President William Ruto, ”We sympathize with Manchester United”
“We sympathize with Manchester United,” Ruto said with a smile, referencing the team’s recent struggles.
“We sympathize with Manchester United,” Ruto said with a smile, referencing the team’s recent struggles.
Kauli hiyo ya Jaji Mkuu imejiri kufuatia maandamano ya kitaifa yaliyofanyika Julai 7, 2025, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Saba Saba, ambapo watu kadhaa walipoteza maisha, wengine kujeruhiwa, na wengine kukamatwa.
Speaking during a public forum in Mbeere North, Embu County, Ruku described the protests as acts of “planned terrorism” and urged young people not to be manipulated by political actors with personal ambitions.
Agizo hilo, lililotolewa rasmi leo Juni 25, 2025, linanukuu madai ya ukiukaji wa Kifungu cha 33(2) na 34(1) cha Katiba ya Kenya, pamoja na Kifungu cha 461 cha Sheria ya Mawasiliano na Habari ya Kenya (Kenya Information and Communications Act).
Mwaka jana, takriban watu 60 waliuawa na vikosi vya usalama wakati wa maandamano yaliyodumu kwa wiki kadhaa, yaliyosababishwa na kupanda kwa ushuru na hali ngumu ya kiuchumi, hasa kwa vijana. Maandamano hayo yalifikia kilele tarehe 25 Juni, wakati maelfu walipovamia jengo la bunge.
Jeshi la polisi nchini Kenya limetumia mabomu ya machozi leo Alhamisi kuwatawanya waandamanaji waliokuwa wakilaani mauaji ya mwalimu mmoja aliyefariki akiwa chini ya ulinzi wa polisi, hali iliyotishia kufunika juhudi za serikali kuwasilisha bajeti mpya bila kuchochea ghasia kama za mwaka uliopita.
Amnesty International yafichua mateso makali wanayopitia wanawake wa Kenya wanaofanya kazi za ndani nchini Saudi Arabia, ikiwemo ubakaji, ubaguzi wa rangi, njaa, na utumwa wa kisasa unaofanyika chini ya mfumo wa Kafala.
This summit comes amid rising concerns over rebel group advances in the DRC, particularly the M23, backed by Rwanda, and the growing diplomatic tensions between several African countries
Sarungi suspects her abduction was linked to the Tanzanian government, citing her online activism and advocacy for democratic reforms.
The Head of State added that the scale of ongoing and future projects under the Affordable Housing Programme, promises millions of additional jobs for Kenyans which is a means of fostering inclusivity and fairness while giving lower-income families and workers access to affordable housing