Mgomo wa usafiri Kenya kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta waingia siku ya pili
Waendeshaji wa matatu walishindwa kufikia makubaliano ya kupunguza bei katika mazungumzo na serikali siku ya jana Jumatatu, hali iliyosababisha mgomo huo kuendelea.
Waendeshaji wa matatu walishindwa kufikia makubaliano ya kupunguza bei katika mazungumzo na serikali siku ya jana Jumatatu, hali iliyosababisha mgomo huo kuendelea.
“Young people do not need anyone’s permission to claim their rights. Not from Suluhu, not from Ruto. These rights are theirs.”
Katika siku ya kwanza ya ziara ya kiserikali ya Rais Ruto nchini Tanzania, Rais Samia alimuomba Ruto kushirikiana naye kuwaadhibu vijana wa kizazi kipya maarufu kizazi cha Gen Z wanaosababisha “fujo” katika nchi zote mbili kwa kukiuka sheria kwa kisingizio cha kuminywa kwa demokrasia.
Rais Samia Suluhu Hassan alimhoji hadharani Rais Ruto kuhusu tangazo lake la awali kuhusu mpango wa kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta huko Tanga, akisema hakuwa na taarifa nalo
Mnamo Juni 2024, wimbi la maandamano lililoongozwa na kile kinachoitwa “Gen Z” lilienea nchini baada ya Rais William Ruto kutangaza ongezeko la kodi, jambo lililopunguza umaarufu wake miongoni mwa vijana.
“We sympathize with Manchester United,” Ruto said with a smile, referencing the team’s recent struggles.
Kauli hiyo ya Jaji Mkuu imejiri kufuatia maandamano ya kitaifa yaliyofanyika Julai 7, 2025, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Saba Saba, ambapo watu kadhaa walipoteza maisha, wengine kujeruhiwa, na wengine kukamatwa.
Speaking during a public forum in Mbeere North, Embu County, Ruku described the protests as acts of “planned terrorism” and urged young people not to be manipulated by political actors with personal ambitions.
Agizo hilo, lililotolewa rasmi leo Juni 25, 2025, linanukuu madai ya ukiukaji wa Kifungu cha 33(2) na 34(1) cha Katiba ya Kenya, pamoja na Kifungu cha 461 cha Sheria ya Mawasiliano na Habari ya Kenya (Kenya Information and Communications Act).
Mwaka jana, takriban watu 60 waliuawa na vikosi vya usalama wakati wa maandamano yaliyodumu kwa wiki kadhaa, yaliyosababishwa na kupanda kwa ushuru na hali ngumu ya kiuchumi, hasa kwa vijana. Maandamano hayo yalifikia kilele tarehe 25 Juni, wakati maelfu walipovamia jengo la bunge.