo na Rais wa Ukraine

Maureen MedzaApril 21, 2022July 2, 2024

Ramaphosa alitangaza kwamba alikuwa na mazungumzo ya simu na Zelensky “kujadili mzozo wa Ukraine na gharama yake pamoja na athari zake za kimataifa.”

UN inasema watu milioni tisa wanahitaji msaada nchini Sudan Kusini
Africa Features Politics

UN inasema watu milioni tisa wanahitaji msaada nchini Sudan Kusini

Maureen MedzaApril 19, 2022April 19, 2022

Mapigano yamepamba moto upya katika taifa hilo licha ya ahadi ya Rais Salva Kiir na Makamu wa Rais Riek Machar, kujitahidi kutekeleza vifungu muhimu vya mapatano ya amani

FAO: Bei ya vyakula duniani yaongezeka kutokana na vita vya Ukraine
Development Features International Politics War & Conflicts

FAO: Bei ya vyakula duniani yaongezeka kutokana na vita vya Ukraine

Maureen MedzaApril 8, 2022July 2, 2024

“Bei za bidhaa za chakula duniani zilipanda kwa kiasi kikubwa mwezi Machi kufikia viwango vyake vya juu zaidi,”FAO

Mapigano ya Darfur, Sudan yaua 45: maafisa waripoti
Africa Features Politics

Mapigano ya Darfur, Sudan yaua 45: maafisa waripoti

Maureen MedzaApril 1, 2022April 1, 2022

Mapigano mapya yalizuka Jumanne kati ya watu wa kabila la Fallata na kabila la Kiarabu katika vijiji vya nje ya Nyala, mji mkuu wa jimbo la Darfur Kusini

Wanajeshi 8 wa kulinda amani wa UN wamefariki katika ajali ya helikopta nchini DR Congo
Africa East Africa Features People Politics

Wanajeshi 8 wa kulinda amani wa UN wamefariki katika ajali ya helikopta nchini DR Congo

Maureen MedzaMarch 30, 2022March 30, 2022

Wanajeshi wanane waliuawa Jumanne wakati helikopta ya Puma ilipoanguka DR Congo

Jumba la maonyesho Ukraine, lililowapa hifadhi zaidi ya raia 1,000 lalipuliwa kwa mabomu
Europe Features International

Jumba la maonyesho Ukraine, lililowapa hifadhi zaidi ya raia 1,000 lalipuliwa kwa mabomu

Maureen MedzaMarch 17, 2022March 17, 2022

Zaidi ya watu 2,000 wameuawa katika mji huo wa Mariupol kulingana na mamlaka ya Ukraine.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy