Tanzania yapokea dozi milioni 8 za minyoo
Dawa hizo zimetolewa na Shirika la Wolrd Vission Tanzania na Canada, zitaanza kugawiwa kwa watoto hao kwenye kampeni maalumu inayotarajiwa kufanyika Juni na Julai mwaka huu.
Dawa hizo zimetolewa na Shirika la Wolrd Vission Tanzania na Canada, zitaanza kugawiwa kwa watoto hao kwenye kampeni maalumu inayotarajiwa kufanyika Juni na Julai mwaka huu.
Kamanda Ngonyaji amesema chanzo cha ajali hiyo ni mwendokasi wa dereva wa basi la Kilimanjaro Express bwana Mjahidi Waziri (39) ambaye alikuwa akijaribu kuyapita magari mengine.
Vurugu hizo zilitokea mwishoni mwa mchezo wa Kombe la Throne Cup kati ya AS FAR, klabu ya Wanajeshi wa Morocco yenye makao yake mjini Rabat, na Maghreb de Fez (MAS).
“We’re always thinking about new ways to bring value to our community and enrich the TikTok experience. Last year, we introduced longer videos, giving our community more time to create and be entertained on TikTok,”
Mashambulizi hayo yalifanyika karibu na mpaka wa majimbo ya Ituri na Kivu Kaskazini
Tanzania has tightened its border control to prevent the spread of yellow fever after cases were reported in neighbouring countries.…
Watumiaji wa mtandao wa Instagram nchini Urusi wamepewa taarifa kuwa huduma hiyo imesitishwa kuanzia saa sita usiku Jumapili ya March 14, 2022
Takriban wahamiaji 44, wakiwemo wanawake na watoto wachanga, walikufa maji wiki hii kwenye pwani ya Morocco walipokuwa wakijaribu kufika Uhispania
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika, kupitia ukurasa wake wa Twitter ni kwamba maamuzi ya chama kutokana na ajenda mbalimbali zitakazojadiliwa yatatolewa baada ya kikao hicho.
“14 years ago, we launched M-Pesa to connect our customers to each other and to different opportunities. We are delighted to celebrate this remarkable milestone with our more than 50 million customers across the continent,” Sitoyo Lopokoiyit, the M-Pesa Africa managing director, said in a statement.