• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: William Ruto

Mgomo wa usafiri Kenya kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta waingia siku ya pili
Africa East Africa Kenya People Politics War & Conflicts

Mgomo wa usafiri Kenya kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta waingia siku ya pili

Asia GambaMay 19, 2026

Waendeshaji wa matatu walishindwa kufikia makubaliano ya kupunguza bei katika mazungumzo na serikali siku ya jana Jumatatu, hali iliyosababisha mgomo huo kuendelea.

Activists Slam President Samia’s Remarks on Gen Z Crackdown, Demand Immediate Apology
East Africa Kenya People Politics Rights & Freedoms Tanzania

Activists Slam President Samia’s Remarks on Gen Z Crackdown, Demand Immediate Apology

Mwanzo EditorMay 6, 2026

“Young people do not need anyone’s permission to claim their rights. Not from Suluhu, not from Ruto. These rights are theirs.”

Jaji Maraga awashambulia Ruto na Samia adai wanaleta udikteta Afrika Mashariki
Africa East Africa Kenya Politics Social Issues Tanzania

Jaji Maraga awashambulia Ruto na Samia adai wanaleta udikteta Afrika Mashariki

Mwanzo EditorMay 5, 2026

Katika siku ya kwanza ya ziara ya kiserikali ya Rais Ruto nchini Tanzania, Rais Samia alimuomba Ruto kushirikiana naye kuwaadhibu vijana wa kizazi kipya maarufu kizazi cha Gen Z wanaosababisha “fujo” katika nchi zote mbili kwa kukiuka sheria kwa kisingizio cha kuminywa kwa demokrasia.

Samia Amkaba Ruto Hadharani Kuhusu Refinery ya Tanga
Development East Africa Kenya Politics Tanzania

Samia Amkaba Ruto Hadharani Kuhusu Refinery ya Tanga

Joy CheptooMay 4, 2026

Rais Samia Suluhu Hassan alimhoji hadharani Rais Ruto kuhusu tangazo lake la awali kuhusu mpango wa kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta huko Tanga, akisema hakuwa na taarifa nalo

TikTok na muziki vyatumika kuwavuta vijana kujisajili kupiga kura
Africa East Africa Kenya Politics Rights & Freedoms

TikTok na muziki vyatumika kuwavuta vijana kujisajili kupiga kura

Asia GambaMarch 31, 2026

Mnamo Juni 2024, wimbi la maandamano lililoongozwa na kile kinachoitwa “Gen Z” lilienea nchini baada ya Rais William Ruto kutangaza ongezeko la kodi, jambo lililopunguza umaarufu wake miongoni mwa vijana.

President William Ruto, ”We sympathize with Manchester United”
East Africa Football Kenya Sports

President William Ruto, ”We sympathize with Manchester United”

Kevin SeweOctober 24, 2025October 24, 2025

“We sympathize with Manchester United,” Ruto said with a smile, referencing the team’s recent struggles.

Jaji Mkuu wa Kenya atoa wito kwa mageuzi ya Polisi kufuatia vifo vya waandamanaji
Crime & Justice East Africa Kenya People Social Issues

Jaji Mkuu wa Kenya atoa wito kwa mageuzi ya Polisi kufuatia vifo vya waandamanaji

Asia GambaJuly 8, 2025

Kauli hiyo ya Jaji Mkuu imejiri kufuatia maandamano ya kitaifa yaliyofanyika Julai 7, 2025, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Saba Saba, ambapo watu kadhaa walipoteza maisha, wengine kujeruhiwa, na wengine kukamatwa.

Cs Ruku Strongly Condemns Opposition Leaders For Fueling Recent Gen-Z Protests
Crime & Justice Kenya Politics

Cs Ruku Strongly Condemns Opposition Leaders For Fueling Recent Gen-Z Protests

Wadh KassimJune 27, 2025

Speaking during a public forum in Mbeere North, Embu County, Ruku described the protests as acts of “planned terrorism” and urged young people not to be manipulated by political actors with personal ambitions.

Mamlaka ya Mawasiliano Kenya yapiga  “Stop” vyombo vya habari kurusha “Live”maandamano
East Africa Kenya People Politics Rights & Freedoms Social Issues

Mamlaka ya Mawasiliano Kenya yapiga “Stop” vyombo vya habari kurusha “Live”maandamano

Asia GambaJune 25, 2025

Agizo hilo, lililotolewa rasmi leo Juni 25, 2025, linanukuu madai ya ukiukaji wa Kifungu cha 33(2) na 34(1) cha Katiba ya Kenya, pamoja na Kifungu cha 461 cha Sheria ya Mawasiliano na Habari ya Kenya (Kenya Information and Communications Act).

Wakenya wamiminika mtaani kuadhimisha mwaka mmoja wa Maandamano ya Umwagaji damu
East Africa Kenya People Rights & Freedoms Social Issues

Wakenya wamiminika mtaani kuadhimisha mwaka mmoja wa Maandamano ya Umwagaji damu

Asia GambaJune 25, 2025June 25, 2025

Mwaka jana, takriban watu 60 waliuawa na vikosi vya usalama wakati wa maandamano yaliyodumu kwa wiki kadhaa, yaliyosababishwa na kupanda kwa ushuru na hali ngumu ya kiuchumi, hasa kwa vijana. Maandamano hayo yalifikia kilele tarehe 25 Juni, wakati maelfu walipovamia jengo la bunge.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy