• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: March 7, 2022

Ukraine yakataa kutoa njia salama kwa Urusi kwa wakimbzi wanaotoroka mashambulizi
Europe Features International Politics

Ukraine yakataa kutoa njia salama kwa Urusi kwa wakimbzi wanaotoroka mashambulizi

Maureen MedzaMarch 7, 2022March 7, 2022

Vladamir Putin ameahidi atatimiza lengo lake kwa njia yoyote ile iwe “kwa mazungumzo au kupitia vita”

Auawa baada ya kuuza gari yake kwa shilingi milioni 15
Africa East Africa

Auawa baada ya kuuza gari yake kwa shilingi milioni 15

Asia GambaMarch 7, 2022March 7, 2022

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, ACP Stella Mutabihirwa amesema kuwa tukio hilo limetokea Jumamosi Machi 05, 2022 wilayani Manyoni, ambapo siku ya tukio mfanyabiashara huyo alienda mnadani kuuza gari yake shilingi milioni 15.

Mwanafunzi nchini Kenya afanya mtihani wa Taifa baada ya kujifungua
Africa East Africa

Mwanafunzi nchini Kenya afanya mtihani wa Taifa baada ya kujifungua

Asia GambaMarch 7, 2022March 7, 2022

Katibu Mkuu wa Elimu, Julius Jwan ambaye alizungumza baada ya kushuhudia kufunguliwa na kusambazwa kwa mtihani huo unaoanza leo nchini humo, kutoka kaunti ndogo ya Kisii ya Kati hadi vituo vya mitihani.

Bei ya gesi yapanda maradufu kutokana na hofu ya kukosa usambazaji kutoka Urusi
Europe Features International Politics

Bei ya gesi yapanda maradufu kutokana na hofu ya kukosa usambazaji kutoka Urusi

Maureen MedzaMarch 7, 2022March 7, 2022

Urusi ni mojawapo ya nchi zinazozalisha mafuta ghafi kwa wingi zaidi duniani na pia inaongoza kwa kusambaza gesi asilia.

Urusi yawakamata zaidi ya watu 5,000 kwa kushiriki maandamano ya kupinga vita vyake na Ukraine
Europe Features International Politics

Urusi yawakamata zaidi ya watu 5,000 kwa kushiriki maandamano ya kupinga vita vyake na Ukraine

Maureen MedzaMarch 7, 2022March 7, 2022

Maandamano ya kupinga vita nchini Urusi yameendelea licha ya onyo kutoka kwa mamlaka na hatari ya kufungwa jela.

Amuua mke kisha amzika kwenye shamba
Crime & Justice East Africa Tanzania

Amuua mke kisha amzika kwenye shamba

Asia GambaMarch 7, 2022July 2, 2024

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, ACP Nicodemus Katembo, amesema tukio hilo limetokea Februari 28, mwaka huu, katika kijiji cha Lipalwe mkoani Mtwara

Mbowe:Mimi nilikuwa naomba msifute mashtaka haya hadi ukweli udhihirike
Africa East Africa

Mbowe:Mimi nilikuwa naomba msifute mashtaka haya hadi ukweli udhihirike

Asia GambaMarch 7, 2022March 7, 2022

Mbowe amesema alitamani sana kuona ukweli unadhihirika katika kesi hiyo kwani alitaka kuona wale walomtuhumu kwa kesi hiyo kuona watatoa ushahidi gani ambao utaidhihirishia dunia kwamba kweli yeye ni gaidi.

China iko tayari kupatanisha Ukraine na Urusi inasema urafiki wake na Urusi ni “thabiti’
Europe Features International People Politics

China iko tayari kupatanisha Ukraine na Urusi inasema urafiki wake na Urusi ni “thabiti’

Maureen MedzaMarch 7, 2022March 7, 2022

Beijing imejipata katika hali ngumu ya kidiplomasia katika kipindi chote cha mzozo huo, ikikataa kulaani mshirika wake wa karibu Moscow.

Mali:Wanajeshi 27 wauawa katika shambulio la wanajihadi
Africa Features Politics

Mali:Wanajeshi 27 wauawa katika shambulio la wanajihadi

Maureen MedzaMarch 7, 2022March 7, 2022

Taifa hilo la Afrika Magharibi limekuwa likipambana na vuguvugu la wanajihadi lenye mafungamano na Al-Qaeda na kundi la Islamic State kwa takriban muongo mmoja.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo